Iron Dome ya Israel yazidiwa nguvu na vikombora vya wapalestina

Iron Dome ya Israel yazidiwa nguvu na vikombora vya wapalestina

Israel mbona anaiabisha ulimwengu huyu
Kwamba US kamkacha sasa anapambana kivyake??
 
Kwa mara ya kwanza maroketi ya hamasi yameweza kuilenga na kuipiga telaviv
 
Sasa wamezidiwa vipi? Waisrael waliuwawa mpaka sasa ni wawili tu kwa mujibu wa taarifa yako. Wapalestine mpaka sasa wameshauwawa watu 28.

Sasa wepi wamezidiwa? Wapalestine au Waisraeli??
Unapozungumzia mzozo huu na kuendelea kwa teknolojia za kijeshi za Israel kunakosifiwa na mataifa ya nje.Na ukijuwa wapalestina wamezingirwa kila upande na kuzuiliwa aina zote za misaada. Tunaweza kusema Israel imezidiwa.Na tunaweza kusema Hamas mpaka hapa wameshinda kwani kila waliposema wana uwezo wa kupiga mpaka Telaviv ilionekana kama ni utani na ndoto za mchana.
 
Kwa mara nyengine tena Israel imekiri kuzidiwa nguvu na idadi ya vikombora vinavyorushwa na wanamgambo wa makundi tofauti kutoka Gaza.Taarifa hizo zimekuja katikati ya muendelezo wa machafuko makubwa yanayoendelea eneo la Jerusalem tangu kuanza kwa mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Katika mapigano haya mapya jumla ya wapalestina 28 wameshauliwa na mashambulizi ya ndege za kivita za Israel na waisrael 2 wamefariki kwenye mji wa Ashkeldon ambako mamia ya makombora kutoka Gaza huwa yanatua na kusababisha uharibifu wa majumba.Makombora mengine machache kutoka Gaza yamefanikiwa kufika mbali hadi mji wa mkuu wa Telaviv ambako vingora kutoka jeshine vimewalazimisha wakazi wake kukimbilia sehemu za chini ya ardhi kujificha.
View attachment 1781445
Rocketi za Hamas zinavo watiya kiwewe madhaalim wa kizayuni
20210512_074757.jpg
20210512_074927.jpg
 
Kuna tukio jengine linalozidi kuwatia kiwewe mayahudi nalo ni maandamano yasijayowahi kufikia kiwango hicho yanayotokea ndani ya Israel yanayofanywa na jamii za kiarabu wakiunga mkono wenzao wa Palestina. Israel imesema ni kama vita ya wenyewe kwa wenyewe.
 
Netanyau hii hali inahitaji ku survive kisiasa maana kashinwa kuunda serikali na mpinzani kaambiwa aanze kuunda serikali kama kawaida yawana siasa atatumia kila njia aweze kubaki madarakani. mahesabu yake hii vita vitampa umaarufu aonekane ni shujaa hilo moja, pili kuna watu wanasema wa israel wawili tu wamekufa wa palestine wengi yes true sababu ujuwe Israel wanayaona haya makombora wakipiga alarm wanaenda kujificha chini wana mahandaki yao kila sehemu sasa wa palestine hawana na zaidi Gaza ni sehemu ndogo sana ila kuna watu zaidi ya milioni 2 ardhi ndogo kuliko watu na Israel anaenda kupiga na ndege ni lazima sababu ya msongamano watakufa wengi sana.
 
Sasa wamezidiwa vipi? Waisrael waliouwawa mpaka sasa ni wawili tu kwa mujibu wa taarifa yako. Wapalestine mpaka sasa wameshauwawa watu 28.

Sasa wepi wamezidiwa? Wapalestine au Waisraeli??
😀😀
 
Muda wa saa 9 usiku baada ya israel kushambulia gaza hamas nao wakajibu kwa maroketi yalio uwa watu 2 .baada ya kipigo hicho israel imepeleka vifaru karibu na gaza mpaka sasahivi hamas wanautawala uwanja wa vita
 
Muisrael mmoja sawa na wapalestina 100
Wa Israel wakiona makombora kwa radar wanapiga alarm wanaingia katika mahandaki wanalala huko chini nchi nzima ina mahandaki lakini Ghaza ni sehemu ndogo sana lakini inawatu zaidi ya million 2 yaani uwiano wa watu na ardhi ni mdogo sana wamejazana sana sehemu ndogo na Israel anapiga na ndege wale wanarusha makombora home made local tu maana ngumu kupata msaada toka sehemu yoyote. Vita vibaya wakiingia ardhini lile ndio balaa na hawa jamaa Hamas wangekuwa na silaha kiasi chake tu ni hatari sababu tofauti ya hawa wawili Hamas hawaogopi kifo ila wa israel waoga kufa.
 
