Iran yawageuka HAMAS, wapambane na hali yao maana walilianzisha bila kuiomba ushauri kwanza

Iran yawageuka HAMAS, wapambane na hali yao maana walilianzisha bila kuiomba ushauri kwanza

Thubutu!!!!
Gaza Ni kaeneo kadogo Sana 40km by 10 km by 13 km, kaeneo haka kamezingirwa na Israel pande zote lakini imeichukua IDF zaidi ya mwezi na nusu kufika Al Shifa hosp.
Kumbuka Hamas hawana jeshi, hawana umeme, hawana maji, hawana msaada toka Marekani, hawana vifaru, hawana ndege lkn wamelidindishia jeshi la nchi na washirika wake marekani kwa mwezi na nusu.
Je ingekua Iran? Israel ingechakazwa na hiyo iron dome ingefanywa Kama neti ya kuvulia papa.

Sasa baada ya kuona manbo magumu mnaanza kuleta habari nyepesinyepesi hapa! Kama Hamas hawana jeshi wala silaha nani aliwaambia waingie na marungu kule Israel Oktoba 7.
Iran anaogopa moto wa Israel siyo kwamba hapendi kuisaidia Hamas.
 
Tatizo wagalatia mmedanganywa sana na Wazungu na ndio maana kinapokuja swala la dini na vitabu vya Mungu mnatoka patupu

Katika nguzo 5 za Imani za kiislam mojawapo ni kuamini vitabu vya Mungu na Injili ikiwepo kwahiyo Muislam ukiikataa Injili automatically unakuwa umetoka katika uislam maana unakuwa unapingana na Qurani so uislam unamkubali Yesu na Injili yake

Lakini Muislam hatakiwi kutumia Injili katika Ibada zake na sheria zake Kwa sababu Injili mda wake umeshapita

Yani hawa manabii 4 waliopewa vitabu ni sawa na tawala za serikali Kila kitabu kimetawala na kuisha mda wake

Bahati mbaya mliyonayo nyinyi wagalatia Quran ndio utawala wa mwisho Mungu hataleta tena nabii Wala kitabu zaidi Muhammad na Qurani yake

Wayahudi hawakumbali Yesu Wala Injili yake na ndio maana Yesu aliwaachia laana

Yanii Ili Imani yako ya Kiyahudi ikamilike unatakiwa umkane YESU na Injili yake
Screenshot_20231116_005610_Quora.jpg

Unaizungumzia qur'an hiihii mudy aliyoiandika Karne ya saba kwaajili ya kujitimizia mahitaji yake?
 
Kiaongozi wa Iran Ayatollah awasuta wanaoshangaa kwanini Iran imeishindwa kufanya chochote kwenye huu ugomvi, asema jinsi vile vile haikuombwa ushauri kabla kulianzisha basi wapambane tu huko na kwamba Iran haitoingilia....hii ni habari mbaya sana kwa majihad ya humu JF maana wamekua wanasubiri sana wokovu kutoka kwa Iran.
Nafikiri Iran imeshauriwa vizuri maana ilisubiriwa sana ifanye ujinga wowote, ingesambaratishwa kinoma yaani.
===========================

Supreme leader informed Haniyeh decision due to failure to notify Tehran before Oct. 7 onslaught, instructed him to ‘silence’ those urging Iranian involvement, according to Reuters​

Iran’s Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei reportedly told Hamas chief Ismail Haniyeh earlier this month that, since Tehran was not given prior notice of the devastating terror onslaught of October 7, it would not join the war against Israel.

In a report Wednesday citing “three senior officials,” Reuters said Khamenei had told Haniyeh that, while Iran would offer political support to Hamas, it would not “intervene directly” in the fight.

The Iranian leader also reportedly asked Haniyeh to “silence those voices” in Hamas calling for Iran and its proxy terror group Hezbollah to directly join the war against Israel “in full force.”
Tatizo la ujinga ndio maana mnadanganyika kiraisi na propaganda ndogondogo.

