Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kwa hiyo hakupigwa?Yaan shambulio la kaeneo km 700square useme wamalize radar za Iran na wakati huo missiles kibao almost zote zimetunguliwa? Unalijua eneo la Iran wewe? Hata mkipeleka ndege ni 500 hamuwezi kucover eneo lote la Iran
Hawa wangese wa wapi tena jamani?.. wamembeba mtumwa wa iblis.. wajue tunataka mwili wa JoshuaMollel tuuzike.. waliambiwa damu ya mtanzania haiendi kirahisi tizama na yeye hakazikwa bado hadi vita iishe kadedi kama alivyoamrisha kuua Mtanzania mwenzetu.. hawa jamaa ningekutana nao ningewamwagia michanga pumbavu zao laanatul
Alichofanya Israel ni kwenda kubomoa ukuta wao wote yaani S 300 zote 4 zimeharibiwa na kiwanda cha missiles na drones na ofisi yao ya intelijensia kwa sasa wako wazi, wajibu wapigweHawa hawataki kumalizana; ila wakiamua kumalizana ndio wataheshimiana. Israeli hajarusha hata kombora moja bado wala droni hazijatumika bado. Ila Iran wakisema wanajipanga tena kujibu mashambulizi natabiri Israeli itaamua kuwashambulia kabla hawarusha kombora tena (pre-emptive strike). And then....
Hapa hazipigani dini. Wewe kama akili yako imenyakuliwa na udini, ni wewe na wenzako wachache.Israel hamna kitu, propaganda nyingi. Walisema wana iron dome network ya kuharibu makombora yeyote yanayoshambulia ardhi yake. Wa Persian wamerusha ballistic 180 na zote zimetua.
Israel wanachojua ni kuua raia wa Palestina wasio na hatia, kupiga miskiti, makanisa, hospitali na mashule bila kusahau mahema ya wapalestina. Mnaowashabikia ni kwa sababu ya dini yenu mnaowaita "taifa teule" wakati wenyewe hawaamini hata hiyo dini yenu, wala kitabu chenu.
Wapigane na wanaume kina Hoothi, hizbollah, na wababe iran, Syria.
Mimi nimemjibu huyo aliyesema radar zote za Iran zimepigwa kwahio yuko uchi Israel anaweza ingia anavyotaka. Base zilizo tangazwa ni tatu je katika hizo base tatu ndio zimepigwa target 20? Na zile intecept zilizofanywa zime intercept kitu gani? Kama target 20 zimehit na Iran hadanganyi kasema hakuna mlipuko na sisi hatujaona mlipuko unaijua mlipuko wa target 20 wewe? Tena jets na makombora?Kwa hiyo hakupigwa?
Kwani hoja ilikuwa kupiga Iran nzima?
Wewe hujasom kuwa walipanga kupiga target ishirini na zote zimepigwa na hadi sasa kwa maelezo ya Iran yenyewe askari wake 4 wameuliwa. Radar zilizopigwa ni tatu zilizojemgwa na Russia na moja iko Airport inayoitwa imam Khomeini.
Rudi kasome taarifa za vyombo mbalimbali
Ipofu hausaidii kuondoa ukweli.
Kwahio Iran anatumia s300 na s400 pekee kwenye ulinzi? Irani nzima inalindwa na s300 na 400 idadi 4.?Alichofanya Israel ni kwenda kubomoa ukuta wao wote yaani S 300 zote 4 zimeharibiwa na kiwanda cha missiles na drones na ofisi yao ya intelijensia kwa sasa wako wazi, wajibu wapigwe
Ukisema mkuu mimi nani nipinge,Kutokana na mashambulizi ya Israel nchini Iran ambayo yalilenga maeneo ya kijeshi pekee, asubuhi ya leo Iran ilitangaza kuwa askari wake 2 waliuawa.
