[emoji2][emoji54][emoji23][emoji23][emoji15][emoji12][emoji12][emoji14][emoji14][emoji14]Unakumbuka maneno yangu nikikwambia kama kisasi lazma kilipwe US Wamebakia wanabweka kama Umbwa
ISRAEL Nae Akijipendekeza Atapigika 2 Kama Haamini Ajaribu Aone Kitakachomkuta ........
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna cha hesabu za juma wala wiki za mwisho wa dunia. Mimi ni mkristo na naamini sana. Lakini haya ya kibwetere wa uganda sijui siku za mwisho ngapi ngapi hatuna kitu kama hicho. Na yataisha hayo majuma ngapi ngapi,bado utakuwa unatoa macho tu. Sijui utasema hesabu zimegomaHapana sio kama wiki kama wiki ya kawaida, huu ni muda wa kiunabii, ambao siku moja nisawa na Mwaka mmoja.
Hapa kuna majuma 70 ..... Yakagawanya ktk majuma 69 ya kwanza..na Juma LA mwisho linaloitmisha 70..
Ni somo refu Mkuu ...mpaka nitulie nikueleze kwa ufasaha.
Ila nimambo ambayo ukiyajua , ukasoma Biblia vzuri, huwez shangaa nakinachoendelea leo Duniani.
Sputnik chombo chenu pendwa ndio kimeeleza mmerusha makombora zaidi ya 30 lkn Cha ajabu ni 15 tu ndo yaliyofanikiwa kuingia Iraq na Kati ya hayo pia mengi hayakufikia targetHakuna data yeyote iliyo toka na na kusema kuna mtu kafa ama la, alafu sio makombora 35 huo ni uongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama itakuwa ni WW3. marekani na wapambe wake wanapigwa vibaya Sana. Halafu marekani bila msaada wa wapambe ni mweupeeee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaishi dunia gani? au umeamua tu kua mbunifu wa kujifariji?
Tehran sio chato mkuu.Wangeuwawa usa 80 soldiers muda huu Tehran ingekuwa majivu
Mwanzo wa mwisho wa haya yote, TV ya taifa ya Iran imesema Iran ndio ilihusika, Mungu atunusuru maana hapo hamna kingine, shambulizi la wazi kutoka Iran hadi kwenye kambi la wanajeshi wa Marekani ni wazi kwamba ngoma imeanza, hivi karibuni dunia itegemee kuona shughuli ambayo haijatokea muda mrefu.
Hapa aidha urudi kwenye tumbo la mama yako au ukubali kupokea yajayo, dunia itawasklizia Urusi na Uchina kama wataachia Iran apambane mwenyewe au wataingiza pua moja kwa moja, na wakijiingiza ndio basi.
====
Iran strikes back: Multiple rockets are launched at Al-Asad airbase in Iraq that is home to US and Coalition forces and was visited by Donald Trump
- Iran state TV says Tehran has launched 'tens' of surface-to-surface missiles at Iraq’s Ain Assad air base housing US troops
- The base for American and coalition troops continued to get pelted with rockets with forces taking a third round Tuesday night, according to militarily sources
- It's unclear if there are any casualties at the base where President Trump visited in December 2018
- Local reports initially suggested that five rockets had struck the al-Taji military base situated 30km north of Baghdad, after 'shelter in place' sirens were heard
- However, Kurdistan 24 reporter Barzan Sadiq later tweeted that the base was calm on Tuesday night and suggested the purported attack was likely just a drill
- Reports of the alleged strike occurred just hours after a flurry of US airstrikes were carried out on militia bases in Western Iraq and Syria
Tehran has tonight launched a missile attack on Iraq's Ain Assad air base housing US and coalition troops, defense sources have revealed.
Iranian state TV said 'tens' of surface-to-surface missiles were launched Tuesday.
The base was hit by three barrages of missiles according to militarily sources at the location.
Facilities targeted by ballistic missiles from inside Iran include Erbil in northern Iraq and Al Asad in western Iraq, an official said.
'Under missile attack from Iran,' Fox News reported a senior US military source in a Iraq said. 'These are either cruise missiles or short range ballistic missiles. All over the country.'
It's unclear if there are any casualties at the base where President Trump visited in December 2018.
Multiple rockets launched at Iraq airbase that is home to US troops
Facilities targeted by ballistic missiles from inside Iran on Tuesday include Al Asad in western Iraq - where Trump visited in December 2018 - and Erbil in Iraqi Kurdistan.www.dailymail.co.uk
Sawa kabisa. Marekani vita ni pamoja na manufaa kiuchumi. sio kupeteza makombora bure....Vita ni cost huwezi jua itaishia point gani washauri wake wanamkataza kwa sababu hapo kwenye point ya vita ndipo alipoupatia u super power USA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chanzo Ni Iran State TV[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Soma hiyo mzee.
Japokuwa bado siamini sana.View attachment 1315636
Sent using Jamii Forums mobile app
Aman iwe nanyi wakuu
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu
America mbona hajibu wakuu
Kama kweli yeye ni mwanaume si ajibu
Mbona kala kona mapema sana
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Iran baba laoDunia inasubiri itangaziwe kamanda atakaenda kuifurusha Iran na kanzu na ndevu zao.
Biashara kubwa kuliko zote duniani Ni biashara ya kutumia au kuuza silaha. Mataifa yametengeneza silaha, yatazitumoa wapi?
Iran zitatumika tu na ndio mwisho wa taifa la kimapinduzi la Iran
Sent using Jamii Forums mobile app
Taarifa ya Al Jazeera imetoka kwenye Televisheni ya Taifa ya IranMkuu tazama Al Jazeera kila kitu iko wazi
Hakika Mungu ni mwema, magaidi ya kimarekani yameteketezwa.
Askari wa Iraq ndiyo ambao hawajaumia kwa mujibu wa taarifa hiyo... ila mahali yalipodondoka makombora 17 ndani ya kambi bado wanafanya tathmini.No casualties? Independent press muhimu kweli. Anyway casualites are not the dead,casualities are we the living who tarnish humanity with endless brutality and violence.
Tupo mkuu, watoto wa U.S.ATeam USA tujuane mapema kabisa, tuone watu wanavyochakazwa
Hilo mbona limeshafanyika bila kuvurumusha kombora.Targeting culture sites in war is illegal. It is a war crime.
Go and read "The Hague Convention for the Protection of Cultural Property in the Event of Armed Conflict, 1954".
Sent using Jamii Forums mobile app