Iron Dome ya Israel yazidiwa nguvu na vikombora vya wapalestina

Iron Dome ya Israel yazidiwa nguvu na vikombora vya wapalestina

hii nguvu safari hii wameipata wapi hamas!!!, maaana safari hii wamerusha makombora kama njugu!!!!
israeli hawaku tegemea.
 
Wa Palestina bado hawajaonja vitu hivi, viko pembeni bado. Wanajeshi wa Israel wameanza kujaa kwenye ukanda wa Gaza, ikikisiwa kuwa wanajitayarisha kwa mashambulio ya ardhini ikifikia hapo, wako tayari kuzama ndani!

View attachment 1783461

View attachment 1783462

View attachment 1783463

View attachment 1783464

View attachment 1783465

View attachment 1783466
Hilo gari la kijeshi liko unmanned, yaani linaendeshwa kiteknolojia.
View attachment 1783467

View attachment 1783468

View attachment 1783469

View attachment 1783470

View attachment 1783471

View attachment 1783472

View attachment 1783473

View attachment 1783474

View attachment 1783475

View attachment 1783476
NB;nchi tajari upande wa kijeshi siku zote hawaendi kichwa kichwa, wanakupima uwezo wako kwanza ndio waanze ku eliminate hizo strength points zako. Hapo Mpalestina anafanya uboya kurusha makombora, wanapimiwa unga sasa, ndo maana kina Egypt na Marekani wametuma wajumbe wao kuanza mazungumzo sababu wanajua, Israel haijaanza vita vizuri, inagoja mda mwafaka. Hivyo vifaa vyote hapo juu ni hela kutengeneza na vyote ni vya Israel. Je wapalestina wanavyo, wanaunda au ni vya bure wanangoja kupewa na mahasidi wa Israel aka Iran? Vita sahi vya Israel ni Fighter jets na tanks tu sahi anatumia sana, bado Netanyahu anasema hiyo ni warm up kudadadeki! Wacha waendelee kurusha zao zote tu. Utarushaje 1000 rockets kwa usiku mmoja na usifanye loss ya maana kwa adui, huku mwingine anatumia silaha kiasi tu za kisasa, mnalizwa kila pande ya mtaa.
Narudia tena, Vita sio vizuri!
Unajifanya panya unauma weeeee halafu mwishoni unapuliza
 
Watume na vya speed kali pia, ka wanavyo![emoji23]
Ya spidi kali hawana kabisa,hayo hayo ya kutengeza uwani speed ya kinyonga yanachanja mbuga,fikiria sasa kama Hamas wangekua na silaha za maana Israel angekuwaje hadi hivi sasa!
 
Waruhusiwa kuongeza kamanda! [emoji1787]
Kabisa naongeza tu hakuna kupangiana namna ya kuongopeana.....

Inakuwaje jeshi la nchi kupambana na kikundi cha wanamgambo ivi hii ni akili au matope....
 
Kabisa naongeza tu hakuna kupangiana namna ya kuongopeana.....

Inakuwaje jeshi la nchi kupambana na kikundi cha wanamgambo ivi hii ni akili au matope....
Wana mgambo wanosaidiwa na serikali yao. Hata Alshabab, Alqaeda, ISIS nk wote hao ni migambo tu na wanapambana na wanajeshi, sio polisi wanaotumwa kuwaangamiza!
 
Hadi sasa wapalestina 136 wamekufa wanaojulikana, waisrael 3 tu.. Hadi kesho itakuwa wapalestina 800 na waisrael 8. Ndio utajua nani anachinjwa chinjwa.
Tuendelee kuongopeana
 
Israeli bombardment escalates as Gaza death toll rises: Live news

Israeli army bombs police headquarters and security buildings in Gaza as authorities say 48 Palestinians killed, including 14 children, since escalation began.
A night of heavy bombardment on the Gaza Strip has continued into Wednesday morning as Israeli forces launched intensive raids on various locations across the besieged coastal territory.

Local sources said Israeli fighter jets bombed sites belonging to Palestinian armed groups, in addition to security and police buildings. In Gaza City’s Tel al-Hawa neighbourhood, a man, his pregnant wife and their five-year-old boy were killed by an Israeli attack on their home.



Kamwe hutaskia Israel kauawa hata mmoja wanajua kupka data
 
Haya mapambano yalianza tangu karne ya ishirin mnama haya maroket hamas wameanza kutumia miaka ya elf mbili
True mkuu afuatili kipindi ,cha akina yasir Arafat mtu anarusha jiwe anapigwa risisi ya moto ,uonevu ulioje
 
Back
Top Bottom