ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Hii sio hoja, waonyeshe ili watu waone na kusadiki maneno yao mbona Sinawar alivyo ingia kwenye Mashimo kule Gaza tulionyeshwa? Ndani ya Israel wanasiasa wamechukia walitaka Iran ipigwe visima vya mafuta na zile nyuklia, sasa kuwa makini propaganda ni nyingi sana ili wale walionuna wapozweMkuu taratibu mwenzako ostadh huyo huko Mkuranga mwembe kiguta ndie wanamtegemea kupata taarifa
Mabomu yote yamemezwa yakiwa angani wanasemaje wameshambulia mfumo wa ulinzi🤣!!! Hao wanajikosha tuHawa Israel ni nyoko sana ktk mashambulizi ya angani. Juzi Waziri wa ulinzi wa Israel kabla ya mashambulizi alisema tutakapo ishambulia Irani Dunia itajua uwezo wetu na wote wanao cheza na usalama wa Israel. Leo jamaa wametumia ndege za kivita ambazo ni za kisasa sana zenye uwezo wa kushambulia anga la nchi nyingine na kujihami zishishambuliwe. Cha kufurahisha zaidi Israel inasema imepiga miundombinu ya usalama wa anga la Irani na pia kushambulia maeneo ya kijeshi ya Irani. Pia wakasema baada ya kushambulia kwa ndege zao zote zimerudi nyumbani salama. Yaani mfumo wa ulinzi wa Irani umeshindwa kudungua hta ndege moja tuu ya Israel. Na pia wamesema kwa uharibifu walio fanya ktk mfumo wa ulinzi wa anga wa Irani sasa wanaweza kucheza na anga ya Irani wapendavyo kupiga popote.
Wayahudi gani unao sema wewe ? Wayahudi wameua watu wengi kwasababu ya Imani yao, hawatakiwi kushirikiana na watu wenye kuamini Mungu mwengine tofauti na wao, ebu rudi kasome tena vitabu vyakoWao wenyewe wayahudi wanajiita Taifa teule na sisi wakristo tunawaita hivyo
Sisi wakristo ni wafuasi wa Myahudi Yesu Kristo myahudi mwenzao
Dini ya kiyahudi tofauti na waislamu huwa hawatafuti waumini kuwasilimisha .Kuwa dini ya kiyahudi lazima uwe umezaliwa myahudi.Hivyo wakristo na wayahudi tunaheshimiana mno pamoja na tofauti zetu za kidini.Tofauti na wapumbavu wa kiislamu ambao ukiwa tofauti na dini yake kwake ni kesi
Wayahudi sio wajinga kama waislamu kupigania dini.Myahudi hata siku moja hapiganii dini wala wakristo hatupiganii dini huo ujinga wa kupigania dini wanao waislamu tu.Ndio maana hata Palestina hakutulii mijitu kutwa kupigania dini
Huwa nasemaga Tanzania ni nchi ambayo mungu yu karibu nayo sana, same to Israel nayo i karibu sana na mungu -Kweli kabisa mchezo huu hautaki hasira au mihemuko ya vurumisha makombora bila mkakati.
Israel ineonesha utulivu kwa kulenga maeneo nyeti kupeleka ujumbe kuwa kila pigo watakalofanya Israel siyo la kuvurumisha makombora ovyo, bali kupiga maeneo nyeti kwa uhakika...
Sasa majibu mengine ya Israel yatalenga wapi, nani na kwa shabaha ya kufikia lengo lipi ki military science bila kuongozwa na hasira kali, bali mipango na uhakikisho wa kukamilisha pigo sahihi la kumuumiza adui likionesha, pigo lingine litalofauta litafikia malengo ya kumlegeza adui zaidi.
Vita Ni Mbaya Sana Ndugu ZanguHit target only na siyo kumwaga mabomu kama walivyo fanya wao kijinga kabisa.
