Babkey
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 4,836
- 3,659
CHADEMA itatumaliza watanzania!
Hiki chama hakitufai ata kidogo aise.......
...kweli kabisa, tangu CHADEMA waajiri polisi ni mauaji kwa kwenda mbele....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHADEMA itatumaliza watanzania!
Hiki chama hakitufai ata kidogo aise.......
DAUD MWANGOSI......kapigwa na bomu wakati akiwa kazini kwenye kufungua shina na ofisi ya CHADEMA....KAFARIKI HAPO HAPO NA UTUMBO KUTOKA NJE..RPC ALIHOJIWA NA ITV NA HAKUTOA JIBU NA KUKATA SIMU...!! NGOJA TUSIKILIZE CHANNELL TEN SASA HIVI TUTAWAJUZA MORE.
Swali lako ulilojibiwa uliuliza sababu na siyo ameuwawa na kitu gani,don't confuse yourself.Swali la kuhusu ni kitu gani kilimwua pia ulishajibiwa,wewe ulisema inakuwaje bomu limuuwe peke yake.Sijui huwa unafikiriaje wewe?!unatumia vitu gani?are you on medication?

Habari zipo nyingi hata wewe hujui kilichotokea kuna wengine wanasema kapigwa bomu wengine risasi labda tuambie wewe habari ya uhakika.
CHADEMA itatumaliza watanzania!
Hiki chama hakitufai ata kidogo aise.......
Mwwenyekiti na Chama cha Waandishi wa habari mkoa wa Iringa na mwandishi wa habari wa Channel 10 amepigwa risasi na polisi kwenye mkutano wa CHADEMA Mufindi
Ulitake wafe wangapi? Au kwa kuwa wewe upo upande wa Jeshi la Polisi la Kua Wananchi, yaani nguvu ya SSM? Kifo ni kifo tu na ni lazima tusikitike hata kama tuko na itikadi tofauti ya siasa. So sad. Haya mambo yataisha lini Tanzania?
Sasa kama waliambiwa watawanyike wao wakakaidi ni vipi tuwalaumu police?chadema au polisi ndo watatumaliza! sababu ya kutumia risasi hapo ikowapi? yani wanashindwa njia za kutuliza vurugu mpaka utumie risasi ndugu, tusilete uchama kwenye maswala ya msingi mkuu! hawa jamaa wanatumia nafasi ya upolisi kinyume na kanuni za kazi yao
Wewe mpuuzi usijifanye kila kitu hunajua hii forum habari ni nyingi kuhusu ili tukio kuna habari ingine humu inasema kauuwa kwenye vurugu, kuna habari zingine zinasema kapigwa risasi, kuna habari zingine zinasema kapigwa bomu, mie kuhoji imekuwa tatizo wa ngapi wamehoji ujawajibu..wewe mbona umesema nchi hatawaliki tena si maoni yako upo uhuru, mie kuhoji tatizo acha upuuzi wa kitoto.
kama kweli hayo yanayowauwa watu ni mabomu ya machozi,basi wanafunzi wa vyuo wangekuwa wameshakufa sana aisee,ana huwa wengine wanayatuliza kifuani na kuyapigadana dana! hizi ni risasi ndo zinatumika hapa! ila ngoja tu watakuja kuichukia hiyo kazi ya upolisi one day
wewe mbona unakua hivi??
kwahiyo kama alikua katikati ya umma ni sawa kuuwawa sio??........... do you want to justify police shooting people ?
this is the stupidest comment i have ever read in JF