Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,920
Tatizo lipo kwa hawa wabarikiwa badala ya kutumia akili kumalizana na hamas na vikund vingine wao wanatumia miguvu tuIngekua vzr Kama watu wote tungeungana kukemea vita hii ikome inamaliza uhai wa watu watoto,Akina mama,wazee,vijana kuliko kuwasifia hao kikundi Cha wanamgambo ,alafu hao ndo wajinga kila siku wanawaletea shida ndugu zao wanaichikoza Israel alafu wanajificha nyuma ya raia