Upo sahihi😂😂😂🤣🤣😂😂
Vita Ni Mbaya Sana Ndugu Zangu
ana miaka 85 amepita yale makadirio ya Biblia ya miaka 70 wacha akapumzike ikiwa atakufa kweli baada ya hiyo miezi michache kama ulivyo nukuuHuwa nasemaga Tanzania ni nchi ambayo mungu yu karibu nayo sana, same to Israel nayo i karibu sana na mungu - View attachment 3136212
Ueelewe kuwa kijeshi kwa sasa Iran iko Uchi maana haina radar za kudhibiti mashambulio ya Israel tena baada ya mfumo wake wa ulinzi wa anga kubomolewa. Maana yake wakati wowote Israel akitaka kushambulia anaweza kufanya hivyo bila kizuizi. Pili inakadiriwa itachukua miaka miwili kurepair kiwanda chake cha kuchanganyia mafuta mazito ya kutengenezea makombora hivyo uzalishaji wa makombora utasimama kwa muda huo.Kutokana na mashambulizi ya Israel nchini Iran ambayo yalilenga maeneo ya kijeshi pekee, asubuhi ya leo Iran ilitangaza kuwa askari wake 2 waliuawa.
Iran ilisema kuwa mifumo yake ya ulinzi wa anga ilifanya kazi vizuri, lakini ikakiri kuwa kuna baadhi ya makombora yalifanikiwa kuzipiga bases kadhaa na kuleta madhara madogo, na kwamba assessment ya uharibifu ilikuwa inafanyika.
Usiku huu Iran imetangaza kuwepo ongezeko la askari waliouawa kutoka askari 2 mpaka askari 4.
Tofauti na asubuhi Iran iliposema kuwa shambulio hilo lilikuwa na madhara madogo, baada ya assessment, sasa shambulio hilo la Israel wanaliita "deadly attack"
Mpaka sasa:
Iran imethibisha:
1) askari wake 4 wameuawa
2) Radar zake zimefeketezwa
3) Kiwanda cha makombora kimetekezwa
4) Kiwanda cha drones kimeteketezwa
Vita siku zote haikosi madhara. Kwa familia za hawa askari 4, ni maafa makubwa ambayo kamwe hawatakuja kuyasahau. Tuwaombee hekima watawala wa Iran, Iran iyafute makundi yake ya kigaidi ili waarabu na waisrael siku moja waishi kwa amani. Maafa yote ya mashariki ya kati, chanzo kikuu ni Iran.
Habari kamili hii hapa:
Al Jazeera
LIVE UPDATESLIVE UPDATES,
Live: Iran says ‘no limits’ in defending itself after deadly Israel strikes
"The US says this should be the end
Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes
14m ago
(17:20 GMT)
Iran raises death toll from Israel’s attack to 4
Iran has raised the death toll from Israel’s attack to four and said all served in the country’s military air defence.
The state-run IRNA news agency announced the deaths Saturday night. It offered no details on where the four men were stationed in the country.
Unapiga namba ngapi kupata kichekesho hikiKinyaa unatia wewe kijana, nimeandika WAONYESHE hiko kiwanda wanachosema wamekilipua kitachukua miaka 2 kurudi tena kufanya kazi, hii ni vita propaganda ni nyingi sana, ni mbumbumbu pekee anaweza kuamini jambo kibubusa
Kwani unalazimishwa kuamini we mswahilina wa mwembeyanga?Kinyaa unatia wewe kijana, nimeandika WAONYESHE hiko kiwanda wanachosema wamekilipua kitachukua miaka 2 kurudi tena kufanya kazi, hii ni vita propaganda ni nyingi sana, ni mbumbumbu pekee anaweza kuamini jambo kibubusa
Anaumwa yupo mahututiSi ajabu Ayatollah hayupo duniani..!
Hawa hawataki kumalizana; ila wakiamua kumalizana ndio wataheshimiana. Israeli hajarusha hata kombora moja bado wala droni hazijatumika bado. Ila Iran wakisema wanajipanga tena kujibu mashambulizi natabiri Israeli itaamua kuwashambulia kabla hawarusha kombora tena (pre-emptive strike). And then....
hawa jamaa si walisema ole wake israeli atupe kombora kwaoKutokana na mashambulizi ya Israel nchini Iran ambayo yalilenga maeneo ya kijeshi pekee, asubuhi ya leo Iran ilitangaza kuwa askari wake 2 waliuawa.
