Iringa: Wakala wa malipo anaswa akidaiwa kuiba TSh Bilioni 2.1, Polisi wafanikiwa kuokoa TSh Milioni 956

Iringa: Wakala wa malipo anaswa akidaiwa kuiba TSh Bilioni 2.1, Polisi wafanikiwa kuokoa TSh Milioni 956

Sio kibongo bongo, technolojia ni finyu saana. Hapo wangekua smart wasingekamatwa hata mmoja, traces zote za ushahidi wanafuta, mkwanja wanaingiza kwenye bitcoin wallet, apo inakua imeishaa hakuna mbwa atakaeweza kujua.
Bit coin wapi hata wangekeeaka kwny mapipa tu home mambo ya kwenda bank ni uzwazwa
 
Sio kibongo bongo, technolojia ni finyu saana. Hapo wangekua smart wasingekamatwa hata mmoja, traces zote za ushahidi wanafuta, mkwanja wanaingiza kwenye bitcoin wallet, apo inakua imeishaa hakuna mbwa atakaeweza kujua.
Hivi bitcoin unazitoaje,, nina bitcoin alibaba za sh bilion 5,kuzitoa sasa ndo shida,, [emoji848][emoji848]
 
Unaona matukio makubwa ya kukamatwa wahalifu yameanza kuripotiwa Kama kutoka kule Chunya Ile dhahabu na Hawa wa Iringa.

Haya ndio matunda ya Ile biti kwamba polisi wajitafakari. Hawa jamaa wasipopigwa biti hizo pesa wangekula zote na wangeficha huo wizi.

Hapa ni kwamba deal gone bad ndio kilichotokea maana polisi waliacha kazi zao wakaingia kuwa majangili na ndio maana kuanzia November mwaka jana mauaji na matukio ya jinai ni mengi mno kumbe polisi walikuwa busy na ishu za upigaji.

Why sasa hivi ndio Kuna utekelezaji mkubwa??? Why?
 
Wenzetu mnaishi dunia ya peke yenu kabisa. Achana na harrier , zipo Crown hadi za mil 150.
Thamani ya gari huenda sambamba na mwaka uliotengenezwa.
Harrier ya 2004 unataka iuzwe sawa na ya 2020??
Au upo mkoa ambapo zipo harrier za 2002 tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Kuuliza si ujinga Mzee.
 
Utakua unaishi kijijini na huna elimu, thamani ya gari huendana na mwaka uliotengenezwa(model)
Harrier zipo za mil 15, 25, 40, 70, 80 , 120, 150, 170
Ni wewe tu unataka ipi.
Bei ya harrier ya 2020 unataka ifanane na harrier ya 2006 mnayoiita tako la nyani?
Hiyo harrier ipo hapo chini unahisi ni sh.ngap?
View attachment 2116185
Sasa ishu za Elimu zinahusiana Nini hapa??.
 
1. Weka pesa yote kwenye crypto
2. Usitumie zaidi ya ulichokuwa nacho, huwezi ku-spend zaidi ya 300m kwenye magari huku vyanzo vyako vya mapato vikiwa havieleweki tena kwa majina yako
3. Kimbia wakiwa wanajipanga
 
Wamefanya makosa mengi, Kuhamisha kwenda benki, hilo kosa la Kwanza, kujihamishia kwenda kwenye namba zao binafsi, ilitakiwa kabisa wakishapiga hivo kwanza wanazipoza wanaziweka kwenye bitcoin wallet zoote, kule amna udubwasha zinakua safe na private kabisa.
Wangetafta mchaga mmoja hapo wangewin deal. [emoji16][emoji16]
Omba Mungu usipate easy money nyingi kwa mpigo-ZITAKUUA!
 
Swali ni je zitarudishwa selcom? Au ndio vile mpaka kesi iishe na mune kwishine😁
Jamaa wame pull bonge la Heist
 
Back
Top Bottom