Qur'an 49:13. Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari. 13"Full confidence" ni lugha ya Makafiri, achana nayo kabisa isikupotezee muda.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Achana na hicho kifaa cha mawasiliano pia ni cha Makafiri tena kisikupotezee muda kabisa.Qur'an 49:13. Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari. 13
Bila algorithm usaingekuwa nacho. Unafahamu ni nani huyowaliyembadili jina wakamwita algorithm?Achana na hicho kifaa cha mawasiliano pia ni cha Makafiri tena kisikupotezee muda kabisa.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Maana yake anajiamini na bakora yake atakayotumia hataki kuvizia. Kama mpanguaji RUKHSA kupangua.Tarehe 4 sio mbali ngoja tuone, ila kwanini Iran ametangaza kabisa? si ana wa alert wa Israel? T14 Armata
Haya mambo sijui mnadanganyana kanisanii hata sielewiRafiki siyo Mkao wa kula bali ni mkao wa kunyolewa for good! Maayatollah wa Iran wangejua where we are in the stream of time wasingecheza huo mchezo unaosema. Nimekuwa nikisema hapa mara kwa mara kuwa tunakoelekea Serikali za Dunia hii zitapiga Dini marufuku (Hiyo ni kulingana na Biblia Kitabu cha Ufunuo). Sasa ukiangalia Serikali ya Maayatollah wa Iran, wao ndiyo Serikali na wao ndiyo Dini. Set up hiyo ni lazima itapingana na Maazimio ya Serikali za Dunia; hivyo, ili unabii utimie ni lazima Ayatollah aondolewe. Kwa taarifa yenu tu ni kuwa shambulio lililofanya na Israel lilikuwa la kimkakati kiasi kwamba kwa sasa Irani yuko mtupu kiulinzi. the third round, Israel itaenda kumalizia kabisa. Na kama Mungu alivyoachia Farao awe na Kichwa ngumu ndiyo hivyo hivyo anamuachia Ayatollah awe na kichwa ngumu. He is finished for good
Okay, wewe muache huyo Ayatollah wako ajaribu tu tena kuleta chokochokoHaya mambo sijui mnadanganyana kanisanii hata sielewi
Haya mambo sijui mnadanganyana kanisanii hata sielewi
Jifunze kwanza kuandika kukubarika ndio lugha ganiHivi hii Iran inapewa kiburi na nani? Mbona wanataka kuangamiza taifa lao.
Ninavyofahamu Mimi ni kwamba mataifa yote ya nato hayawezi kukubari Israel inyanyasike, hivyo wakiamua kushughulika na Iran itakuwa janga
Mbona kama mnaogopaOkay, wewe muache huyo Ayatollah wako ajaribu tu tena kuleta chokochoko
Unavuta bange kijana auRafiki siyo Mkao wa kula bali ni mkao wa kunyolewa for good! Maayatollah wa Iran wangejua where we are in the stream of time wasingecheza huo mchezo unaosema. Nimekuwa nikisema hapa mara kwa mara kuwa tunakoelekea Serikali za Dunia hii zitapiga Dini marufuku (Hiyo ni kulingana na Biblia Kitabu cha Ufunuo). Sasa ukiangalia Serikali ya Maayatollah wa Iran, wao ndiyo Serikali na wao ndiyo Dini. Set up hiyo ni lazima itapingana na Maazimio ya Serikali za Dunia; hivyo, ili unabii utimie ni lazima Ayatollah aondolewe. Kwa taarifa yenu tu ni kuwa shambulio lililofanya na Israel lilikuwa la kimkakati kiasi kwamba kwa sasa Irani yuko mtupu kiulinzi. the third round, Israel itaenda kumalizia kabisa. Na kama Mungu alivyoachia Farao awe na Kichwa ngumu ndiyo hivyo hivyo anamuachia Ayatollah awe na kichwa ngumu. He is finished for good
Unyonge ushakataliwa Iran ikipata janga ujue israhell hutaiona tenaHivi hii Iran inapewa kiburi na nani? Mbona wanataka kuangamiza taifa lao.
Ninavyofahamu Mimi ni kwamba mataifa yote ya nato hayawezi kukubari Israel inyanyasike, hivyo wakiamua kushughulika na Iran itakuwa janga
ndio=ndiyo, unapouliza swali weka alama"?" Kujifunza hakuishi,naomba nirekebishe ili nijifunze.Jifunze kwanza kuandika kukubarika ndio lugha gani
nafatilia kwa karibu sana kuona kama jambo hili ni serious au ni vita ya maneno tu na vitisho vya kitecholojia na kimbinu 🐒Irsn walizolock F35 za mmarekani na Israel zilipokwe da kushambulia, ikabidi zisisogee kuingia ndani ya Iran.
Ukiambiwa wanafungia maana yake siyo kuwa linawekwa geti, maana yake hawaruhusu ndege yoyote kukatiza anga yao. Iwe ya binafsi, biashara au kivita. Inaweza kutunguliwa.
Fikiri, walikuwa hawajatangaza kuifungia anga ili wenye kazi zao zisizohusiana na vita na majirani zao waendelee kupita kama kawaida na kue delea na shughuli zao.
Licha ya hayo, hakuna ndege ya mazayuni wala mashoga zao iliyothubutu kuingia anga ya Iran.
Huu mgogoro nyinyi mliochagua pande za kudumu mnazingua sana. Mimi sifahamu nimeuliza swaliSamahani ila hapa mbona kama wewe ndio unatudhihirishia wana jf kua wewe ndio mjinga pro max
Hufuatilii kabisa au hujui viashiria vya hilo suala, USA kaongeza silaha na askari mashariki ya Kati, that explains alotnafatilia kwa karibu sana kuona kama jambo hili ni serious au ni vita ya maneno tu na vitisho vya kitecholojia na kimbinu 🐒