'Iron Dome Imeshindwa': Bomu la Makombora 120 la Hezbollah la Fadi Kambi 3 za Jeshi la Israel huko Haifa na Tiberias

Halafu naona upo mweupe sana na mvivu wa kufikiri ,hata hilo neno gaidi hujui maana yake
Hujui kwamba waisrael wanamiliki vyombo vingi vya habari na aljazeera ndio moja ya vyombo vikubwa na huru duniani ,kisa israel kasema na wewe unaropoka tu, ndio maana kiboko ya wachawi alipata wakristo wengi kwa uvivu huu wa kufikiri
unajua cnn kwba imepata kashfa ya kuandika habari za uongo na waandishi wake wamefunguka kwamba walikuwa wanapamgiwa cha kuandika na kureport kuhusu israel
Tumia akili kufikiria siyo unapelekwa pelekwa tu
 
Israel wapo based na raia
Zana za kijeshi za Hezbollah zipo katika majengo yaliyoko uraiani. Hao Hao Hezbollah wanapigana kwa kujificha na raia haswa wanawake na watoto Ili kuwaghilibu Israel. Kwa Hali hiyo hakuna namna, Magaidi yatafyekwa pamoja na wanawake wao.
 
Bado hawajasema!
 
Ona kilaza huyu Al Jazeera ni chombo huru😁😁 Al Jazeera ni chombo Cha kigaidi na ndiyo maana imezuiwa Saudi Arabia, Misri, UAE, Morocco, China, Iraq na nchi nyingine kibao.. hata Waarabu wenzao hawawataki halafu unaita chombo huru? hivi kati ya Wakristo na wafuga majini nani Wana akili ndogo katafute dini iliyo na illiterates wengi ni ipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…