Iran ilisema kuwa mifumo yake ya ulinzi wa anga ilifanya kazi vizuri, lakini ikakiri kuwa kuna baadhi ya makombora yalifanikiwa kuzipiga bases kadhaa na kuleta madhara madogo, na kwamba assessment ya uharibifu ilikuwa inafanyika.
Usiku huu Iran imetangaza kuwepo ongezeko la askari waliouawa kutoka askari 2 mpaka askari 4.
Tofauti na asubuhi Iran iliposema kuwa shambulio hilo lilikuwa na madhara madogo, baada ya assessment, sasa shambulio hilo la Israel wanaliita "deadly attack"
Mpaka sasa:
Iran imethibisha:
1) askari wake 4 wameuawa
2) Radar zake zimefeketezwa
3) Kiwanda cha makombora kimetekezwa
4) Kiwanda cha drones kimeteketezwa
Vita siku zote haikosi madhara. Kwa familia za hawa askari 4, ni maafa makubwa ambayo kamwe hawatakuja kuyasahau. Tuwaombee hekima watawala wa Iran, Iran iyafute makundi yake ya kigaidi ili waarabu na waisrael siku moja waishi kwa amani. Maafa yote ya mashariki ya kati, chanzo kikuu ni Iran.
Habari kamili hii hapa:
Al Jazeera
LIVE UPDATESLIVE UPDATES,
Live: Iran says ‘no limits’ in defending itself after deadly Israel strikes
"The US says this should be the end
Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes
14m ago
(17:20 GMT)
Iran raises death toll from Israel’s attack to 4
Iran has raised the death toll from Israel’s attack to four and said all served in the country’s military air defence.
The state-run IRNA news agency announced the deaths Saturday night. It offered no details on where the four men were stationed in the country.
wewe upo eti?Si ajabu Ayatollah hayupo duniani..!
Radar huwa zina cover eneo fulani ndio maana zinawekwa kimkakati mfani ukiwa na radar mwanza haiwezi kulinda dar. Kwa Tehran na ile miji mingine miwili iko uchi kwa naana ikilazimu Israel kurudia kupiga ataweza kupiga miji hiyo bila wasiwasi wa ndege zake kutunguliwa. Kama umesoma taarifa za vyombo vinavyoaminika Israel alianza kupiga radar za Syria katika njia aluzopita ili Syria asije akmttaarifu Iran kuwa Israel amepita kuelekea Iran m, hiyo maana yake awe salama ndio maana hakupiga radar za Syria za sehemu zingine.Mimi nimemjibu huyo aliyesema radar zote za Iran zimepigwa kwahio yuko uchi Israel anaweza ingia anavyotaka. Base zilizo tangazwa ni tatu je katika hizo base tatu ndio zimepigwa target 20? Na zile intecept zilizofanywa zime intercept kitu gani? Kama target 20 zimehit na Iran hadanganyi kasema hakuna mlipuko na sisi hatujaona mlipuko unaijua mlipuko wa target 20 wewe? Tena jets na makombora?
Huu uongo unamletea nani!?Radar huwa zina cover eneo fulani ndio maana zinawekwa kimkakati mfani ukiwa na radar mwanza haiwezi kulinda dar. Kwa Tehran na ile miji mingine miwili iko uchi kwa naana ikilazimu Israel kurudia kupiga ataweza kupiga miji hiyo bila wasiwasi wa ndege zake kutunguliwa. Kama umesoma taarifa za vyombo vinavyoaminika Israel alianza kupiga radar za Syria katika njia aluzopita ili Syria asije akmttaarifu Iran kuwa Israel amepita kuelekea Iran m, hiyo maana yake awe salama ndio maana hakupiga radar za Syria za sehemu zingine.
Ukubali ukatae Iran amepigwa na madhara yameonekana ya aina tatu: vituo vya radar vitatu vimeteketezwa,,, Kiwanda cha kuchanganyia mafuta ya kutengenezea makombora kimepigwa na uzalishaji utasimama kwa takriibani miaka miwili na kiwanda cha drones kimepigwa.
