spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Inasikitisha sanahakuna Kijiji Cha njaapanda ya tosa Bali Kijiji Cha ugwachanya
Huyo ,mama namfahamu vizuri sana ,wale tuliohitimu kidato Cha 6 2000 tosamaganga high school ,mama huyu alikuwa mke wa kibiki aliyekuwa afsa ugani na kwao palikuwa hapa kitongoji Cha banawanu lilipo sanamu la bikira maria ukitokea njaapanda nyuma hapa kabla hujavuka mto kiporyi
imeniuma sana ,mumewe na alikanyagwa na gari nyang'anyang'a ipogolo
RIP....katibu ,ubunge huu SHIDA sana na alikuwa na misimamo sana kama alionyesha ubungeni upande itakuwa hivyo
Kura za Maoni?Watu Wasiojulikana Wanadaiwa wamemvamia aliyekuwa katibu wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi .
Taarifa ambayo Matukio Daima media tumeipata inadai kuwa watu hao Wasiojulikana wamefanya uvamizi huo usiku wa kuamkia Leo katika Kijiji Cha njia panda ya Tosa wilaya ya Iringa Vijijini nje kidogo na mji wa Iringa ambako alikuwa akiishi.
Kuwa baada ya kumshambulia kwa risasi alikimbizwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Iringa ya Tosamaganga ambako amefariki Dunia.
Matukio Daima media imezungumza kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kilolo John Kiteve amesema tukio Hilo limemgusa sana na amesikitishwa na tukio hilo .
Huku kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Allan Bukumbi hajaweza kupatikana ili kuthibitisha tukio Hilo Bado Matukio Daima media inaendelea kufuatilia zaidi.
Chanzo: Matukio Daima Media
Yapi ya kumuua ben sanane??JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Ni pale ipamba au wapi!!?Kumbe hospitali ya Tosamaganga ndiyo ya rufaa! Sikulijua hilo.
Yamepangwa kutokea ,tuombe Mungu sana!Kama ambavyo tunapiga kelele haya kutokea kwa viongozi wa CDM, vivyo hivyo kwa CCM.
Haya hayapaswi kutokea katika jamii yetu, tuungane kuupinga unyama huu.
wamemwonea sana huyo mama ,ngoja niwasiliane na John NCHIMBIUnatakiwa uhudhurie hata wamalizapo msiba.
Kama ni mccm poa tu wacha wamalizane tu,alikuwa mtia nia wa ubunge.Watu Wasiojulikana Wanadaiwa wamemvamia aliyekuwa katibu wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi .
Taarifa ambayo Matukio Daima media tumeipata inadai kuwa watu hao Wasiojulikana wamefanya uvamizi huo usiku wa kuamkia Leo katika Kijiji Cha njia panda ya Tosa wilaya ya Iringa Vijijini nje kidogo na mji wa Iringa ambako alikuwa akiishi.
Kuwa baada ya kumshambulia kwa risasi alikimbizwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Iringa ya Tosamaganga ambako amefariki Dunia.
Matukio Daima media imezungumza kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kilolo John Kiteve amesema tukio Hilo limemgusa sana na amesikitishwa na tukio hilo .
Huku kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Allan Bukumbi hajaweza kupatikana ili kuthibitisha tukio Hilo Bado Matukio Daima media inaendelea kufuatilia zaidi.
Chanzo: Matukio Daima Media
Pia, Soma: