Kama jinsi dola ya Uajemi na Waamedi chini ya mfalme Cyrus ilivyoipiga na kuizima Babylon ya kale, huenda Dola la Uajemi la sasa likaiangusha Babylon ya sasa (Marekani).
Marekani ni Taifa lenye nguvu lakini limekuwa Taifa litendalo ouvu mwingi sana duniani kama vile vita za kuua mamilioni mfano Vietnam, Iraki n. k. Limekuwa Taifa la matendo ya ushoga n. k
Naona sasa wameamua kutupeleka WW3, IRAN imelipiza kisasi kwa kuvurumusha makombora ya masafa mafupi nchini Iraq dhidi ya Jambi mbili za kijeshi za Marekan zinazohifadhi wanajeshi za NATO..
Kwa ufupi, US na NATO ndio walichokua wanataka.
Russia na China ,hawawez acha Uwekezaji wao nchin Iran uende mikonon mwa NATO...
Saver ya Twitter itapata mzigo wa kufa mtu!1.Vikwazo zaidi vya uchumi kwa Iran
2.kutangaza vita kamili na Iran
3.kuahidi kulipa kisasi
4.kutuma balistic missile kwenda Iran
5.Au kutuma ndege za kivita Iran
Sent using Jamii Forums mobile app
Reliable source kwako ni kama zipi?
dodge
Hem jiangalieni isije kua mshakufa [emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji12][emoji12][emoji14][emoji14]
https://www.facebook.com/video.php?v=2345832668855693Weka hiy bideo hapa
Hivyo vi2o anafika saa ngapi kwanza akipiga vituo aka acha kambi zakijeshi ni kazi bureIran is committing suicide!!
ILI ushinde Vita YEYOTE lazima KWANZA UCHUMI WAKO UHIMILI VITA!
PILI WATU WAKO WAKO UPANDE WAKO!
SILAHA ZAKO NI NZURI ZAIDI ZA ADUI YAKO!
SIFA AMBAZO IRAN HANA!
MUDA UTASEMA KAMA US ATAAMUA KUPIGA VITUO VYA MAFUTA!
Sent using Jamii Forums mobile app
Haijalishi wawe wamenunua au wametengeneza nachojua wametumia ghalama, hakuna dampo la silaha ambalo watu wananenda kuzoa tu
Hapo chini nimeweka picha ya jeshi la iranView attachment 1315731
It's Scars
Started After Ballistic Missile Ku penetrate Patriotic Missile [emoji23][emoji3][emoji12][emoji12][emoji14][emoji14]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo hamna aliyesalimikaWale mnaobisha tizama jinsi Ngome ya marekani iraq ya Al Asad airbase ilivyochakazwa halafu mnasema hakuna wanajeshi wa marekani waliukufa!!!?
Halafu mashambulizi yalikuwa ya ambush mishale ya saa saba za usiku
Can't be serious.View attachment 1315816
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali Ya US Yakifisadi Sana Inatumia Gharama Napesa Nyingi Mnoo Zawalipa Kodi Kutengeneza Mifumo Yahovyo Yakijeshi
ANAFANYAJE APA HUYU MJEDA....!?Nyie mnaweka nyau, angalieni hii kutoka huko kwa waliowafundisha mbinu za kivitaView attachment 1315777
It's Scars
Ataondoka 2 wewe ngojea 2 na kama hawataondoka basi watakufa 2 maana hakna namna ss .....Ni kweli wameuawa zaidi ya 80 na tayari baadhi ya nchi zimeanza kuondoa wanajeshi wao nchini Iraq ila mmarekani bado kakomaa anasema haondoi mtu huko.
Anasubiria maziwa🤣Huyu nyau anafanya Nini hapa????
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huruma ya nn kwan ndege c ime angukwa kwasabbu zake bnafsi mkuu ama ?!Updates: View attachment 1315760
Sent using Jamii Forums mobile app
--My views---
Ni jambo la kushangaza hakuna hata mmarekani mmoja aliyekuwepo kwenye ndege hiyo lakini washirika wa marekani ndio wapiokuwepo.
Hii maana yake nini!?
Anyway, ngoja kwanza black box ipatikane ili tujue chanzo cha ajali LAKINI kwa akili ya kawaida kabisa hii ni kazi ya CIA na trump administration ili kutafuta huruma ya nchi washirika wa marekani.