Ila lengo limetimia, wamefikaThubutu!!!!
Gaza Ni kaeneo kadogo Sana 40km by 10 km by 13 km, kaeneo haka kamezingirwa na Israel pande zote lakini imeichukua IDF zaidi ya mwezi na nusu kufika Al Shifa hosp.
Kumbuka Hamas hawana jeshi, hawana umeme, hawana maji, hawana msaada toka Marekani, hawana vifaru, hawana ndege lkn wamelidindishia jeshi la nchi na washirika wake marekani kwa mwezi na nusu.
Je ingekua Iran? Israel ingechakazwa na hiyo iron dome ingefanywa Kama neti ya kuvulia papa.
Juzi waziri mstaafu wa Iran nae aliionya Nchi yake kutofanya makosa ya kujiingiza directly kwenye hii vita.Iran analinda maslahi yake. Aingize pua Kule Israel ili aanzishe vita na isarel . Anajua wakiingia vitani na Isarel. Isarel itasambaratisha na kulipua visima vyote vya mafuta vya Iran . hivyo kuharibu uchumi wa Iran . Wananchi hawawezi kukubali kuharibiwa uchumi wake
Kwani waislamu mnataka injili? Saudia wamepiga marufuku injili kuhubiriwa, hata kujenga kanisa ni marufuku. Lakini bado tunaishi nao hapa. Huoni aibu kusema hilo! Ni lini uislam ukaikubali injili?
Hahah dah uzuzu kwelHata kama hawataki sisi tutaendelea kuwaombea tu maana hao ni wateule
Duh!...ila hezbollah inajaribu kuipunguzia Hamas pressure/shinikizo kwa kuishambulia IsraelKiaongozi wa Iran Ayatollah awasuta wanaoshangaa kwanini Iran imeishindwa kufanya chochote kwenye huu ugomvi, asema jinsi vile vile haikuombwa ushauri kabla kulianzisha basi wapambane tu huko na kwamba Iran haitoingilia....hii ni habari mbaya sana kwa majihad ya humu JF maana wamekua wanasubiri sana wokovu kutoka kwa Iran.
Nafikiri Iran imeshauriwa vizuri maana ilisubiriwa sana ifanye ujinga wowote, ingesambaratishwa kinoma yaani.
===========================
Supreme leader informed Haniyeh decision due to failure to notify Tehran before Oct. 7 onslaught, instructed him to ‘silence’ those urging Iranian involvement, according to Reuters
Iran’s Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei reportedly told Hamas chief Ismail Haniyeh earlier this month that, since Tehran was not given prior notice of the devastating terror onslaught of October 7, it would not join the war against Israel.
In a report Wednesday citing “three senior officials,” Reuters said Khamenei had told Haniyeh that, while Iran would offer political support to Hamas, it would not “intervene directly” in the fight.
The Iranian leader also reportedly asked Haniyeh to “silence those voices” in Hamas calling for Iran and its proxy terror group Hezbollah to directly join the war against Israel “in full force.”
Thubutu!!!!
Gaza Ni kaeneo kadogo Sana 40km by 10 km by 13 km, kaeneo haka kamezingirwa na Israel pande zote lakini imeichukua IDF zaidi ya mwezi na nusu kufika Al Shifa hosp.
Kumbuka Hamas hawana jeshi, hawana umeme, hawana maji, hawana msaada toka Marekani, hawana vifaru, hawana ndege lkn wamelidindishia jeshi la nchi na washirika wake marekani kwa mwezi na nusu.
Je ingekua Iran? Israel ingechakazwa na hiyo iron dome ingefanywa Kama neti ya kuvulia papa.
Wewe ndg siyo muelewa wa mambo ya kivita. Ndiyo kaeneo kadogo,lakini adui amejijengea mazingira ambayo ili umfikie lazima usababishe maafa kwa raia na hapo hasira ya kimataifa juu yako itainuka. Adui ametumia muda mwingi, kujiwekea mazingira ya kujificha , kujihami. Rwandan kieneo ni ndogo nenda kaivamie! Kuingia kwenye ardhi ya mtu kijeshi kwa uwazi siyo jambo dogo, labda kwa kuvizia.Thubutu!!!!
Gaza Ni kaeneo kadogo Sana 40km by 10 km by 13 km, kaeneo haka kamezingirwa na Israel pande zote lakini imeichukua IDF zaidi ya mwezi na nusu kufika Al Shifa hosp.
Kumbuka Hamas hawana jeshi, hawana umeme, hawana maji, hawana msaada toka Marekani, hawana vifaru, hawana ndege lkn wamelidindishia jeshi la nchi na washirika wake marekani kwa mwezi na nusu.
Je ingekua Iran? Israel ingechakazwa na hiyo iron dome ingefanywa Kama neti ya kuvulia papa.
Tatizo wagalatia mmedanganywa sana na Wazungu na ndio maana kinapokuja swala la dini na vitabu vya Mungu mnatoka patupuKwani waislamu mnataka injili? Saudia wamepiga marufuku injili kuhubiriwa, hata kujenga kanisa ni marufuku. Lakini bado tunaishi nao hapa. Huoni aibu kusema hilo! Ni lini uislam ukaikubali injili?
Mungu amewapiga mshindo wa hofu,akawatia uoga katika mioyo yaoKiaongozi wa Iran Ayatollah awasuta wanaoshangaa kwanini Iran imeishindwa kufanya chochote kwenye huu ugomvi, asema jinsi vile vile haikuombwa ushauri kabla kulianzisha basi wapambane tu huko na kwamba Iran haitoingilia....hii ni habari mbaya sana kwa majihad ya humu JF maana wamekua wanasubiri sana wokovu kutoka kwa Iran.
Nafikiri Iran imeshauriwa vizuri maana ilisubiriwa sana ifanye ujinga wowote, ingesambaratishwa kinoma yaani.
===========================
Supreme leader informed Haniyeh decision due to failure to notify Tehran before Oct. 7 onslaught, instructed him to ‘silence’ those urging Iranian involvement, according to Reuters
Iran’s Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei reportedly told Hamas chief Ismail Haniyeh earlier this month that, since Tehran was not given prior notice of the devastating terror onslaught of October 7, it would not join the war against Israel.
In a report Wednesday citing “three senior officials,” Reuters said Khamenei had told Haniyeh that, while Iran would offer political support to Hamas, it would not “intervene directly” in the fight.
The Iranian leader also reportedly asked Haniyeh to “silence those voices” in Hamas calling for Iran and its proxy terror group Hezbollah to directly join the war against Israel “in full force.”
Nianze na hili ,kama wewe usivyo Mqureshi kwa kuamini katika Quran,na mimi siyo mgalatia kwa kuamini katika injili. Ni watanzania.Tatizo wagalatia mmedanganywa sana na Wazungu na ndio maana kinapokuja swala la dini na vitabu vya Mungu mnatoka patupu
Katika nguzo 5 za Imani za kiislam mojawapo ni kuamini vitabu vya Mungu na Injili ikiwepo kwahiyo Muislam ukiikataa Injili automatically unakuwa umetoka katika uislam maana unakuwa unapingana na Qurani so uislam unamkubali Yesu na Injili yake
Lakini Muislam hatakiwi kutumia Injili katika Ibada zake na sheria zake Kwa sababu Injili mda wake umeshapita
Yani hawa manabii 4 waliopewa vitabu ni sawa na tawala za serikali Kila kitabu kimetawala na kuisha mda wake
Bahati mbaya mliyonayo nyinyi wagalatia Quran ndio utawala wa mwisho Mungu hataleta tena nabii Wala kitabu zaidi Muhammad na Qurani yake
Wayahudi hawakumbali Yesu Wala Injili yake na ndio maana Yesu aliwaachia laana
Yanii Ili Imani yako ya Kiyahudi ikamilike unatakiwa umkane YESU na Injili yake
Na wamejificha kwa makazi... huu ndo unaitwa ugaidi. Ukipiga unaambiwa umepiga wanawake na watoto hahahaThubutu!!!!
Gaza Ni kaeneo kadogo Sana 40km by 10 km by 13 km, kaeneo haka kamezingirwa na Israel pande zote lakini imeichukua IDF zaidi ya mwezi na nusu kufika Al Shifa hosp.
Kumbuka Hamas hawana jeshi, hawana umeme, hawana maji, hawana msaada toka Marekani, hawana vifaru, hawana ndege lkn wamelidindishia jeshi la nchi na washirika wake marekani kwa mwezi na nusu.
Je ingekua Iran? Israel ingechakazwa na hiyo iron dome ingefanywa Kama neti ya kuvulia papa.