Ungekuwa na akili timamu na kuifahamu siasa na na nini kitu kinachoitwa propaganda, usingekurupuka na huo ushuzi wako
 
Thubutu!!!!
Gaza Ni kaeneo kadogo Sana 40km by 10 km by 13 km, kaeneo haka kamezingirwa na Israel pande zote lakini imeichukua IDF zaidi ya mwezi na nusu kufika Al Shifa hosp.
Kumbuka Hamas hawana jeshi, hawana umeme, hawana maji, hawana msaada toka Marekani, hawana vifaru, hawana ndege lkn wamelidindishia jeshi la nchi na washirika wake marekani kwa mwezi na nusu.
Je ingekua Iran? Israel ingechakazwa na hiyo iron dome ingefanywa Kama neti ya kuvulia papa.
Sio mgambo kama unavyojidanganya .....wana silaha nzito na kisasa kabisa...vita sio kama kucheza draft....
 
Tatizo wagalatia mmedanganywa sana na Wazungu na ndio maana kinapokuja swala la dini na vitabu vya Mungu mnatoka patupu

Katika nguzo 5 za Imani za kiislam mojawapo ni kuamini vitabu vya Mungu na Injili ikiwepo kwahiyo Muislam ukiikataa Injili automatically unakuwa umetoka katika uislam maana unakuwa unapingana na Qurani so uislam unamkubali Yesu na Injili yake

Lakini Muislam hatakiwi kutumia Injili katika Ibada zake na sheria zake Kwa sababu Injili mda wake umeshapita

Yani hawa manabii 4 waliopewa vitabu ni sawa na tawala za serikali Kila kitabu kimetawala na kuisha mda wake

Bahati mbaya mliyonayo nyinyi wagalatia Quran ndio utawala wa mwisho Mungu hataleta tena nabii Wala kitabu zaidi Muhammad na Qurani yake

Wayahudi hawakumbali Yesu Wala Injili yake na ndio maana Yesu aliwaachia laana

Yanii Ili Imani yako ya Kiyahudi ikamilike unatakiwa umkane YESU na Injili yake

Nimesahau kidogo nisaidie kuorodhesha hao manabii wanne na vitabu vyao!
 
Haya tuseme wote ala wakubaru ala wakubaru takibiriiiiiiii takibiriiiiii. 😂😂😂😂😂😂 Ila wakati ni dawa nzuri sana muda utayatoa majibu bila kificho
 
Naona sasa hivi mme hama kwa hamas ana jificha kwenye hospital hadi mmeanza kuleta propaganda za kijinga.

Mkiambiwa hamna akili mna toa povu yaani mnasema Iran ineufyata hali ya kuwa kila siku Hizbulah ambaye anapokea amri kutoka Iran anaishambulia Israel?

Ukiona shambulizi la Hizbulah jua hilo shambulizi limefanywa kwa amri ya Iran.

Kila siku ya wapi? Kila siku tunayoijua hapa ni Israel kuchakaza magaidi wa Hamas, hiyo kila siku ya Hezbolla hatuisikii maana Israel angenfuata naye huko huko kumkanyaga!
 
Acheni visingizio jana kwenye hospital milio kuwa mna sema ni makao makuu ya hamas ni kipi cha maana walicho kikuta?

Bado wapo pale wewe tulia watakuja kukuambia wakimaliza operation yao kwa hao magaidi, wala usiwapangie wao wanajua kilichopo pale! Wewe tulia tu utakuja kujua!
 
Sasa itakuwaje kwanini mujahidina of east Afrika tusiungane na masheikh wetu tuende tukawasaidie ndugu zetu katika imaan.
 
Acheni visingizio jana kwenye hospital milio kuwa mna sema ni makao makuu ya hamas ni kipi cha maana walicho kikuta?

Kwanza hapo hospitali anatibiwa nani wakati watu wote walishaambiwa na Israel waende kusini mwa Gaza ili huko kaskazini ubaki uwanja wa mapambano? Wao kwa nini hawajaondoka wakati wenzao walishaondoka?
 
Uzuri kinachowasaidia waislam ni imani yao potofu kutoka kwenye dini yao ya uongo. Walipoaminishwa na kitabu chao kwamba ukiwahishwa ahera ni heri maana utaenda kukabidhiwa mabikira 70 hilo ndilo linalowasaidia na kuwafanya wapiganie kufa haraka

Kwa hiyo wao wapo kwenye masuala ya ufuska tu ndicho wanachowaza? Au ndio maana muda wote wanavaa misuli?
 
