Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Riport ambayo haijawa comfirmed,Askari 30 wa marekani wamefariki,ila Bado haijawa comfirmed maana marekani wanadai hakuna aliekufa,

Meanwhile baada ya shambulizi Hilo,leo asubuhi General qasseim ndo amezikwa rasmi kijijini kwake.
US hata wakiuwawa wanajeshi 500 hawawezi kukupa idadi hiyo lazima wakupr angalau ten percent, watakuambieni ni wanajeshi 50 tu ili ku save face kutokana na bragging kuwa wao ni superior. Msiziamini hizi stats zao, inawezekana idadi ya casualities ni kubwa kuliko inayosemwa.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Muwe mnasoma na kuelewa. Hapo imeandikwa Iran State TV
Wao wamejuaje wakati hawajaenda kwenye hizo bases

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka Aljazeera wana andika hvyo ujue kuna uthibitisho umepatikana ndio maana waka andika hvyo

Pole kwa Machuma Chuma Kuchemka MKUU [emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran is committing suicide!!
ILI ushinde Vita YEYOTE lazima KWANZA UCHUMI WAKO UHIMILI VITA!
PILI WATU WAKO WAKO UPANDE WAKO!
SILAHA ZAKO NI NZURI ZAIDI ZA ADUI YAKO!
SIFA AMBAZO IRAN HANA!
MUDA UTASEMA KAMA US ATAAMUA KUPIGA VITUO VYA MAFUTA!

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliskika msukuma mmoja akiwa pale chato

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12]Wamenunua kutoka wapi ?!

Kitendo cha mabomu kupika kambi za US Tayar Ni On Target

Halaf US Yale Machuma Chuma Yao Yalikua Yamelala Nini [emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12]Wamenunua kutoka wapi ?!

Kitendo cha mabomu kupika kambi za US Tayar Ni On Target

Halaf US Yale Machuma Chuma Yao Yalikua Yamelala Nini [emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app


Haijalishi wawe wamenunua au wametengeneza nachojua wametumia ghalama, hakuna dampo la silaha ambalo watu wananenda kuzoa tu

Hapo chini nimeweka picha ya jeshi la iran
FB_IMG_15784681012359911.jpeg


It's Scars
 
Haijalishi wawe wamenunua au wametengeneza nachojua wametumia ghalama, hakuna dampo la silaha ambalo watu wananenda kuzoa tu

Hapo chini nimeweka picha ya jeshi la iranView attachment 1315731

It's Scars
Huyu nyau anafanya Nini hapa????

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Izo kambi zote uko zina bunkers (mahandaki) chini ya ardhi ya wanajeshi kuingia endapo watashambuliwa na mabomu kama leo na yana radar kudetect makombora mapema ili alarm ipigwe watu waingie kwenye bunkers wasipate madhara, na ndio kilichotokea

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ilikua hv wasingetengeneza machuma chuma yao yakuzuia Ballisitic Missile Wakat Kuna Mahandaki Halaf Ujue Kana Mabomu Ardhi Hata Kama Ina Mlima Inakua Tambarare


US = PAPER TIGER...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom