TANZIA Iringa: Katibu wa CCM Kilolo avamiwa na kuuawa na Watu wasiojulikana

Sasa hv nan anafanya?
Wanafanya wananchi ambao wanaamini kuteka na kuua ndiyo njia ya kuwashinda wapinzani wao wa kisiasa au kibiashara kama alivyokuwa anafanya Magu.

Kama hukupata NECTA japo D 2 huwezi kuelewa
 
Safi sana. Natamani wauwawe viongozi wa CCM kwa idadi inayofikia wapinzani wote waliouliwa na vyombo vya dola na wale waliouliwa na makada wa CCM, ingependeza sana halafu ndiyo tukae chini tufanye maridhiano.
 
Kama ambavyo tunapiga kelele haya kutokea kwa viongozi wa CDM, vivyo hivyo kwa CCM.

Haya hayapaswi kutokea katika jamii yetu, tuungane kuupinga unyama huu.
Kiongozi wa CCM akifanyiwa chochote siku hizi sitapiga kelele kwa sababu wao wanakuwa kimya wengine wanapouawa. Tena wanakejeli.
 
chairman alishaga waambia sumu haionjwi kwa ulimi walioskia narkutii wameskia, walioshupaza shingo ndiyo hivyo tena huku mwenyewe akiendelea kushushia nyagi, barafu na ndimu 🐒
Sisiemu mwenzenu na anajulikana kitambo kuwa ni wa kwenu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…