kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Kuna ubaya na uzuri wao piaKumekuwa na Tabia mbaya sana kwa hawa watu kutunyanyasa pindi tunapokuwa safarin.
Sasa dawa yao ipo jikon.
Tutakomaa nao mpka kieleweke..
Kwa familia zilizokumbwa na Mkasa huu Tafadhal naomba Mnisamehe sana. Mungu Ibarik Tanzania Mungu Ibariki Africa.
View attachment 2086849View attachment 2086850View attachment 2086851