TANZIA Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA

TANZIA Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA

hata mi nimepigwa na butwaa, ITV vip mmepigwa mkwara.?
 
Mauaji katika ofisi ya chadema inamaanisha kulikua hamna mkutano wa hadhara kwa nn polisi wauwe?
 
Niliwahi kusema kuwa Tanzania tumekalia bomu ambalo halieleweki kama ni multifunctional or functional likisubiri joto kama litafanya lilipuke ama lizime. Tupo kulipuka wakati wowote sasa! Tumefika kubaya... Hakuna usalama tena, mtu yeyote aweza kufa wakati wowote ule! Inasikitisha...
 
Kuna haja ya watanzania wote kuandamana ili tuuawe. Tanzania inatishwa na wahujumu uhuru.

Msitujumlishe watanzania wote, andamananeni na wapuuzi wenzenu. Mkifuata sheria mnapungukiwa nini?
 
Kwanini mafail ya cdm yamechomwa?kwanini ccm wanaendelea na chaguzi wakati wa sensa?ccm co chama cha ciasa?
 
Mungu hana time ya kumtetea wala kumlipa mpumbavu.Yani mimtu inaambiwa isubili mpaka tar 8 yenyewe inatumia nguvu,sasa leo haina dola inaleta vita sasa ikipata dola sii nchi haitakalika?
Mkuu hata sisi tupo wana ccm lakini kitendo hiki cha kinyama ni cha kulaaniwa na mtu yoyote mwenye akili timamu achana na ushabiki wa kijinga
 
Bado nasisitiza tuwe na jukwaa la matusi kwajili ya kupunguza.stress haiwezekani tuendelee na ujinga huu wa polisi shenzi zao narudia tena.kwa.kumaanisha

hii nimeipenda kweli ni bora kuwe na jukwaa la matusi kwa ajili ya kupunguza mihemko na ghadhabu ya watakao shindwa kuidhibiti ili wapate ahueni
 
hawa polic itafikia kipind wataogopa kukaa mtaan kwan wananch wenye hasira kal wanaweza wakawaralua hata kwa mishale!
 
conclusion: CHANGE IS EXPENSIVE. Make sure you achieve it to honour the sacrifices along the way. This is my msg to the people
 
There are currently 1526 users browsing this thread. (340 members and 1186 guests). SO SAD.
 
Risasi haiwezi kusambaratisha mwili kwa kiasi kile,kuna mpuuzi hapa JF last week aliomba msaada wa kutengeneza bomu la petrol anaweza kuisaidia police.Lengo la kumuua mwandishi ni kupandikiza chuki.

haya maneno yametamkwa na Said Mwema ndani ya masikio yangu.

Kama nilivyomjibu naomba nikujibu tena,Mtawadanganya wananchi wasiojua mbinu zenu zilizoko sirini,lakini hamtamdanganya Mungu,na huu ni wakati wa Bwana.
Majonzi nimakubwa harudi nyuma mtu.
 
Back
Top Bottom