Wa Palestina bado hawajaonja vitu hivi, viko pembeni bado. Wanajeshi wa Israel wameanza kujaa kwenye ukanda wa Gaza, ikikisiwa kuwa wanajitayarisha kwa mashambulio ya ardhini ikifikia hapo, wako tayari kuzama ndani!
View attachment 1783461
View attachment 1783462
View attachment 1783463
View attachment 1783464
View attachment 1783465
View attachment 1783466
Hilo gari la kijeshi liko unmanned, yaani linaendeshwa kiteknolojia.
View attachment 1783467
View attachment 1783468
View attachment 1783469
View attachment 1783470
View attachment 1783471
View attachment 1783472
View attachment 1783473
View attachment 1783474
View attachment 1783475
View attachment 1783476
NB;nchi tajari upande wa kijeshi siku zote hawaendi kichwa kichwa, wanakupima uwezo wako kwanza ndio waanze ku eliminate hizo strength points zako. Hapo Mpalestina anafanya uboya kurusha makombora, wanapimiwa unga sasa, ndo maana kina Egypt na Marekani wametuma wajumbe wao kuanza mazungumzo sababu wanajua, Israel haijaanza vita vizuri, inagoja mda mwafaka. Hivyo vifaa vyote hapo juu ni hela kutengeneza na vyote ni vya Israel. Je wapalestina wanavyo, wanaunda au ni vya bure wanangoja kupewa na mahasidi wa Israel aka Iran? Vita sahi vya Israel ni Fighter jets na tanks tu sahi anatumia sana, bado Netanyahu anasema hiyo ni warm up kudadadeki! Wacha waendelee kurusha zao zote tu. Utarushaje 1000 rockets kwa usiku mmoja na usifanye loss ya maana kwa adui, huku mwingine anatumia silaha kiasi tu za kisasa, mnalizwa kila pande ya mtaa.
Narudia tena, Vita sio vizuri!