TANZIA Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA

TANZIA Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA

Katika nchi yoyote, kukaidi amri za dola kuna gharama zake, haya ni mageni kwetu na yanasikitisha. Nashindwa kuelewa cc wananchi kushawishika kukaidi amri za watawala, madhara ni haya yanayojitokeza. Nawaasa watanzania wenzangu, tushiriki siasa lakini uhai wetu ni muhimu zaidi ya siasa. Ni hayo 2 kwa leo.
 
Ccm baaaasiii inatosho. tbcm jana hawakutaka hata kuonesha picha kwenye habari hii waliileta kama tunaskiliza redio
 
Ni vyema ukamuuliza Nape anajua vizuri na ndiye mratibu!

Wewe unachokitetea ni nini? huoni kwa macho yako? husikii kwa masikio yako?

Unaambiwa kila wanapokwenda chadema kunatokea vifo! sababu?
 
Ninavyoona mimi nahisi hujui sheria inayoongoza jambo hili. Kwanza hakuna sheria inayosema ili chama cha siasa kifanye mkutano lazima kiombe ruhusa polisi ili waruhusu. Kilichopo ktk sheria ni kutoa taarifa polisi kwa ajili ya kupatiwa ulinzi. Pili, katika mikutano ya chadema hata siku moja vurugu huanza na waanachama bali polisi. Katika hali ya kawaaida, fikiri labda sheria inaruhusu polisi kukataza mikutano ya vyama. Ikiwa jambo hilo ndivyo lilivyo, baada ya kukaidi polisi walipaswa kufika na kuwakamata hao wanaofanya mkutano na kuwafikisha katika vyombo vya sheria na siyo kuua watu tena mwandishi wa habari ambaye hata kwa akili ndogo tu hakuwa na shida maana alikuwa pale kuchukua habari. Kama polisi walikuwa wanafanya shughuli yao kisheria kwa nini wamwogope mwandishi wa habari? Lakini pia fikiri kidogo, hivi kweli polisi anadiriki kuwasha moto gari ambalo limesimama limekosa nini hilo? Nenda mbali zaidi, ndugu yangu Mtanzania ebu tuwe wapembuzi wa mambo siyo kuongea ongea tu bila fikra ya ndani. Narudia tena, zamani sikufikiri polisi kama binadamu anaweza kufikia hatua ya kuchukua silaha na kumwua binadamu mwenzake aliye na watoto na kuacha hao watoto wahangaike maisha yao yote kwa ajili tu ya kulinda maslahi ya mtu. Kama watanzania mtakuwa na ushabiki na michango isiyoenda ndani zaidi polisi na wote wataendelea kuua maana hata vichwa vyenu vinaonyesha hali ya unyama na si ubinadamu. Sisi Waafrika tunamwelekeo fulani ambao hata watu wa mabara mengine wanatuona tunamwelekeo wa kiunyama zaidi kuliko ubinadamu. Tumekosa ustaarabu wa kibinadamu. HUWEZI KUMWUA MWENZAKO KWA MASLAHI MADOGO UNAYOPEWA NA ALIYEKUTUMA. Mimi nawashangaa watu wanaochezea maisha ya watu. Mtu mnayemwua anategemewa na mama yule ambaye ni mzee sana, mke na watoto. Baba leo kaondoka kwenda kutafuta riziki kihalali ili sisi watoto wake tule tushibe. Anarudi amekufa kapigwa risasi na polisi bila sababu ya msingi. Leo sisi hatuana ada na njaa inauma maana hatuna wa kutulisha maana baba aliuawa na polisi akiwa kwenye kazi halali. Nyie mnaofikiri CHADEMA HUANZISHA FUJO naapa si kweli ila polisi huanzisha FUJO. Kwa maslahi ya nani, mimi sijui.
 
Katika nchi yoyote, kukaidi amri za dola kuna gharama zake, haya ni mageni kwetu na yanasikitisha. Nashindwa kuelewa cc wananchi kushawishika kukaidi amri za watawala, madhara ni haya yanayojitokeza. Nawaasa watanzania wenzangu, tushiriki siasa lakini uhai wetu ni muhimu zaidi ya siasa. Ni hayo 2 kwa leo.

Kwa akili yako wewe unafikiri palikuwa na umuhimu wa polisi kutawanya/kujeruhi/kuua kama walivyofanya!!?Palikuwa na sababu za msingi kweli polisi kuua kisa kutawanya watu!!?Watu wana huzuni wewe unaandika vitu vya ajabu Kama hivi!?
 
03.jpg10.jpg
hapa ccm wakizindua kampeni bububu kwani hapa hamna sensa?
 
Kwa akili yako wewe unafikiri palikuwa na umuhimu wa polisi kutawanya/kujeruhi/kuua kama walivyofanya!!?Palikuwa na sababu za msingi kweli polisi kuua kisa kutawanya watu!!?Watu wana huzuni wewe unaandika vitu vya ajabu Kama hivi!?

Ni ushauri tu, cjahalalisha mauaji yoyote.
Hapa watanzania wote tumefiwa ndugu.
 
