Iran yawageuka HAMAS, wapambane na hali yao maana walilianzisha bila kuiomba ushauri kwanza


Sasa baada ya kuona manbo magumu mnaanza kuleta habari nyepesinyepesi hapa! Kama Hamas hawana jeshi wala silaha nani aliwaambia waingie na marungu kule Israel Oktoba 7.
Iran anaogopa moto wa Israel siyo kwamba hapendi kuisaidia Hamas.
 

Unaizungumzia qur'an hiihii mudy aliyoiandika Karne ya saba kwaajili ya kujitimizia mahitaji yake?
 
Tatizo la ujinga ndio maana mnadanganyika kiraisi na propaganda ndogondogo.

Ungekuwa na akili timamu na kuifahamu siasa na na nini kitu kinachoitwa propaganda, usingekurupuka na huo ushuzi wako
 
Sio mgambo kama unavyojidanganya .....wana silaha nzito na kisasa kabisa...vita sio kama kucheza draft....
 

Nimesahau kidogo nisaidie kuorodhesha hao manabii wanne na vitabu vyao!
 
Haya tuseme wote ala wakubaru ala wakubaru takibiriiiiiiii takibiriiiiii. 😂😂😂😂😂😂 Ila wakati ni dawa nzuri sana muda utayatoa majibu bila kificho
 

Kila siku ya wapi? Kila siku tunayoijua hapa ni Israel kuchakaza magaidi wa Hamas, hiyo kila siku ya Hezbolla hatuisikii maana Israel angenfuata naye huko huko kumkanyaga!
 
Acheni visingizio jana kwenye hospital milio kuwa mna sema ni makao makuu ya hamas ni kipi cha maana walicho kikuta?

Bado wapo pale wewe tulia watakuja kukuambia wakimaliza operation yao kwa hao magaidi, wala usiwapangie wao wanajua kilichopo pale! Wewe tulia tu utakuja kujua!
 
Sasa itakuwaje kwanini mujahidina of east Afrika tusiungane na masheikh wetu tuende tukawasaidie ndugu zetu katika imaan.
 
Acheni visingizio jana kwenye hospital milio kuwa mna sema ni makao makuu ya hamas ni kipi cha maana walicho kikuta?

Kwanza hapo hospitali anatibiwa nani wakati watu wote walishaambiwa na Israel waende kusini mwa Gaza ili huko kaskazini ubaki uwanja wa mapambano? Wao kwa nini hawajaondoka wakati wenzao walishaondoka?
 
Uzuri kinachowasaidia waislam ni imani yao potofu kutoka kwenye dini yao ya uongo. Walipoaminishwa na kitabu chao kwamba ukiwahishwa ahera ni heri maana utaenda kukabidhiwa mabikira 70 hilo ndilo linalowasaidia na kuwafanya wapiganie kufa haraka

Kwa hiyo wao wapo kwenye masuala ya ufuska tu ndicho wanachowaza? Au ndio maana muda wote wanavaa misuli?
 
 

Utaishia tu kusema "nge" "nge". Na ujue ukishasema "nge" hiyo imaeshindikana tayar
 
HONGERA KWA UPUMBAFU. silaha na uniforms uziingize mwenyee, uzipige picha alafu uje uwadanganye wasio na akili timamu kuwa umezikuta humo, 🤣🤣TUONYESHE HAYO MAANADAKI, MATEKA NA HAMAS WALIOJIFICHA CHINI YA YA HIYO HOSPITAL KWENYE MAHANDAKI. HATUTAKI LONGOLONGO HAPA YA KUBADILI GIA ANGANI
 
Kila siku ya wapi? Kila siku tunayoijua hapa ni Israel kuchakaza magaidi wa Hamas, hiyo kila siku ya Hezbolla hatuisikii maana Israel angenfuata naye huko huko kumkanyaga!
Sasa utajulia wapi wakati akili huna?
Hata jana usiku Hizbulah na Israel wamepigana mpakani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…