Kiaongozi wa Iran Ayatollah awasuta wanaoshangaa kwanini Iran imeishindwa kufanya chochote kwenye huu ugomvi, asema jinsi vile vile haikuombwa ushauri kabla kulianzisha basi wapambane tu huko na kwamba Iran haitoingilia....hii ni habari mbaya sana kwa majihad ya humu JF maana wamekua wanasubiri sana wokovu kutoka kwa Iran.
Nafikiri Iran imeshauriwa vizuri maana ilisubiriwa sana ifanye ujinga wowote, ingesambaratishwa kinoma yaani.
===========================

Supreme leader informed Haniyeh decision due to failure to notify Tehran before Oct. 7 onslaught, instructed him to ‘silence’ those urging Iranian involvement, according to Reuters​

Iran’s Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei reportedly told Hamas chief Ismail Haniyeh earlier this month that, since Tehran was not given prior notice of the devastating terror onslaught of October 7, it would not join the war against Israel.

In a report Wednesday citing “three senior officials,” Reuters said Khamenei had told Haniyeh that, while Iran would offer political support to Hamas, it would not “intervene directly” in the fight.

The Iranian leader also reportedly asked Haniyeh to “silence those voices” in Hamas calling for Iran and its proxy terror group Hezbollah to directly join the war against Israel “in full force.”
 
Thubutu!!!!
Gaza Ni kaeneo kadogo Sana 40km by 10 km by 13 km, kaeneo haka kamezingirwa na Israel pande zote lakini imeichukua IDF zaidi ya mwezi na nusu kufika Al Shifa hosp.
Kumbuka Hamas hawana jeshi, hawana umeme, hawana maji, hawana msaada toka Marekani, hawana vifaru, hawana ndege lkn wamelidindishia jeshi la nchi na washirika wake marekani kwa mwezi na nusu.
Je ingekua Iran? Israel ingechakazwa na hiyo iron dome ingefanywa Kama neti ya kuvulia papa.

Utaishia tu kusema "nge" "nge". Na ujue ukishasema "nge" hiyo imaeshindikana tayar
 
Wewe ndg siyo muelewa wa mambo ya kivita. Ndiyo kaeneo kadogo,lakini adui amejijengea mazingira ambayo ili umfikie lazima usababishe maafa kwa raia na hapo hasira ya kimataifa juu yako itainuka. Adui ametumia muda mwingi, kujiwekea mazingira ya kujificha , kujihami. Rwandan kieneo ni ndogo nenda kaivamie! Kuingia kwenye ardhi ya mtu kijeshi kwa uwazi siyo jambo dogo, labda kwa kuvizia.
Hata hivyo tuwapongeze Israel kwa kujitahidi sana kupunguza idadi ya vifo vya raia. Kwa jinsi Hamas walivyokuwa wamejichimbia chini ya mindombinu za kiraia mfano, mahospitali,mashule, miskiti na Makambi ya wakimbizi, kwa sasa tungekuwa tunaongelea vifo vya watu wasio na hatia zaidi ya elfu 40, lakini kwa namna walivyoendesha hii vita hadi kufikia ngome za magaidi ,wanastahili pongezi kwa kupunguza idadi ya vifo vya raia.
Hadi sasa Hamasi wanakataa hospitali kutumiwa na Hamas kama kituo cha kutolea amri, wakati ndani ya hospitali zimekutwa silaha ,na vifaa vingine vya kijeshi. Je ni vya nani na kwa nini vilikuwepo ndani ya hospitali?
Kinachoonekana hiyo hospitali ama moja kwa moja madaktari au uongozi wa hospitali ni washirika wa magaidi Hamas.
HONGERA KWA UPUMBAFU. silaha na uniforms uziingize mwenyee, uzipige picha alafu uje uwadanganye wasio na akili timamu kuwa umezikuta humo, 🤣🤣TUONYESHE HAYO MAANADAKI, MATEKA NA HAMAS WALIOJIFICHA CHINI YA YA HIYO HOSPITAL KWENYE MAHANDAKI. HATUTAKI LONGOLONGO HAPA YA KUBADILI GIA ANGANI
 
Kila siku ya wapi? Kila siku tunayoijua hapa ni Israel kuchakaza magaidi wa Hamas, hiyo kila siku ya Hezbolla hatuisikii maana Israel angenfuata naye huko huko kumkanyaga!
Sasa utajulia wapi wakati akili huna?
Hata jana usiku Hizbulah na Israel wamepigana mpakani.
 
Back
Top Bottom