Iran yazindua mtambo wake wa ulinzi wa anga mfano wa Iron dome na Patriot. Saudia wazidi kununua kachara kutoka Marekani na kukaribisha wanenguaji

Umekaa umejipinda na maelezo mengi na kujichekesha, haliyakua netanyahu hakujui, hakutambueni na upagani wenu, wala yesu hawamtambui, ila mpo tu kujaza server humu😁
Kajamaa kanaandika kishabiki kuliko uhalisia,hapo kanajiona kama vile kanaishi Pentagon.
 
Kwa vile wewe umeolewa unafikiri wote ni mapunga kama wewe sio?
Nilisha kwambia kua usihangaike sana kunishobokea,mimi sichezei tope
Naona Uko busy kutetea mabwana zako wa kiarabu.
Mishipa inakutoka.
Pole sana
 
Naona Uko busy kutetea mabwana zako wa kiarabu.
Mishipa inakutoka.
Pole sana
Naona upo busy kunifuatilia kwenye kila uzi,endelea kunifuatilia tu ila acha kunishobokea,mimi sichezei tope,umesikia wewe punga?

Iran ni Waarabu? unarukia tu uzi wala huelewi uzi unawaongelea kina nani,wewe muhimu ujilengeshe tu kwangu na uchoko wako.
 
Nchi pekee ambayo ADS zimefanya kazi na kuonekana ni Ukraine maana yenyewe inashambuliwa kweli kweli kabisaa
 
Muivamie kwasababu Iran inainyima Israel kupumua kwa kujinafasi
Israel hii ambayo ikijisikia inavamia Gaza, ikijisikia inashambulia Hezbollah, ikijisikia inashambulia Syria.
Israel ndio inanyima Iran usingizi kwa kuua wanajeshi wake na kuua wataalamu wake wa nyuklia. Kama Iran mwanaume ndio alitakiwa avamie Israel, sababu anazo.
 
Wewe jamaa unafaa kabisa kua commedian tu,umeandika kishabiki mpaka umepoteza uhalisia au thamani ya maelezo yako,

Unaongelea Scud za Saddam Hussein,hujui kua Scud za Saddam zilikua zinatua Tel Aviv na Patriot za US zilishingwa kuzuwia?
Alafu Saddam Hussein akashinda kwa kishindo. Na Israel ikasambaratishwa kwa hizo Scuds mpaka leo ni magofu.
Kama ambavyo mataifa ya Kiarabu yaliungana kupigana ana Israel yakapigwa.

Hamas wapo, ndio maana Israel bado inaendelea kufagia Gaza sasa hivi imebaki ushahidi kwamba kulikuwepo na mji
Makombora mangapi ya Hamas yametua Israel kwenye majengo? makombora mangapi ya Hizbullah yametua huko Israel? haya mahaba yenu hua yanawafanya mnatembea na vichwa vitupu?
Makombora ya Hamas sijui ni mangapi, makombora ya Hezbollah sijui yameua wangapi ninachojua kutokana na taarifa ya Hezbollah wenyewe mpaka sasa Israel imeua wapiganaji wake 206 na hapo bado hawana official war.

Kwahiyo anayepigwa ni nani sasa hivi mkuu, Israel ndio inapigwa na watu wake wamekuwa wakimbizi si ndio. Huku Gaza wakila tende na ngamia.
 
Kumbe hua una upumbavu wa hali ya juu kiasi hiki!

Mwanzo ulisema Scud hazikufanya kitu,nakwambia Scud zilitua Tel Aviv na Patriot za US zikashidwa kuzizuwia,umekuja na ngonjera zingine kabisa!

Sikiliza wewe yahudi mweusi wa Ifakara,huyo Israel leo miezi 4 anahangaika na kikundi kidogo tu kama Hamas,pamoja na kusaidiwa na US na mataifa ya Europe ila hakuna lengo alilolitimiza kwa mujibu wa malengo aliyojiwekea,

Bado tu unaendeleza ule ujinga wa kuaminishwa kua mataifa ya kiarabu yaliungana kisha Zionists wakashinda! Sasa mbona leo miezi 4 wanahangaika na Hamas,

Huna point ya maana kwenye huu uzi zaidi ya kuhangaika tu kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla,ni bora ukae kimya ili usiendelee kuonekana kua ni mpumbavu na hujui kitu,endelea kuwaaminisha wasiojua kitu huku ukijiona kama vile unaishi Pentagon.
 
