Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Off target ndiyo nini mkuu maana trump kasema wamekufa wanajeshi wa 2 na wengine wapo kwenye hali mbaya sana.na huyo ni trump ambaye hawezi akaongea ukweli kabisa, inamaana ukweli unaweza kukuta hata 20 wamekufa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mujibu wa Alijazra na taalifa kutoka kwa baadhi maafisa wa Iraq
Off target ndiyo nini mkuu maana trump kasema wamekufa wanajeshi wa 2 na wengine wapo kwenye hali mbaya sana.na huyo ni trump ambaye hawezi akaongea ukweli kabisa, inamaana ukweli unaweza kukuta hata 20 wamekufa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mujibu wa shirika la Aljazira na ripoti kutoka kwa baadhi ya maafisa wa Iraq zinasema ni zaidi ya wanajeshi 80 walio uawa.
 
Hata babylon ya kale ilikuwa km usa. But waajemi wakailaza chali. Ikiandikwa lazima itimie haijalishi una ukubwa gani.
Watalala usiku km siku nyingine...but asubuhi wataamka majivu ya nuclear
The NEW WORLD ORDER WILL COME lakini lazima OLD WORLD ORDER IONDOKE.
Na hiyo new world order USA hatakuwa Super Power/pesa haitakuwa dola tena....na nchi zote duniani zitasurender Power zao kwa Entity moja...ili kusiwe na vita tena..kutakuwa no boundaries.
Maana the next WWar dunia itaachwa chakavu vibaya....na haitakuwa ya muda mrefu sababu NUCLEAR ITAHUSIKA NA NCHI KM MBILI TATU KUBWA ZITADHURIKA SANA NA MOJAWAPO NI USA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwan Jana US Si Alikanusha Yakwamba Haondoi Majeshi Yake Nahata Ondoa Mpaka Alipwe Billions Of Dollars Zake Alizotumia Kuwekeza IRAQ Ama Majicho Namasiko Yangu Tu Ndio Hayakuona Na Kusikia VYEMA...!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…