Na Hizbulah ndo Iran yenyewe sasa nawashangaa wanao sema eti Iran haijihusishi na mzozo huo.Duh!...ila hezbollah inajaribu kuipunguzia Hamas pressure/shinikizo kwa kuishambulia Israel
Acheni visingizio jana kwenye hospital milio kuwa mna sema ni makao makuu ya hamas ni kipi cha maana walicho kikuta?Na wamejificha kwa makazi... huu ndo unaitwa ugaidi. Ukipiga unaambiwa umepiga wanawake na watoto hahaha
Ha ha haaa!! KOBAZ GANG chini ya uongozi wa Malaria na hawara take FaizaFox wapo shimoni kama panya wanachungulia kwa jicho moja!!Kiaongozi wa Iran Ayatollah awasuta wanaoshangaa kwanini Iran imeishindwa kufanya chochote kwenye huu ugomvi, asema jinsi vile vile haikuombwa ushauri kabla kulianzisha basi wapambane tu huko na kwamba Iran haitoingilia....hii ni habari mbaya sana kwa majihad ya humu JF maana wamekua wanasubiri sana wokovu kutoka kwa Iran.
Nafikiri Iran imeshauriwa vizuri maana ilisubiriwa sana ifanye ujinga wowote, ingesambaratishwa kinoma yaani.
===========================
Supreme leader informed Haniyeh decision due to failure to notify Tehran before Oct. 7 onslaught, instructed him to ‘silence’ those urging Iranian involvement, according to Reuters
Iran’s Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei reportedly told Hamas chief Ismail Haniyeh earlier this month that, since Tehran was not given prior notice of the devastating terror onslaught of October 7, it would not join the war against Israel.
In a report Wednesday citing “three senior officials,” Reuters said Khamenei had told Haniyeh that, while Iran would offer political support to Hamas, it would not “intervene directly” in the fight.
The Iranian leader also reportedly asked Haniyeh to “silence those voices” in Hamas calling for Iran and its proxy terror group Hezbollah to directly join the war against Israel “in full force.”
Ndio mnavyolishana huu upupu huko madrasa?Tatizo wagalatia mmedanganywa sana na Wazungu na ndio maana kinapokuja swala la dini na vitabu vya Mungu mnatoka patupu
Katika nguzo 5 za Imani za kiislam mojawapo ni kuamini vitabu vya Mungu na Injili ikiwepo kwahiyo Muislam ukiikataa Injili automatically unakuwa umetoka katika uislam maana unakuwa unapingana na Qurani so uislam unamkubali Yesu na Injili yake
Lakini Muislam hatakiwi kutumia Injili katika Ibada zake na sheria zake Kwa sababu Injili mda wake umeshapita
Yani hawa manabii 4 waliopewa vitabu ni sawa na tawala za serikali Kila kitabu kimetawala na kuisha mda wake
Bahati mbaya mliyonayo nyinyi wagalatia Quran ndio utawala wa mwisho Mungu hataleta tena nabii Wala kitabu zaidi Muhammad na Qurani yake
Wayahudi hawakumbali Yesu Wala Injili yake na ndio maana Yesu aliwaachia laana
Yanii Ili Imani yako ya Kiyahudi ikamilike unatakiwa umkane YESU na Injili yake
Sawa waziri wa ulinzi wa AyatollahNaona sasa hivi mme hama kwa hamas ana jificha kwenye hospital hadi mmeanza kuleta propaganda za kijinga.
Mkiambiwa hamna akili mna toa povu yaani mnasema Iran ineufyata hali ya kuwa kila siku Hizbulah ambaye anapokea amri kutoka Iran anaishambulia Israel?
Ukiona shambulizi la Hizbulah jua hilo shambulizi limefanywa kwa amri ya Iran.
Vita siyo kama kufakamia ULOJO wewe fundi wa Vipedo.Thubutu!!!!
Gaza Ni kaeneo kadogo Sana 40km by 10 km by 13 km, kaeneo haka kamezingirwa na Israel pande zote lakini imeichukua IDF zaidi ya mwezi na nusu kufika Al Shifa hosp.
Kumbuka Hamas hawana jeshi, hawana umeme, hawana maji, hawana msaada toka Marekani, hawana vifaru, hawana ndege lkn wamelidindishia jeshi la nchi na washirika wake marekani kwa mwezi na nusu.
Je ingekua Iran? Israel ingechakazwa na hiyo iron dome ingefanywa Kama neti ya kuvulia papa.