Kinachonisikitisha zaidi ni iwapo arusha m2 alipoteza maisha baada ya wa2 kutaka kuvamia polic.
Moro pia m2 alipoteza maisha katika mazingira hayahaya ya malumbano na polisi.
Na sasa Iringa maisha ya mtanzania yamepotea ktk mazingira yaleyale ya malumbano ya kisheria na polisi.
Swali ni je kufanya mkutano ni muhimu sana hata kugharimu maisha?
Huo ni muono wangu kwa upeo wangu.
 
CHADEMA tunaweza kufanya mikutano nchi nzima kwa amani bila kuhitaji ulinzi wa polisi kwani tuna RED BRIGADE na wananchi wa kawaida siyo rahisi kufanya vurugu ila jeshi la police ndio wanafanya vurugu na kuua mfan. Arusha, Tarime,Moro na sasa Iringa.
 
serikali hii ndo demokrasia ambayo wanaiimba kila siku kuwa tanzania tunayo ilihali watanzania wanakufa vifo vya kusikitisha namna hii na bado watanzania mnakitukuza serikalin na ccm hivi mmerogwa!mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema ameen!
 
demokrasia haiitaji mapambano ya kivita ni nguvu ya hoja na utandeji kazi uliop bora wa serikali ndo unawafanya wananchi wachague kilicho bora ccm inaogopa nin na hao wazee waliopo ccm wanaojifanya wanabusara mbona hatuwasikii katika hili yaani huyu mtu kaniuma mno wana jf wenzangu
 
Katika nchi yoyote, kukaidi amri za dola kuna gharama zake, haya ni mageni kwetu na yanasikitisha. Nashindwa kuelewa cc wananchi kushawishika kukaidi amri za watawala, madhara ni haya yanayojitokeza. Nawaasa watanzania wenzangu, tushiriki siasa lakini uhai wetu ni muhimu zaidi ya siasa. Ni hayo 2 kwa leo.

Uhai ni muhimu kuliko Utu au utu? Unamaanisha kwa ufahamu wako polis ni kama chui ikisemekana ameonekana buguruni basi watu wakae ndani mpaka auawe au aondoke mwenyewe!! Amri inakua halali inapopata uhalali wa kuwa halali kwenye mazingira halali.
 
Wewe unakijuwa unachoongea? kila wanapokusanyika chadema. kifo au vifo vinatokea. Sasa hicho ni chama?

ila wewe ndio unajuwa unachoongea??nani anauwa hao raia??Chadema au Serikali ya dhaifu, weka pembeni siasa zako chafu na zisizokuwa na msingi, CCM huwa mnazuiliwa kufanya maandamano hata siku moja??Why chadema...Na Chadema huwa wanakusanyika bila ruhusu, acha ushabiki wa kijinga na kinafki...ila kwako unaona chama ni CCM???
 
inauma sana ndugu zangu. Mungu atalipa tu kama c hapahapa dunian hata mbinguni.
 
ila wewe ndio unajuwa unachoongea??nani anauwa hao raia??Chadema au Serikali ya dhaifu, weka pembeni siasa zako chafu na zisizokuwa na msingi, CCM huwa mnazuiliwa kufanya maandamano hata siku moja??Why chadema...Na Chadema huwa wanakusanyika bila ruhusu, acha ushabiki wa kijinga na kinafki...ila kwako unaona chama ni CCM???

Ulisikia fujo kwenye mikutano ya CCM?

Leo tukaneni mimi hamnipati nimepewa warning na Paw niwawache mtukane tu, maana nikiwajibu naambiwa mimi ndio nnawafanya mtukane.

This is "where we dare to talk openly"!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Paw
Kinachonisikitisha zaidi ni iwapo arusha m2 alipoteza maisha baada ya wa2 kutaka kuvamia polic.
Moro pia m2 alipoteza maisha katika mazingira hayahaya ya malumbano na polisi.
Na sasa Iringa maisha ya mtanzania yamepotea ktk mazingira yaleyale ya malumbano ya kisheria na polisi.
Swali ni je kufanya mkutano ni muhimu sana hata kugharimu maisha?
Huo ni muono wangu kwa upeo wangu.

kama hujui hakuna sababu ya kuchangia mdogo wangu,watu walipigwa risasi Arusha hakuna hata aliyekua ndani ya mita 800 toka kituo cha Polisi. Hivi unafahamu kwamba mmoja wa waliojeruhiwa na risasi ktk tukio hilo alikua mamamkwe wa Ahmed Msangi RCO wa Dsm? Usiwe unaropoka hovyo,ama mpaka ukipigwa risasi wewe ama mtu wako wa karibu ndipo utaelewa tuna jeshi la hovyo la Polisi?
 
Si mbali sana toka tusikie kwamba taasisi ya vitambulisho ya Taifa imegundua idadi kubwa ya maaskari polisi ambao wanatumia vyeti visivyo vyao, sasa watu kama hawa hawawezi kuyapenda mabadiliko kwani mabadiliko kwao ni mwisho wao, hivyo wakitumwa hujua kuwa wanaenda kupigania maisha yao ya dhuluma ambayo M4C inaonekana na dhamira ya dhati kuyakatisha kujituma kwa askari ni katika kuokoa au kuendeleza udhalimu wao
 
Back
Top Bottom