Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
US hata wakiuwawa wanajeshi 500 hawawezi kukupa idadi hiyo lazima wakupr angalau ten percent, watakuambieni ni wanajeshi 50 tu ili ku save face kutokana na bragging kuwa wao ni superior. Msiziamini hizi stats zao, inawezekana idadi ya casualities ni kubwa kuliko inayosemwa.Riport ambayo haijawa comfirmed,Askari 30 wa marekani wamefariki,ila Bado haijawa comfirmed maana marekani wanadai hakuna aliekufa,
Meanwhile baada ya shambulizi Hilo,leo asubuhi General qasseim ndo amezikwa rasmi kijijini kwake.
Mpaka Aljazeera wana andika hvyo ujue kuna uthibitisho umepatikana ndio maana waka andika hvyoMuwe mnasoma na kuelewa. Hapo imeandikwa Iran State TV
Wao wamejuaje wakati hawajaenda kwenye hizo bases
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada tulia basi kunywa maji roho ipoe ndio uandike kitu kinachoeleweka
AL jaazera gani unayoizungumzia?Kwa mujibu wa Alijazra na taalifa kutoka kwa baadhi maafisa wa Iraq
Kwa mujibu wa shirika la Aljazira na ripoti kutoka kwa baadhi ya maafisa wa Iraq zinasema ni zaidi ya wanajeshi 80 walio uawa.
Duh ya kweli haya????MR KUO,
Usichojua ni kuwa waarabu wako upande wa USA
Aliskika msukuma mmoja akiwa pale chatoIran is committing suicide!!
ILI ushinde Vita YEYOTE lazima KWANZA UCHUMI WAKO UHIMILI VITA!
PILI WATU WAKO WAKO UPANDE WAKO!
SILAHA ZAKO NI NZURI ZAIDI ZA ADUI YAKO!
SIFA AMBAZO IRAN HANA!
MUDA UTASEMA KAMA US ATAAMUA KUPIGA VITUO VYA MAFUTA!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12]Wamenunua kutoka wapi ?!
Kitendo cha mabomu kupika kambi za US Tayar Ni On Target
Halaf US Yale Machuma Chuma Yao Yalikua Yamelala Nini [emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12]Wamenunua kutoka wapi ?!
Kitendo cha mabomu kupika kambi za US Tayar Ni On Target
Halaf US Yale Machuma Chuma Yao Yalikua Yamelala Nini [emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu nyau anafanya Nini hapa????Haijalishi wawe wamenunua au wametengeneza nachojua wametumia ghalama, hakuna dampo la silaha ambalo watu wananenda kuzoa tu
Hapo chini nimeweka picha ya jeshi la iranView attachment 1315731
It's Scars
Samahani mkuu Mimi si MTU wa ubishani ..nataka hoja kwa hoja!Mzee wa wigi anasemaje kule twitter?
dodge
Point yangu bado iko pale
Zaidi ya mabilion ya dollar umeyatumia kununua silaha halafu zinakuja kuua watu wawili ambao wangeweza kuuliwa na shoka la shilingi 5000
View attachment 1315647
It's Scars
Mkuu..Mimi sihusudu ubishani au ushabiki..siko upande wowote..maana huwa sipendi vifo.Ha ha ha,mda huwa haudanganyi mkuu,,we unadhani kwanini Trump Yuko kimya?
Swali la kujiuliza mifumo ya anga ya Marekani ilikuwa wapi? Kushambulia kambi si kitu rahisi.
Haijalishi wawe wamenunua au wametengeneza nachojua wametumia ghalama, hakuna dampo la silaha ambalo watu wananenda kuzoa tu
Hapo chini nimeweka picha ya jeshi la iranView attachment 1315731
It's Scars
Sawa hongeraMkuu mimi ni team Iran lakin mimi siyo mwisilam
Tatizo lenu waislam mnazan kila asiye muisilam basi ni team America
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado tu hamjaamka wamarekani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28]
Nikiuliza mzee wa wigi anasemaje kule twitter hapo nakua nabishana na wewe kitu gani boss?Samahani mkuu Mimi si MTU wa ubishani ..nataka hoja kwa hoja!
Kama upo kishabiki kwaheri!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ilikua hv wasingetengeneza machuma chuma yao yakuzuia Ballisitic Missile Wakat Kuna Mahandaki Halaf Ujue Kana Mabomu Ardhi Hata Kama Ina Mlima Inakua TambarareIzo kambi zote uko zina bunkers (mahandaki) chini ya ardhi ya wanajeshi kuingia endapo watashambuliwa na mabomu kama leo na yana radar kudetect makombora mapema ili alarm ipigwe watu waingie kwenye bunkers wasipate madhara, na ndio kilichotokea
Sent using Jamii Forums mobile app