Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Leo sitaki niseme mengi.Mtajionea wenyewe hapo chini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo middle east IPO siku watachinjana kama wanyama. Haiwezekani kila siku ni kurundika misiraha tu. Dunia mbona ina unafiki mkubwa sana
usikute ina injini ya boxer kutoka kwenye pikipiki. ndo zile waliwapa urusi ikirushwa kabla ijafika inapiga mlio kama exozi imepasuliwa
🤣🤣🤣mi nipate tu ugali nile
T14 Armata ....Leo sitaki niseme mengi.Mtajionea wenyewe hapo chini
View attachment 2907067
Iran unveils air defence systems as Middle East tensions soar
Saudi Arabia signs $3.2B deal for South Korean air defense systems
Saudi Arabian GP 2024: 3 international music stars will perform
Ya Urusi imeshindwa, halafu ya huyo ambaye hajaijaribu popote ndiyo ikafanye kazi? Kwanini asiifunge Yemen?Nimesoma tayari wana mpango wa kuupeleka Lebanon na Syria View attachment 2907304
Wewe nchi yako hata umeme wa uhakika hakuna,si ajabu hiyo comment umeiandika ukiwa gizani,na hapo Iran yupo kwenye vikwazo vya kiuchumi kwa zaidi ya miaka 40usikute ina injini ya boxer kutoka kwenye pikipiki. ndo zile waliwapa urusi ikirushwa kabla ijafika inapiga mlio kama exozi imepasuliwa
Kwahiyo wewe ambaye huwezi kutengeneza hata kijiko na huyu aliyetengeneza na anasema anazipeleka huko Syria na Lebanon ni nani anayejua kumzidi mwenzake?Ya Urusi imeshindwa, halafu ya huyo ambaye hajaijaribu popote ndiyo ikafanye kazi? Kwanini asiifunge Yemen?
Kwanza unaelewa hata hizo Air defense systems zinavyofanya kazi kweli? Au ume copy and paste tu!
Mimi najua kumzidi huyoKwahiyo wewe ambaye huwezi kutengeneza hata kijiko na huyu aliyetengeneza na anasema anazipeleka huko Syria na Lebanon ni nani anayejua kumzidi mwenzake?
Mbwembwe zote kwisha nimesoma specifications zake aiseee hawa waajemi ni hatarii.Itakua safi sana, makafiri watakipata wakitakacho mbele ya wanaume
Unajua kula ugali na maharage na kuweka bando kuingia JFMimi najua kumzidi huyo
Ndiyo unachokijua kuhusu mimi, so upo sahihi.Unajua kula ugali na maharage na kuweka bando kuingia JF
Pambana na matatizo yako achana na Iran,hata kama ametengeneza fake,nyie mnao huo uwezo?Ya Urusi imeshindwa, halafu ya huyo ambaye hajaijaribu popote ndiyo ikafanye kazi? Kwanini asiifunge Yemen?
Kwanza unaelewa hata hizo Air defense systems zinavyofanya kazi kweli? Au ume copy and paste tu!