Iringa: Mkuu wa Mkoa azungumzia Wanaume Wanaonyonya maziwa ya wake zao wanaonyonyesha ili kukata pombe

Iringa: Mkuu wa Mkoa azungumzia Wanaume Wanaonyonya maziwa ya wake zao wanaonyonyesha ili kukata pombe

ALIWAONA LINI? HAYO NI MAMBO YA CHUMBANI.
RC ANAACHA KWENDA MUFINDI HUKO WACHINA WANAWADHULUMU MISHAHARA WAFANYAKAZI WAO YEYE ANAONGEA MAMBO YA KUFIKIRIKA.

WENYE VIWANDA MAFINGA HASA WACHINA WANANYANYASA SANA WAFANYAKAZI WAO ILA RC, DC NA SERIKALI WOTE WAMEWEKWA MIFUKONI.
Hiyo ndio akili yake ilipo ishia
 
Back
Top Bottom