lordchimkwese
JF-Expert Member
- Nov 16, 2015
- 1,914
- 3,356
Bit coin wapi hata wangekeeaka kwny mapipa tu home mambo ya kwenda bank ni uzwazwaSio kibongo bongo, technolojia ni finyu saana. Hapo wangekua smart wasingekamatwa hata mmoja, traces zote za ushahidi wanafuta, mkwanja wanaingiza kwenye bitcoin wallet, apo inakua imeishaa hakuna mbwa atakaeweza kujua.
Hivi bitcoin unazitoaje,, nina bitcoin alibaba za sh bilion 5,kuzitoa sasa ndo shida,, [emoji848][emoji848]Sio kibongo bongo, technolojia ni finyu saana. Hapo wangekua smart wasingekamatwa hata mmoja, traces zote za ushahidi wanafuta, mkwanja wanaingiza kwenye bitcoin wallet, apo inakua imeishaa hakuna mbwa atakaeweza kujua.
Zile pipa za plastic halafu unachimbia mita 12,Bit coin wapi hata wangekeeaka kwny mapipa tu home mambo ya kwenda bank ni uzwazwa
[emoji2]Police wanazitamani, ila ni za moto.
One man down
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Kuuliza si ujinga Mzee.Wenzetu mnaishi dunia ya peke yenu kabisa. Achana na harrier , zipo Crown hadi za mil 150.
Thamani ya gari huenda sambamba na mwaka uliotengenezwa.
Harrier ya 2004 unataka iuzwe sawa na ya 2020??
Au upo mkoa ambapo zipo harrier za 2002 tu
Sasa ishu za Elimu zinahusiana Nini hapa??.Utakua unaishi kijijini na huna elimu, thamani ya gari huendana na mwaka uliotengenezwa(model)
Harrier zipo za mil 15, 25, 40, 70, 80 , 120, 150, 170
Ni wewe tu unataka ipi.
Bei ya harrier ya 2020 unataka ifanane na harrier ya 2006 mnayoiita tako la nyani?
Hiyo harrier ipo hapo chini unahisi ni sh.ngap?
View attachment 2116185
Kabisa Mkuu.Kama puto, hiyo bei ya 72m kwa Harrier, hiyo bei imepigwa juu kwajuu!
Daaah..hii ya mapipa nimekimbuka mahali..simtank Lita 10000 ilibaki robo ijae..now imewekezwa visiwan huko na kwingineko..RIP BroBit coin wapi hata wangekeeaka kwny mapipa tu home mambo ya kwenda bank ni uzwazwa
Unaijua km 0 wewe?Labda kilometa sifuri
una vituko sana wewe.Chalamila huyu si yule aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mbeya?
Omba Mungu usipate easy money nyingi kwa mpigo-ZITAKUUA!Wamefanya makosa mengi, Kuhamisha kwenda benki, hilo kosa la Kwanza, kujihamishia kwenda kwenye namba zao binafsi, ilitakiwa kabisa wakishapiga hivo kwanza wanazipoza wanaziweka kwenye bitcoin wallet zoote, kule amna udubwasha zinakua safe na private kabisa.
Wangetafta mchaga mmoja hapo wangewin deal. [emoji16][emoji16]
Umeona like yangu huko