Iron Dome ya Israel yazidiwa nguvu na vikombora vya wapalestina

Iron Dome ya Israel yazidiwa nguvu na vikombora vya wapalestina

Sema tuna ongea kishabiki lakini kwa picha nnazo ziona uko Vita sio ya kushangilia kabisa
 
Msikilize Netanyahu sasaivi
Hapo umewashika wanafiki hao

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Netanyahu: “Can't say we are not facing an escalation. The intelligence we have says it is very possible that the violence will increase in the coming days"

Don’t sound so confident all of a sudden, huh? What happened Benjamin boi? [emoji2933]
 
Hivi Hamas na Alshabab or Boko Haram Nani Ni deadly Kati ya haya makundi matatu????
 
[emoji599] Al Qassam brigades announce the targeting of an "Iron Dome" battery
 
Some sources (unofficial) claim the target was an Iron-Dome radar system.

If true, this will be a huge blow to the zionist entity.
Duuu!!!??? Km kwel wameilipua kuna uwezekano mkubwa Leo usiku us akajifanya mpatanish
 
Watu wanaoshabikia sana hii vita ya Hammas dhidi ya Israel,lakini ukweli ni kwamba,Sio Hammas wala IDF atakayepoteza baada ya vita hii bali ni wananchi wa Palestina. Kwanini? Angalia sababu hizi:

1.Kwani baada ya Vita Hammas hapotezi chochote? Ni kwamba,Hammas ambao majengo yao rasmi pale Gazza hayajulikani wao kazi yao ni kuvurumisha makombora kuelekea Israel tu,Makombora baadhi hutunguliwa na mifumo ya Ulinzi ya Israel,Mengine huangukia Maeneo ya Wazi na Machache huweza Ku-HIT Target na kusababisha Madhara kwa Wananchi wa Israel. Baada ya kurusha Makombora Hammas hujificha na hivyo kuwa vigumu kwa Israel kujua walipo.

2.Kwanini Israel Haipotezi baada ya Vita? Ukweli ni kwamba,vita nyingi kati ya Israel na Hammas husababishwa na POLITICAL TENSION huko Israel. Netanyahu amekalia kuti Kavu huko Israel,kupunguza TENSION ya kisiasa huko Nyumbani,huamua kuzusha Msala wowote ule wa Kivita dhidi ya Hammas. Mfano,yaani vita hii imetokana na Mpango wa Israel kuondoa Makazi 6 ya Wapalestina yaliyobaki huko Jerusalem Mashariki kitu ambacho hakina Mantiki kabisa.

3. Kwanini raia wa Palestina ndio wanaopoteza mwisho wa Vita hii? Kwasababu,Baada ya Hammas kushambulia Israel kwa Makombora na kujificha kusiko julikana na hivyo kumpa ugumu Israel jinsi ya Kutarget kambi za Hammas. Kwa kuona hilo,Israel hana Chaguo zaidi ya kutuma Makombora ya ndege na Drones kwenye Majengo yenye rais wa Palestina na kutangaza kwamba amelipua kambi za Hammas ili kuwaridhisha raia wa Israel waone kwamba serikali yao iko inalipa kwa kile kilichofanywa na Hammas. Mwisho wa Siku raia wengi wa Palestina hufa,wengine kuachwa Vilema na wengine bila Makazi.

Mfano Mzuri ni hili ghorofa ambalo limeangushwa na Israel huko Gazza katika harakati za kujibu mashambulizi ya Hammas. Wapalestina wengi hapo mwisho wa vita wataachwa bila Makazi huku raia wa Israel waliobomolewa paa zao na Makombora ya Hammas wakijengewa Nyumba nzuri zaidi kabisa.View attachment 1782197
Hayo Mayahudi ni maonezi Sana sijui hata Waarabu wanashindwa nini kujitoa mhanga kwa ajili ya kuwasidia
 
Wa Palestina bado hawajaonja vitu hivi, viko pembeni bado. Wanajeshi wa Israel wameanza kujaa kwenye ukanda wa Gaza, ikikisiwa kuwa wanajitayarisha kwa mashambulio ya ardhini ikifikia hapo, wako tayari kuzama ndani!

IMG_20210513_174214.jpg


IMG_20210513_174153.jpg


IMG_20210513_174136.jpg


IMG_20210513_174112.jpg


IMG_20210513_174055.jpg


IMG_20210513_174038.jpg

Hilo gari la kijeshi liko unmanned, yaani linaendeshwa kiteknolojia.
IMG_20210513_174021.jpg


IMG_20210513_174001.jpg


IMG_20210513_173941.jpg


IMG_20210513_173926.jpg


IMG_20210513_173912.jpg


IMG_20210513_173900.jpg


IMG_20210513_173845.jpg


IMG_20210513_173829.jpg


IMG_20210513_173809.jpg


IMG_20210513_173740.jpg

NB;nchi tajari upande wa kijeshi siku zote hawaendi kichwa kichwa, wanakupima uwezo wako kwanza ndio waanze ku eliminate hizo strength points zako. Hapo Mpalestina anafanya uboya kurusha makombora, wanapimiwa unga sasa, ndo maana kina Egypt na Marekani wametuma wajumbe wao kuanza mazungumzo sababu wanajua, Israel haijaanza vita vizuri, inagoja mda mwafaka. Hivyo vifaa vyote hapo juu ni hela kutengeneza na vyote ni vya Israel. Je wapalestina wanavyo, wanaunda au ni vya bure wanangoja kupewa na mahasidi wa Israel aka Iran? Vita sahi vya Israel ni Fighter jets na tanks tu sahi anatumia sana, bado Netanyahu anasema hiyo ni warm up kudadadeki! Wacha waendelee kurusha zao zote tu. Utarushaje 1000 rockets kwa usiku mmoja na usifanye loss ya maana kwa adui, huku mwingine anatumia silaha kiasi tu za kisasa, mnalizwa kila pande ya mtaa.
Narudia tena, Vita sio vizuri!
 
Sema tuna ongea kishabiki lakini kwa picha nnazo ziona uko Vita sio ya kushangilia kabisa
Upo sahih mnama kwa sabab si wapalestina wala waisrael wote wapo roho juu Yale maisha ya kawaida hakuna
 
5/12/2021:Israel Has Shot Down 2,400 Rockets...Will Its Iron Dome Last?

Iron Dome relies on a system of radar and analysis to determine whether an incoming rocket is a threat, firing an interceptor only if the incoming rocket risks hitting a populated area or important infrastructure.
Ndio maana rocket haziwi effective sana ndani ya Israel.
 
Wazungu hawa waliwauwa sana, waliwapiga sumu wafe wamalizike kwa bahati wakabaki wacheche kila nchi ilikua inawakataa so waliobakia ndio wakachukuliwa wakapelekwa kwenye ardhi ya Palestina na kupewa silaha, yaani ni kama kikundi kimepewa silaha ndio wakaanza kupora maeneo kwa huku kukiwa na support ya wakubwa zake Us na uk, Yaani walitawanyika na unapowakaribisha kwenye nchi yako wamejaa ufisadi
huoni aibu kuandika uongo !!
 
#BREAKING CNN: The Pentagon withdraw 120 US military and civilians from Israel [emoji1134] ~
 
Back
Top Bottom