Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,485
- 13,693
Kiama chajaSoma hiyo mzee.
Japokuwa bado siamini sana.View attachment 1315636
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiama chajaSoma hiyo mzee.
Japokuwa bado siamini sana.View attachment 1315636
Sent using Jamii Forums mobile app
Namaanisha ulete chanzo cha kuthibitisha ulichokisema kutokea vyombo vya habari visivyo vya westerns hata cha Vietnam kilete tu"na ole wako" what do you mean?
Mohamad Ahmed Nejadi ndo alikuwa anawatoa mood Wamarekani. Nilimkubali sana yule Rais.
Upuuzi??? Mkuu uko serious??? Yaliyo tabiriwa lazima yatimie... Subiri soonTutolee upuuzi wako wa kisabato
Shida ni kwamba America ni muoga sanaSubiri vita yenyewe inakuja
AljaziraAksante = Ahsante
Leta source ya habari na ole wako iwe westerns media
Mwanike lekaka ubhobhaNyie shangilieni tu. Subirini mafuta ya gari yakosekane ndo mtakapoisoma number. Mjue middle east ndo energy ya dunia nzima upande wa Oil ?
NINGEKUA mshauri wa Wizara ya ulinzi na majeshi ya Iran ningewashauri wasihangaike na marekani sijui washington au Newyork, watumia technique hyohyo.... Yeyote anaekubali marekani aitumie ardhi yake kuishambulia Iran basi achakazwe mpaka akome..... Hivyo visima vya mafûta vya saudia vipigwe mabomu ya kutosha!
Sent using Jamii Forums mobile app
Off target ndiyo nini mkuu maana trump kasema wamekufa wanajeshi wa 2 na wengine wapo kwenye hali mbaya sana.na huyo ni trump ambaye hawezi akaongea ukweli kabisa, inamaana ukweli unaweza kukuta hata 20 wamekufaIran wapuuzi
Ebu fikiria wametumia mabilion ya dollar kununua silaha halafu wanapiga off target?
View attachment 1315630
It's Scars
Mkuu Iran ni mwanaumeHatutaki kujua hayo,for the mean time Iran ametuwakilisha ipasavyo.
dodge
BBC, French 24, TRT World, Africa news, TVGE, na vingine kibao.
.
Fatilia nini kilifanya RT - UK RT -america, RT - FRANCE na RT - Arabic vianzishwe ukipata jibu jaribu kuitazama RT - International ni FTA kabisa 24Hrs ni habari za America america america.
.
Muda huu saa 10:15 ni habari kuhusu PM wa Iran kunyimwa visa na maandamano ya baghdad
Nenda kasome aljazeeraAcha fix mkuu vyombo vyote vya habar duniani havijasema kama kuna vifo wewe unasema kuna vifo vya askar 30 duh....
Sent using Jamii Forums mobile app
Off target ndiyo nini mkuu maana trump kasema wamekufa wanajeshi wa 2 na wengine wapo kwenye hali mbaya sana.na huyo ni trump ambaye hawezi akaongea ukweli kabisa, inamaana ukweli unaweza kukuta hata 20 wamekufa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tazama Al Jazeera kila kitu iko waziNamaanisha ulete chanzo cha kuthibitisha ulichokisema kutokea vyombo vya habari visivyo vya westerns hata cha Vietnam kilete tu