Hawa wazee hawawapi watoto wao wa dotcom mbinu za ushindi dhidi ya ujinga wa waamini wao, hata wazee wanaona ni useless, sasa Mutta Rwakatare mchungaji mwandamizi analewa na kutokomea kwa siku 60!Mwamposa ni NIOKO na ana kanguvu kakubwa sana kaushawishi.
Bado tunamsubiri Suguye aanze ziara za uwizi baba yao Kakobe ameshazeeka sasa
Acha ujinga wewe,eti umesoma seminary, Seminary mavi,ndio maneno yenu hayo kutuaminisha kuwa mnaifahamu vizuri RC kumbe mavi tu,kaa kwa kutulia.Hao Kalisimatiki walijitenga lini??,Weka ushahidi hapa.KWANINI CHARISMATIC WALIJITENGA NA NYINYI MLIOPOA KIROHO.
HEBU TULIA. WENZIO TUMESOMA SEMINARY, TUNAIJUA RC NDANI NJE
UNAELEWA KIKUNDI CHA CHARISMATIC NDANI YA RC???
Mkuu,huyu ni mpotoshaji tu hajui lolote kuhusu RC.Hee, yaani unasema unalielewa RC ndani nje wakati unasema Charismatic walijitenga? Ni kweli unaelewa hivyo au itoshe kusema hauelewi? Sasa sikia, Charismatic ni Chama Cha Kitume ndani ya Kanisa Katoliki kama vyama vingine vya Kitume, mfano Legio Maria, Moyo Mtakatifu wa Yesu, Kolping, UWAKA, WAWATA, VIWAWA, Utoto Mtakatifu nk. Sasa sijajua walijitengaje wakati condition mojawapo ya kuwa mwanachama wa Charismatic ni kuwa Mkatoliki! Nahisi unasimuliwa, na unajidanganya kwamba kusoma Seminari ndio kuujua Ukatoliki. Hata JK alisoma shule ya Mission
Sasa Fr.Nkwera kilikuwa ni kikundi au mtu?, Halafu Fr.Nkwera hakujitenga bali Kanisa Katoliki ndilo lililomtenga kwa kutotambua mafundisho yake.Leta ushahidi wa Karismatiki kujitenga na RC.Umezaliwa lini wewe? Father Nkwera unamfahamu na kilichompata ndani ya RC?
Tuanzie hapo kwanza.
Wewe acha upoyoya,Sasa maji ya baraka utafananisha na maji ya upako?,Maji ya baraka hayauzwi lkn maji ya upako yanauzwa,Rozari zinahusiana nini na maji au mafuta ya upako??, Kuhusu Padre kushauri wanandoa ili hali yeye ni mseja hii sio ishu kwasababu yeye amesomea mambo hayo,hata hivyo zipo Kamati za kusuluhisha migogoro ya ndoa.Ata RC si wana maji ya Baraka,mbona amuhoji?Na hile Rozali si inauzwa,ni ya nini?Padri anasuluhisha mgogoro wa ndoa wakati yeye ni Bachelor!,mbona hamuhoji?
RC waache udikteta!
Wewe hazikutoshi,Kumuomba Mama Bikira Maria atuombee unafananishaje na hiyo ya kuombewa na Mhuni Mwamposa?, Halafu wewe jamaa hivi, Mama Bikira Maria unamchukuliaje lkn?, Mbona km unamchukulia kirahisi hivyo?. Kuhusu Rozari njoo RC tukupe shule acha kudanganywa na wahuni hao akina Mwamposa na wengineo.Mbona RC wanamuomba Marehemu Mariam awaombee kwa Mungu wana maana gani?
Na ile Rozali inammaana gani?
Watu wanataka uponyaji,zama zimebadilika Mkuu,siwezi kukaa naumwa wakati kuna Mtumishi ana suluhisho la shida yangu!!,mbona kwa Waganga tunaenda na church tunaenda vilevile."Kunya anye Kuku,akinya Bata kaharisha'
Utaisha tu huo ukwasi, pesa za kitapeli huwa hazichukui mudaNi muhuni tu , mke wangu nilimwambia kuhusu huyo tapeli , had akanielewa,
Mwamposa et anaponya vilema Cha ajabu Ni wenye miguu miwili au wanaochechemea tu,
Ila jamaa Ni msanii sana, kwasasa ana ukwasi mkubwa sana
Ndio maana tumewaambia hao kuwa wawe huru waende wakaabudu huko kwa Mwamposa.Kwani RC hamna Mafuta?
Unafiki siyo mzuri?heshimuni Imani za madhehebu mengine,msijifanye nyie watakatifu wakati na nyie mna upungufu.Kama RC ipo sahihi sana pasingekuwepo na Anglican,KKKT, Moravian na sasa makanisa ya uamsho.Aya madhehebu yote yalijitenga na RC kwa sababu za kutofautiana kiimani.
Kwann hawakutoa onyo kablaWala Kanisa halijatumia mabavu kama unavyodhani. Siku zote Kanisa Katoliki lina misingi na kanuni zake. Ukikiuka, lazima uwajibishwe ipasavyo. Haijalishi wewe ni muumini wa kawaida, mtawa, Padre, au Askofu!
Hivyo hakuna jipya hapo.
Hivi jamaa alipotelea wapi??Nakumbuka walishamwambia Lundenga mzee wa miss tz enzi zile kuwa akidedi hawatahangaika nae ingawa kidini walikosea maana Allah ameagiza yeyote atakayefariki aswaliwe
Una uhakika kwamba huwa hakuna makatazo ya Mkatoliki kushiriki ibada zisizoeleweka?Kwann hawakutoa onyo kabla
HahahahNyota na mwezi umezisahau mkuu.
Swali zuriAta RC si wana maji ya Baraka,mbona amuhoji?Na hile Rozali si inauzwa,ni ya nini?Padri anasuluhisha mgogoro wa ndoa wakati yeye ni Bachelor!,mbona hamuhoji?
RC waache udikteta!
Wewe bhana mambo ya Katoliki achana nayo. Maana hakuna unachokijua. Na kwa bahati mbaya huwezi kuelewa hata aje Mkuu wa Makatekista wote duniani kuja kukufundisha.Ata RC si wana maji ya Baraka,mbona amuhoji?Na hile Rozali si inauzwa,ni ya nini?Padri anasuluhisha mgogoro wa ndoa wakati yeye ni Bachelor!,mbona hamuhoji?
RC wanapomuomba Marehemu Mariam awaombee kwa Mungu,wana maana gani?
RC waache udikteta!
Kiroho au kimwili!Kama ni kweli wamekosea. Uhuru wa kuabudu ni haki ya kikatiba.
Kuna Jumuia ndogo ndogoKanisa limejuaje?
Au na lenyewe lilihudhuria ili kuwaona hao washirika wake walioenda kwa Mwamposa, hebu fafanua kidogo.
Inawezekana Kanisa Katoliki linaona mbali! Hizo sadaka wakichukua wao zinajenga shule, zahanati, visima vya maji, kuboresha miundo mbinu....Kanisa katoliki linachukia kupiteza sadaka .
Maana wanajua waumini wao wakienda kwa mwamposa wanatoa sadaka ambazo walipaswa wapokee wao katoliki
Hizi dini ni upigaji tu
Hata sijuiHivi jamaa alipotelea wapi??