Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,537
- 13,004
Hii si ulileta juzi sijui jana? Ama ni pacha wake? 😂 Onyesha na upande wa pili. Wanajeshi kufa hakushangazi, ndio risks za kazi yao.Rest in jahannamView attachment 1784150
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii si ulileta juzi sijui jana? Ama ni pacha wake? 😂 Onyesha na upande wa pili. Wanajeshi kufa hakushangazi, ndio risks za kazi yao.Rest in jahannamView attachment 1784150
Sijawah kuleta picha hii juzi, huyu kamfuata meko janaHii si ulileta juzi sijui jana? Ama ni pacha wake? [emoji23] Onyesha na upande wa pili. Wanajeshi kufa hakushangazi, ndio risks za kazi yao.
Mimi nikiona 7 israel wamekufa huwa nazidisha mara mbili.....Latest news :83 Palestinians dead while 7 Israelites dead so far...
Palestina kuna jeshi kumbeYaani mnaeishabikia Palestina kwa mwamvuli wa dini ya kiislamu mnachekesha mnasema wapalestine wanajitahidi kurusha vikombora huku wapalestina 83 na viongozi 6 mpaka mkuu wa majeshi wameteketezwa
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Waruhusiwa kuongeza kamanda! 🤣Mimi nikiona 7 israel wamekufa huwa nazidisha mara mbili.....
Tusipangiane namna ya kuongopeana
Unajifanya panya unauma weeeee halafu mwishoni unapulizaWa Palestina bado hawajaonja vitu hivi, viko pembeni bado. Wanajeshi wa Israel wameanza kujaa kwenye ukanda wa Gaza, ikikisiwa kuwa wanajitayarisha kwa mashambulio ya ardhini ikifikia hapo, wako tayari kuzama ndani!
View attachment 1783461
View attachment 1783462
View attachment 1783463
View attachment 1783464
View attachment 1783465
View attachment 1783466
Hilo gari la kijeshi liko unmanned, yaani linaendeshwa kiteknolojia.
View attachment 1783467
View attachment 1783468
View attachment 1783469
View attachment 1783470
View attachment 1783471
View attachment 1783472
View attachment 1783473
View attachment 1783474
View attachment 1783475
View attachment 1783476
NB;nchi tajari upande wa kijeshi siku zote hawaendi kichwa kichwa, wanakupima uwezo wako kwanza ndio waanze ku eliminate hizo strength points zako. Hapo Mpalestina anafanya uboya kurusha makombora, wanapimiwa unga sasa, ndo maana kina Egypt na Marekani wametuma wajumbe wao kuanza mazungumzo sababu wanajua, Israel haijaanza vita vizuri, inagoja mda mwafaka. Hivyo vifaa vyote hapo juu ni hela kutengeneza na vyote ni vya Israel. Je wapalestina wanavyo, wanaunda au ni vya bure wanangoja kupewa na mahasidi wa Israel aka Iran? Vita sahi vya Israel ni Fighter jets na tanks tu sahi anatumia sana, bado Netanyahu anasema hiyo ni warm up kudadadeki! Wacha waendelee kurusha zao zote tu. Utarushaje 1000 rockets kwa usiku mmoja na usifanye loss ya maana kwa adui, huku mwingine anatumia silaha kiasi tu za kisasa, mnalizwa kila pande ya mtaa.
Narudia tena, Vita sio vizuri!
Wanaa wengi humuIla wabongo nomaa!! Yaani wape tittle tu mengine watajazia. Humu kuna watu wanatoa maelezo mpaka utabiri utadhani wenyewe ndo wanacontrol vita daaah [emoji3][emoji3]
Ya spidi kali hawana kabisa,hayo hayo ya kutengeza uwani speed ya kinyonga yanachanja mbuga,fikiria sasa kama Hamas wangekua na silaha za maana Israel angekuwaje hadi hivi sasa!Watume na vya speed kali pia, ka wanavyo![emoji23]
Kabisa naongeza tu hakuna kupangiana namna ya kuongopeana.....Waruhusiwa kuongeza kamanda! [emoji1787]
Wana mgambo wanosaidiwa na serikali yao. Hata Alshabab, Alqaeda, ISIS nk wote hao ni migambo tu na wanapambana na wanajeshi, sio polisi wanaotumwa kuwaangamiza!Kabisa naongeza tu hakuna kupangiana namna ya kuongopeana.....
Inakuwaje jeshi la nchi kupambana na kikundi cha wanamgambo ivi hii ni akili au matope....
Sasa hapo nani ambariki?Hivi baraka huwa zinagawiwa kama bagia?Usimchoshe mgawa baraka aisee!Hitler ubarikiwe, ulifanya kazi moja nzuri mno. Milioni 6 sio kidogo.
Tuendelee kuongopeanaHadi sasa wapalestina 136 wamekufa wanaojulikana, waisrael 3 tu.. Hadi kesho itakuwa wapalestina 800 na waisrael 8. Ndio utajua nani anachinjwa chinjwa.
😂 😂 😂Sasa hapo nani ambariki?Hivi baraka huwa zinagawiwa kama bagia?Usimchoshe mgawa baraka aisee!
Kamwe hutaskia Israel kauawa hata mmoja wanajua kupka dataIsraeli bombardment escalates as Gaza death toll rises: Live news
Israeli army bombs police headquarters and security buildings in Gaza as authorities say 48 Palestinians killed, including 14 children, since escalation began.
A night of heavy bombardment on the Gaza Strip has continued into Wednesday morning as Israeli forces launched intensive raids on various locations across the besieged coastal territory.
Local sources said Israeli fighter jets bombed sites belonging to Palestinian armed groups, in addition to security and police buildings. In Gaza City’s Tel al-Hawa neighbourhood, a man, his pregnant wife and their five-year-old boy were killed by an Israeli attack on their home.
![]()
Gaza marks deadly Eid al-Fitr amid Israeli bombardment
Israeli forces bomb several buildings in Gaza as authorities say 69 Palestinians killed, including 17 children.www.aljazeera.com
Wanauliwa hujaskia, si wao binadamu pia? Vita havina maana, upande wa pili unaelewa zaidi nacho zungumzia!Kamwe hutaskia Israel kauawa hata mmoja wanajua kupka data
True mkuu afuatili kipindi ,cha akina yasir Arafat mtu anarusha jiwe anapigwa risisi ya moto ,uonevu uliojeHaya mapambano yalianza tangu karne ya ishirin mnama haya maroket hamas wameanza kutumia miaka ya elf mbili