Fiziolojia
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 815
- 1,080
Tunafurahi magaidi zaidi ya 80 wa marekani wameuliwa
Hiyo ni ripoti ya tangu Jana,ila haijawa confirmed kwani marekani anasema no casualties,
Off target inashambuliwaje MKUU[emoji1][emoji1][emoji1]wanaweza kushambulia ila ni off-target
Mistari gani kwenye bible niipitie?Hapana sio kama wiki kama wiki ya kawaida, huu ni muda wa kiunabii, ambao siku moja nisawa na Mwaka mmoja.
Hapa kuna majuma 70 ..... Yakagawanya ktk majuma 69 ya kwanza..na Juma LA mwisho linaloitmisha 70..
Ni somo refu Mkuu ...mpaka nitulie nikueleze kwa ufasaha.
Ila nimambo ambayo ukiyajua , ukasoma Biblia vzuri, huwez shangaa nakinachoendelea leo Duniani.
Bro unaishi ulimwengu upi?
Sio PM Minister Ni FM MinisterBBC, French 24, TRT World, Africa news, TVGE, na vingine kibao.
.
Fatilia nini kilifanya RT - UK RT -america, RT - FRANCE na RT - Arabic vianzishwe ukipata jibu jaribu kuitazama RT - International ni FTA kabisa 24Hrs ni habari za America america america.
.
Muda huu saa 10:15 ni habari kuhusu PM wa Iran kunyimwa visa na maandamano ya baghdad
We boya kweli Trump mwenyewa kakili kuna wanajeshi wameuawa wewe mtu wa manzese una sema hakuna aliye fariki.Vitu vingine vinachekesha kweli yani roketi zaidi ya 10 hawajaua hata mtu mmoja?Hii ni aibu.Kwa taifa lenye nguvu ya kivita Tungeshajua mpaka sasa wanajeshi 120 wa marekani wamefariki huku wengine 60 wakiwa hawajitambui.Sasa wao hata 1 wameshindwa kuua.
Sent using Jamii Forums mobile app
NINGEKUA mshauri wa Wizara ya ulinzi na majeshi ya Iran ningewashauri wasihangaike na marekani sijui washington au Newyork, watumia technique hyohyo. Yeyote anaekubali marekani aitumie ardhi yake kuishambulia Iran basi achakazwe mpaka akome. Hivyo visima vya mafûta vya saudia vipigwe mabomu ya kutosha! profesawaaganojipya,
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeipata wapi?Taarifa sizizo aminika inasema kua takribani wanajeshi 80 wameuawa helcopters himeharibiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesahau Beirut Askari 290 wa marekani walikufa?Propaganda za waarabu! Uue wamarekani 80 kiboya hivyo?
Ha ha ha,mda huwa haudanganyi mkuu,,we unadhani kwanini Trump Yuko kimya?Umeipata wapi?
Mimi nimepitia CNN,PRESSTV,AL MASDAR,AL ARABIYA,AL JAZEERA,RT
sijaiona hiyo taarifa ,wewe umeipata wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
We boya kweli Trump mwenyewa kakili kuna wanajeshi wameuawa wewe mtu wa manzese una sema hakuna aliye fariki.
Kulengwa kambi za US namachuma Yakiwepo Niushindi Mkubwa Sana Kwa IRANPropaganda at work. Wao wamejuaje wakati hawajaenda kwenye hizo bases
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha,mda huwa haudanganyi mkuu,,we unadhani kwanini Trump Yuko kimya?
Iran is committing suicide!!Senator Graham kampigia simu Trump na Trump kamwambia kuwa watashambulia Visima vya Mafuta ya Iran ili kukata mrija
Sent using Jamii Forums mobile app
I see...Marekani wanadhani iran isinge retaliate?
They are on cocaine!