Iran ilisema kuwa mifumo yake ya ulinzi wa anga ilifanya kazi vizuri, lakini ikakiri kuwa kuna baadhi ya makombora yalifanikiwa kuzipiga bases kadhaa na kuleta madhara madogo, na kwamba assessment ya uharibifu ilikuwa inafanyika.
Usiku huu Iran imetangaza kuwepo ongezeko la askari waliouawa kutoka askari 2 mpaka askari 4.
Tofauti na asubuhi Iran iliposema kuwa shambulio hilo lilikuwa na madhara madogo, baada ya assessment, sasa shambulio hilo la Israel wanaliita "deadly attack"
Mpaka sasa:
Iran imethibisha:
1) askari wake 4 wameuawa
2) Radar zake zimefeketezwa
3) Kiwanda cha makombora kimetekezwa
4) Kiwanda cha drones kimeteketezwa
Vita siku zote haikosi madhara. Kwa familia za hawa askari 4, ni maafa makubwa ambayo kamwe hawatakuja kuyasahau. Tuwaombee hekima watawala wa Iran, Iran iyafute makundi yake ya kigaidi ili waarabu na waisrael siku moja waishi kwa amani. Maafa yote ya mashariki ya kati, chanzo kikuu ni Iran.
Habari kamili hii hapa:
Al Jazeera
LIVE UPDATESLIVE UPDATES,
Live: Iran says ‘no limits’ in defending itself after deadly Israel strikes
"The US says this should be the end
Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes
14m ago
(17:20 GMT)
Iran raises death toll from Israel’s attack to 4
Iran has raised the death toll from Israel’s attack to four and said all served in the country’s military air defence.
The state-run IRNA news agency announced the deaths Saturday night. It offered no details on where the four men were stationed in the country.
hawa jamaa si walisema ole wake israeli atupe kombora kwao
Wachana na mambo ya vita - kuuana sio sifa,
jaga ukazuge u bugari urye na ndeero nuru makubi, ubine ndono u punya na madako gako, udebire? Wameeliwa 😂😂
Yaan shambulio la kaeneo km 700square useme wamalize radar za Iran na wakati huo missiles kibao almost zote zimetunguliwa? Unalijua eneo la Iran wewe? Hata mkipeleka ndege ni 500 hamuwezi kucover eneo lote la IranUeelewe kuwa kijeshi kwa sasa Iran iko Uchi maana haina radar za kudhibiti mashambulio ya Israel tena baada ya mfumo wake wa ulinzi wa anga kubomolewa. Maana yake wakati wowote Israel akitaka kushambulia anaweza kufanya hivyo bila kizuizi. Pili inakadiriwa itachukua miaka miwili kurepair kiwanda chake cha kuchanganyia mafuta mazito ya kutengenezea makombora hivyo uzalishaji wa makombora utasimama kwa muda huo.
Israel ameishasema anayo bado bank ya targets za kushambulia Iran nyingi tu hivyo Iran akithubutu kujibu tu atapigwa kipigo kikaki zaidi.
Ukitafsiri kauli ya Iran anaogopa kuaibika zaidi hasa kwa vibaraka wake ambao walikuwa wanamwona ndiye kiboko ya Israel, anachofanya ni kujipooza kuwa madhara ni kidogo aliyoyapata ili iwe sababu ya kutojibu ili asiaibike zaidi.
MUNGU WA ISRAEL ATUKUZWE MILELE
Hawa wangese wa wapi tena jamani?.. wamembeba mtumwa wa iblis.. wajue tunataka mwili wa JoshuaMollel tuuzike.. waliambiwa damu ya mtanzania haiendi kirahisi tizama na yeye hakazikwa bado hadi vita iishe kadedi kama alivyoamrisha kuua Mtanzania mwenzetu.. hawa jamaa ningekutana nao ningewamwagia michanga pumbavu zao laanatulwa tz tuko nyuma ya mama ambaye anamsapoti yahayaa mia kwa miaa!
View attachment 3136088