Awatume waende..kumsaidi hukoo kama wanaupendo wa kweliwa tz tuko nyuma ya mama ambaye anamsapoti yahayaa mia kwa miaa!
View attachment 3136088
Kwani magaidi yanaelewaga kitu hasara..mpaka gaidi likate moto hapo ndolina Amini kuwa kweli lime kufaRadar huwa zina cover eneo fulani ndio maana zinawekwa kimkakati mfani ukiwa na radar mwanza haiwezi kulinda dar. Kwa Tehran na ile miji mingine miwili iko uchi kwa naana ikilazimu Israel kurudia kupiga ataweza kupiga miji hiyo bila wasiwasi wa ndege zake kutunguliwa. Kama umesoma taarifa za vyombo vinavyoaminika Israel alianza kupiga radar za Syria katika njia aluzopita ili Syria asije akmttaarifu Iran kuwa Israel amepita kuelekea Iran m, hiyo maana yake awe salama ndio maana hakupiga radar za Syria za sehemu zingine.
Ukubali ukatae Iran amepigwa na madhara yameonekana ya aina tatu: vituo vya radar vitatu vimeteketezwa,,, Kiwanda cha kuchanganyia mafuta ya kutengenezea makombora kimepigwa na uzalishaji utasimama kwa takriibani miaka miwili na kiwanda cha drones kimepigwa.
Waliojeruhiwa wamekufa. Tatizo nini?Kutokana na mashambulizi ya Israel nchini Iran ambayo yalilenga maeneo ya kijeshi pekee, asubuhi ya leo Iran ilitangaza kuwa askari wake 2 waliuawa.
Iran ilisema kuwa mifumo yake ya ulinzi wa anga ilifanya kazi vizuri, lakini ikakiri kuwa kuna baadhi ya makombora yalifanikiwa kuzipiga bases kadhaa na kuleta madhara madogo, na kwamba assessment ya uharibifu ilikuwa inafanyika.
Usiku huu Iran imetangaza kuwepo ongezeko la askari waliouawa kutoka askari 2 mpaka askari 4.
Tofauti na asubuhi Iran iliposema kuwa shambulio hilo lilikuwa na madhara madogo, baada ya assessment, sasa shambulio hilo la Israel wanaliita "deadly attack"
Mpaka sasa:
Iran imethibisha:
1) askari wake 4 wameuawa
2) Radar zake zimefeketezwa
3) Kiwanda cha makombora kimetekezwa
4) Kiwanda cha drones kimeteketezwa
Vita siku zote haikosi madhara. Kwa familia za hawa askari 4, ni maafa makubwa ambayo kamwe hawatakuja kuyasahau. Tuwaombee hekima watawala wa Iran, Iran iyafute makundi yake ya kigaidi ili waarabu na waisrael siku moja waishi kwa amani. Maafa yote ya mashariki ya kati, chanzo kikuu ni Iran.
Habari kamili hii hapa:
Al Jazeera
LIVE UPDATESLIVE UPDATES,
Live: Iran says ‘no limits’ in defending itself after deadly Israel strikes
"The US says this should be the end
Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes
14m ago
(17:20 GMT)
Iran raises death toll from Israel’s attack to 4
Iran has raised the death toll from Israel’s attack to four and said all served in the country’s military air defence.
The state-run IRNA news agency announced the deaths Saturday night. It offered no details on where the four men were stationed in the country.
Ambao ndio wahanga wakubwa wa Jihadist Terrorism.HAwa pichani ni wanaigeria
Habari sio imani, ni uhalisia wa mambo, ukiileta humu ni muhimu kudai ushahidi, kama tetesi useme pia sio kuleta habari za mitaani humuKwani unalazimishwa kuamini we mswahilina wa mwembeyanga?
Ujumbe umefika vyema hili sio jukwaa la udaku, muhimu kuleta habari zenye uthibitishoUnapiga namba ngapi kupata kichekesho hiki