Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

Mi nadhan hakuna vita itakayotokea, na hakuna anaetaka vita sio US wala Iran.

Javad Zarif, Foreign Minister wa Iran kwnye twitter page yake..... anasema baada ya kuattack base za US wame "conclude" revenge yao and hawana mpango wa vita.

Iran wako under pressure kutoka ndani to respond lakini wamefanya shambulio calculated bila kusababisha casualties/vifo na kuplay diplomacy.

Kwa sasa nadhan balance kwny hii saga is restored, US walimuua general wakabaki na guilt, Iran amerespond somehow so guilt is written off...... suala hapa ni "what comes next", tusitegemee vita ila figisu zitaendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app

Tusubiri Trump Amke, maana kasema anatoa statement asubuhi ya jumatano, bado wako usiku wa jumnne kwao,
Ila tweet yake ya kutaka kulipa kwa kuteketeza Cultural site za Iran, kimeibua Hasira kubwa sana kwa waIran,hata Iranian-American
 
Trump anasema bado wanafanya tathmini ya hasara wewe unasema mabomu yameanguka pembeni! Ebu tufafanulie, uko Pentagon command and control centre ama Kilimatinde?( jokes)
Iran bhana...nasikia wametangaza wameua 80 wakati huohuo Iraq inasema hakuna aliyekufa.

Ngoja tusubiri taarifa kamili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vita ni cost huwezi jua itaishia point gani washauri wake wanamkataza kwa sababu hapo kwenye point ya vita ndipo alipoupatia u super power USA.
Urusi, North korea au China...Ila Iran wanataka washambuliwe waiingize Israel vitani ili kuungwa mkona na waarabu pro-Shai.
Trump nae anashida ya maelewano na wapanga vita wake.. anata 'pigaua' bila kujali upande wa kisiasa kwake na uhusiano na mataifa ya Ulaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2020.
2+0+2+0::::4
4::::FIRE.AS I SAY BEFORE,SIO HUKO NJE PEKEE KAMA MDHANIAVYO BUT "EVERY WHERE"
#mnajimu NGULI.
 
Aman iwe nanyi wakuu

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu

America mbona hajibu wakuu

Kama kweli yeye ni mwanaume si ajibu

Mbona kala kona mapema sana

LONDON BOY

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni aibu ya marekani katika uso wa dunia .

Yani na iran kuihakikishia kuwa itaitwanga marekani zaidi mara 100 , lakini bado wameshindwa kuzuia makombora,tena katika military base yao.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbna Unaongea Kinyonge Sana Mkuu Mpaka IRAN Wanapiga Kambi Zakijeshi Za US Hapo IRAQ Yale Machuma Chuma Yao Yalikua Wapi Asee [emoji22][emoji22][emoji22]

US Base In Mido Ist Is Safeless na Machuma Chuma Yao Ni Useless

Waipige afu wasiongeee

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ayatollah naye kajimwambafai naona alikuwa anashuhudia live tukio la makombora kwa TV kama alivyofanya Trump wakati wa kumuua Qassem haya bwana!
 
Iran must stop this nonsense.

Iran inafadhili magaidi wa Hezbollah
Iran inafadhili magaidi ndani ya Revolutionery Guard
Iran ina mawazo mgando ya kuifuta Israel - hii ni laana na hawatafanikiwa

Ayatollah aache kuwajaza Wairan matumaini hewa. Marekani watakapojibu watakaoumia ni hao wamama na vitoto vinavyoimba Death to America kwa kufata mkumbo.
 
Hayo makombor yamesababisha mashara gani?
Vifo vingapi??
Uharibifu gani umetokea??
 
military source from Tehran told Sputnik that Iranian military jets are airborne and currently flying in border areas as the operation takes place.

Earlier Wednesday morning, approximately 35 missiles were launched and struck US targets in Erbil, Iraq and the country's Ayn al-Asad Air Base, which houses US military forces.

Wamerusha makombora 35 kati ya hayo yote 15 tu wamefanikiwa kuingia Iraq mengine itakua yamedondoka njiani. Na Kati ya hayo 15 kuna mengine bado hayakuhit Target ndo maana mpaka hakuna Mmarekani au mwanajeshi aliyekufa.

Second Wave of Missile Attacks Fired Against US Targets in Iraq - Iranian Media

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kuna yalo hit target kitendo chakuhit target tu inaonesha machuma chuma ya US Hayana Maana [emoji23][emoji23][emoji23]

Inaonesha Kambi Zao Sio Salama Na Imeonesha IRAN Wametekeleza Kusema Kwamba Watajibu

Nilitegemea Patriotic Ingetungua Walau Kakombora Kamoja Ase


US=PAPER TIGER

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom