mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Yes,imeanguka yenyewe hio.Hiyo imeanguka mkuu ilikuwa inatoka Tehran na ni wakati inapaa
dodge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes,imeanguka yenyewe hio.Hiyo imeanguka mkuu ilikuwa inatoka Tehran na ni wakati inapaa
si wangerusha kombora moja pale new York city au LA
What if marekan kaachia makusud ili kujipa sabab zaid ya kumtandika iran,nayeye iran kaingia kwenye mtegoUshimen Marekani amendoa wananchi wake tu huko Iraq ila wanajeshi wake wapo kama kawaida na ndiyo kwanza wamewaongeza ili kujiandaa kivita, unafikiri Marekan ataweza kuliondoa jeshi lake Iraq? Ili amkabiri Iran akiwa nchi gan ikiwa Saudia ana maslah yake lukuki!
Marekani hakutarajia kama ngome zake zinaweza kufikiwa na makombora Iran, hvi unafikiri hakukuwa na mifumo yakujilinda makombola hapo? Yapo lakin ndo hvo mvua zimepita.
Marekani watutangazie tu wanajeshi wangapi wamekata kamba kama walivyo muua jenerali wa iran.
Pale Al Assad air Base Kuna Patriot air defence,haikuweza kupangua makombora yoteKwa hiyo marekani hakuziona missiles zikienda kwenye camp zake na kuzizuia?
Waamue sasa, wenzao Iran wameshaamua. Wasipoamua ndio wamefyata mkia hivyo.Iran wasijione wapo vizuri kivile maana USA ikiamua naamini Iran wataisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona hizo kombora zikivurumishwa aisee sisi tukasome. Dah kama matone ya mvua.Mi Bado nafuatilia kucomfirm Kama F-35 ilipigwa Jana ikijaribu kuingia Iran baada ya shambulizi
What if marekan kaachia makusud ili kujipa sabab zaid ya kumtandika iran,nayeye iran kaingia kwenye mtego
Sent using Jamii Forums mobile app
Iran ni moja ya nchi zenye net kali sana kwenye anga lao! Marekani hajawahi piga na nchi yoyote yenye ulinzi wa anga ambao tunaweza ufananisha na wa Iran!Mi Bado nafuatilia kucomfirm Kama F-35 ilipigwa Jana ikijaribu kuingia Iran baada ya shambulizi
Kuna pro US walisema Iran hawezi ku retaliate lakini amefanya hivyo ndani ya muda mfupi tena huku vikosi vya Marekani kote duniani hususan Iraq vikiwa kwenye high alert.Iran sio wakumbeza ana nguvu kubwa kijeshi na kiteknolojia
si wangerusha kombora moja pale new York city au LA
Jana usiku baada ya shambulizi,ndege za marekani Kama sita zikanyanyuka toka UAE kuelekea Iran,
Iran wakatoa onyo kwa United Arab Emirates kuwa endapo hizo ndege zitapiga iran,wao wataupiga mji wa Dubai,baada ya mda sikusikia ndege za marekani kujibu mashambulizi,
Wakati huo Iran ndege zake zishaingia anga la Iraq ,ripoti ya mwisho kabla sijapitiw usingizi Iran wametungua ndege ya marekani karibu na bandar Abbas,Bado sijaconfirm
Unamjua elungata unajua cheo chakeUna confirm kutokea mbagala kutoka kwenye westerns media alafu uie upost JF? [emoji13][emoji13]