Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Hukumu ya wanadamu sio hukumi ya Mungu.
Mimi nasema Marekani isiruhusu taifa la kiarsbu kupata nguvu zaidi duniani ni hatari kwa ustawi wa dunia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nasema Marekani isiruhusu taifa la kiarsbu kupata nguvu zaidi duniani ni hatari kwa ustawi wa dunia.
Kama jinsi dola ya Uajemi na Waamedi chini ya mfalme Cyrus ilivyoipiga na kuizima Babylon ya kale, huenda Dola la Uajemi la sasa likaiangusha Babylon ya sasa (Marekani).
Marekani ni Taifa lenye nguvu lakini limekuwa Taifa litendalo ouvu mwingi sana duniani kama vile vita za kuua mamilioni mfano Vietnam, Iraki n. k. Limekuwa Taifa la matendo ya ushoga n. k
Sent using Jamii Forums mobile app