Nimekwambia muulize mamako atakwambia kama mimi ni dogo au sio dogo,
Sasa hivi ndio umejua kua hua kuna mafundisho sahihi sio? ulifikiri kuja na lugha zako za hovyo kwangu ningekuacha sio?
Dogo ni kama umepanic sana. Umepata chakula leo? Mi naona kama ni tatizo la malezi linakusumbua. Nimemuuliza Mama ameniambia wewe umeolewa mapema. Ila ni dogo sana. Umeolewa ukiwa na miaka 9 anasema. So amenipa majibu mujarabu. Naona umesisitiza sana nikaona niulize. Ndo akasema huyu ali break ice akiwa mdogo sana Aisha breaker. Mimi huku sasa ndo umenileta home. Nilitaka usigne mkataba tuanze kazi dogo.
 
Mamako anajua kua wewe huna akili timamu,si unaona mpaka ukajiita kua wewe ni chizi, unaweza kumwambia babako siri zake,

Endelea tu kukaa hapo juu ya sofa na remote bila kujua nani anahudumia hapo.
 
Mkuu katika hoja za mleta mada mbona hakuna sehemu alipo sema kuwa Iran anaizidi Urusi kwa ubora wa ID? Au mm kuna sehemu nilipo sema kuwa Id za Iran ni bora kuliko za Urusi,mbona unapenda kuzua mambo ya uongo ili kutetea hoja zako?
Mm ninacho kupinga ni we kusema eti id za Iran hazina ubora na ndio maana anaagiza za Urusi ,na ndio maana nikakutolea mfano wa nchi zinazo sifika kutengeneza id lakini bado wanatumia Id kutoka nchi nyingine sasa kwa nn iwe ajabu kwa Iran?
Kuhusu Uturuki kunyimwa patriot na Marekani ,hizo Patriot si ndo zinailinda anga ya Saudia ?
Mbona anga ya Saudia ilikuwa imesha kuwa uchochoro dhidi ya makombora ya wahuthi mpaka wakasalimu amri na kurazimika kuongea na wahuthi ili wasitishe mashambulizi?

Kuhusu Urusi kwenda Iran kununua Id inawezekana ,kwani kabla ya vita ya Ukraine kuna ambaye alikuwa anawaza akiwemo ww ya kuwa siku moja Urusi angeenda Iran kununua kamikaze drone ambazo zinemsaidia pakubwa kupunguza gharama za vita nchini Ukraine mpaka sasa?
Urusi ni taifa kongwe kiteknolojia kuizidi Iran lakini sasa hivi Iran ndo inaipatia na kuiuzia Urusi teknolojia ya hali ya juu kwa ajili ya mitambo yake ya uchimbaji wa gesi baada ya kushindwa kuinunua Ujerumani kwa sababu ya vikwazo vya nchi za Magharibi.
Hapa duniani binadamu tunaishi kwa kutegemeana unaweza kuwa na uwezo mkubwa kumzidi mwenzako lakini haimaanishi kuwa huwezi kumtegemea.
 
Mamako anajua kua wewe huna akili timamu,si unaona mpaka ukajiita kua wewe ni chizi, unaweza kumwambia babako siri zake,

Endelea tu kukaa hapo juu ya sofa na remote bila kujua nani anahudumia hapo.
Anayenihudumia mimi ndo anayekuhudumia na wewe. Amenambia wewe ni kama ulianza kubakwa mapema sana miaka 9?imekuathiri kisaikolojia mzee alikuoa ukiwa mdogo sana... 🤣
 
Anayenihudumia mimi ndo anayekuhudumia na wewe. Amenambia wewe ni kama ulianza kubakwa mapema sana miaka 9?imekuathiri kisaikolojia mzee alikuoa ukiwa mdogo sana... 🤣
Umeanza kutoa siri zako za kubakwa sio? Wewe endelea kula ugali wa shikamoo hapo kwa bimkubwa bila kujua nani anahudumia,

Naona umeanza na kujichekesha chekesha,au ndio ulikua unathibitisha kua ulibakwa sio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…