Muda wa saa 9 usiku baada ya israel kushambulia gaza hamas nao wakajibu kwa maroketi yalio uwa watu 2 .baada ya kipigo hicho israel imepeleka vifaru karibu na gaza mpaka sasahivi hamas wanautawala uwanja wa vita
Yaani hamas inautawala uwanja?
Tunza maneno yako
 
Kwa mara nyengine tena Israel imekiri kuzidiwa nguvu na idadi ya vikombora vinavyorushwa na wanamgambo wa makundi tofauti kutoka Gaza.Taarifa hizo zimekuja katikati ya muendelezo wa machafuko makubwa yanayoendelea eneo la Jerusalem tangu kuanza kwa mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Katika mapigano haya mapya jumla ya wapalestina 28 wameshauliwa na mashambulizi ya ndege za kivita za Israel na waisrael 2 wamefariki kwenye mji wa Ashkeldon ambako mamia ya makombora kutoka Gaza huwa yanatua na kusababisha uharibifu wa majumba.Makombora mengine machache kutoka Gaza yamefanikiwa kufika mbali hadi mji wa mkuu wa Telaviv ambako vingora kutoka jeshine vimewalazimisha wakazi wake kukimbilia sehemu za chini ya ardhi kujificha.
View attachment 1781445
Kwa upende mwingine inwezekana kukiri kwa Israel kuwa rocketi za Hamas zinafakiwa kutua kwenye maeneo ya raia, ni propaganda ya kutafuta sababu ya kuivamia Gaza na ukingo wa mto Jordan
 
Sasa wamezidiwa vipi? Waisrael waliouwawa mpaka sasa ni wawili tu kwa mujibu wa taarifa yako. Wapalestine mpaka sasa wameshauwawa watu 28.

Sasa wepi wamezidiwa? Wapalestine au Waisraeli??
Kweli kabisa jeshi vs wanamgambo. Hamas siyo wa mchezo lakn
 
Kwa upende mwingine inwezekana kukiri kwa Israel kuwa rocketi za Hamas zinafakiwa kutua kwenye maeneo ya raia, ni propaganda ya kutafuta sababu ya kuivamia Gaza na ukingo wa mto Jordan
Huu mpango wano muda mrefu lakini kila siku mahesabu yanakataa.Kwamba jeshi lipo lakini itakuwaje baada ya kuvamia na kukalia maeneo yote kikamilifu na kuita nchi yao kidhulma.Majibu ya hofu hiyo ni kama kile kilichotokea jana mji wa Lod ndani ya Israel.
 
Hayo majitu ndio maana Hitler aliyanyonga ,kwa nini watake kupora ardhi za wenzao?

Pumbavu sana,mimi sio kiislamu lakini huu ujinga wa eti imani ni ushenzi wa kukiuka haki za Binadamu,,Irani awapenyezee silaha hao Wapalestina
Silaha gani sasa awapenyezee kama Irani tu mwenyewe anauwawa kumbe wao tena kwao wao ndo watafanya nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo mengine bwana! Kwa hiyo kwa maoni yako maeneo ya Jerusaleem na Tela Aviv hayana umuhimu?

Usiku huu nimeangali kwenye TV jinsi Iron Dome zilivyo zidiwa na maroketi ya wapalestina - yaani aibu tupu, mbwembwe zote za kuipigia debe na propaganda uchwara kwamba Iron DOME ndio baba lao kumbe wapi? Nilishangaa zilipo rushwa roketi tano Tela Aviv - Dome ikadhibiti moja tu nne zikapenya - sasa wanakuja na visingizio eti roketi za kipalestina wamezifanyia marekebisho zinaruka parallel na aridhi hazichukui mtindo wa ki-projectile hivyo si rahisi kuonekana kwenye scanning radar ili system ifanye mahesabu ya uhakika wapi pa kuzi-intercept - nilipo sikia kisingizio hicho cha Wayahudi nilicheka sana na kuwasikitikia, nikajua hapo Iran imekwisha wapa mbinu na wafunzo Wapalestina jinsi ya kuwazidi kete Waisrael.

Usiku huu tena nikaona matela yamebeba vifaru kwenda Gaza eti kuwamaliza wapiganaji wa kipalestina wanao rusha roketi, yaani mara hii Israel imekwisha sahau vifaru vyake vilivyo teketezwa huko Lebanon 2016 baada ya kuingia kichwa kichwa huko, hawakuamini macho yao, leo hii tena mjinga huyu Natenyahu anataka Wayahudi wapate balaa nyingine tena kwa kuvamia Gaza - hataki kuondoka madarakani anag'ang'ania kama luba - anaogopa kushtakiwa akiondoka madarakani - vita hii ndio itamumaliza kisiasa - akumbuke kwamba vita hii wapalestina hawapo peke yao huko Gaza,watasaidiana na kundi la Hezibolla,Wairan, Syria, Wa Lebanon na Waturuki,yaani dalili zinaonyesha Wapalestina wamejipanga kweli kweli ku-deal na ujeuri wa Natenyahu na genge lake vilivyo, wamefikia hatua ya kuvurumisha mpaka roketi za masafa marefu yenye uwezo wa kusababisha uharibifu mkubwa sana sana, nimeona kwenye TV live madhara ya makombora hayo si mchezo, Israel hisipo kuwa makini this time around watakuja kuaibika.
Ushabiki mwingine ni wa kijinga sana!

Huku wapalestine wanateketea alafu kuna mwarabu mmoja huku anajimwambafai kama hivi
 
Halafu huyu ndio anataka kuapambana na Iran [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom