makundi4619
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 486
- 141
sio siri chadema hata kama hamhusiki ni rahisi kabisa kuunganisha hizi vurugu na haya maandamano kumbukeni kuwa watanzania wengi hawajaelimika na msifananishe hata kidogo maandaman yenu na yale yaliyotokea kule Misri kwa sababu zifuatazo:
. maandamano ya misri yalikuwa yanaongozwa na wananchi wa kati( middle class)
.maandamano ya cdm yanahusu vijana ambao hawajui watapata nini siku ya mwisho
Makupa, wewe ni rika gani? Je vijana hao hao wamepata na watapata nini katika ufisadi na usanii wa CCM? Usiwe mwoga mabadiliko muhimu. Wakikosea si tutawapigia kura ya hapana? Tujenge demokrasia ya dhati kwa hiyo hakuna sababu ya kuwaogopa wapinzani wa CCM. Wanawapigania wananchi siyo wapinzani wa wananchi. Remember, a lot more can be achieved for everybody in this country with even less resources. Suala ni kujipanga na kuwa na mikakati inayoeleweka na yenye malengo kwa mtazamo wa haki na kweli iliyotawaliwa na DEMOKRASIA ya kweli.