Islam’s role in Tanzania’s freedom struggle


Teh teh teh teh!

Kila la kheri ndugu yangu!
Sallim alaa ikhwani wal awlad!
 
Sasa hapo unamtukana mama'ke Yesu bi Mariam, maana sijamuona bila ushungi katika masanamu na mapicha mnayojidai ni yake. Pata darsa kidogo hapa:
Matusi utakuwa umetukana wewe... hayo masanamu unayosema wewe mimi huwa siyaamini usifikiri kila mpenda Yesu ni Mkatoliki... mimi ni tofauti kabisa Msabato hutuweki sanamu wala mfano wa aina hiyo... so hilo Darsa lako kampe Pengo...

Nafahamu Nywele ni Fahari ya Mume kwani ndie anayepaswa kuziona Nywele za Mkewe ila nyie kwenu Tanzania mpo tofauti sometimes mmevaa sometimes hamvai wakati mwingine sio kuvaa hata wakati wa joto kali kwani ki afya sidhani kama ni sawa... Nimetizama picha za huko kwa wenye dini yao sio wote wanaovaa ambao ni muslim pia
 

Kwa mtu mjinga anaweza kusoma koran sehemu iliyoandikwa Sheitwan basi anaweza kufanya ubishi na kutangazia koran ni ya Shetani? soma vizuri hayo maneno alikuwa anaambiwa nani au weka kitabu chote wna wengine waone upumbavu wako.... and pia utafsiri kwa kiswahili na wengine waelewe....
 

Nakupongeza kwa kuto kuabudu masanamu na kumuona kadinali Pengo kuwa hana lolote zaidi ya Ibada potofu!
Je! Ule msalaba mnao ndani ya hayo makanisa yenu mazuri yasio na sanamu?
Na je! Mnakubali kuwa Mungu alipigwa na alio waumba mpaka akuwawa msalabani!?
Nasubiri unipe elimu kidogo hapa!
Manake wewe huenda ikawa ni ndugu yangu lkn wa baba mwingine!
 

Mkuu kwa maneno yako kama hayo mwenzio nilishamjibu nikala Ban kama sisi wasema tunasujudu na nyie mnabong'oa most of the time nikipita karibu na msikiti huwa nasikia vishuzi... by the way mimi si muabudu sanamu umenoa mimi ni Msabato usiwaudhi Katoliki kwa majibu yasiyonihusu...

Sijui nikuwekee picha za ile movie ya Muhammad maana inaonekana akili za Muslim zinamini movie sana ndio maana huwa mnaleta machafuko zikitoka movie zinazohusu udanganyifu wa Muslim...


''Mods naomba nisipewe Ban ni bora Post zifutwe tu huyu Jamaa kasababisha nimjubu hivyo''
 
Kamuulize baba nyumba eti Dossa Aziz alikuwa nani kwenye TANU halafu muulize eti Mwalimu Nyerere alikuwa na asili ya Burundi (Mtusi) sawa kisha rudi JF tujadiliane.

Mimi nimuulize ili iweje nyie walalamikaji maisha yote... Pindueni basi nchi tujue kuwa ndio wenye Nchi... Kama Nyerere alikuwa ana asili ya Burundi basi elewa kuwa Burundi na Rwanda zilikuwa ni eneo moja na Tanganyika au uje uulize nini maana ya German east africa... unataka kuleta ushindani usiohitajika.... hata wa Rwanda wameshamnanga Kikwete na mkewe kuwa si Watanzania nini iwe huyo Dossa mwenye jina la Chakula cha baniani.... TANU kwanza ilishakufa kitambo na kabla ya TANU kulikuwa na vyama vingine kama TAA na wapigania uhuru hata Arusha walikuwepo kuna Meru ilitaka kujitawala.... Wewe ndie ulete habari ya huyo Dossa alifanya nini? yawezekana hata English alikuwa hajui... Kama sio juhudi zake Nyerere na Uhuru tungepata wapi.....kama sio
 

DOT QUOTE ME OUT OF CONTEXT


mpumavuu ni yule anayeamini kitu asichokijua.ukristo huujui.

wanaotajwa hapo ni wachungaji

umeshindwa kusema ni wakina nani mpaka muislam akwambie ha ha ha ha ha ha ha
 
DOT QUOTE ME OUT OF CONTEXT


mpumavuu ni yule anayeamini kitu asichokijua.ukristo huujui.

wanaotajwa hapo ni wachungaji

umeshindwa kusema ni wakina nani mpaka muislam akwambie ha ha ha ha ha ha ha
Wewe ni Muslim? ila kwa kuucheka cheka takuwa Muslim kweli maana mu wazuzu sana
 
Wewe ni Muslim? ila kwa kuucheka cheka takuwa Muslim kweli maana mu wazuzu sana

ha ha ha ha ha not all signs posted on the wall reflect real actions benind the screen.

Symbolism

&=and
%=percentage
ha ha ha =very Happy doest mean mouth is scattered

we kalagabao ulisoma wapi,na wasiwasi na elimu yako.mpaka na haya ni kufundishe.

[COLOR=#COCOCO]UKRISTO KAMWE HUTOUJUA[/COLOR]
 

Katika Uislamu wako huna unachokiamini zaidi ya Kumswalie Mtume wenu wakati yeye hakuwahi kuwaswalia... na mtu anayeswaliwa si mkamilifu... hivyo jamaa yenu aliyekuwa amefanya kila jambo ovu nanyi mnamfuata mjue mmepotea Yesu yupo sahihi hata Muhammad alishawahi kili
 
Al akhy polite huyu mtu achana nae mwenyezi mungu anasema ukimuona mtu anabishana na wewe mambo ya dini halafu anatukana achana nae mwisho mtaingia kwenye kufru
 


Dada Faiza Sukran sana kwa bandiko lako hili murua,

Ndug yangu nguvuriv3,ile hoja yetu ya nyerere na uasisi wake wa bakwata ni chanzo cha haya yote tunayoyaona kwa sasa ndan ya taifa letu nakuomba tuendelee nayo kwa kuanzia hapa tafwadhali,hata kama ukiamua kuja na rationalization kama ulivotaka mwenyewe hapo awali sawa tuh,haya changanjuga tusonge mbele insha allah,

Nakusubiri ndug yangu,njoo tuzungumze hapa tuijenge tanzania yetu kwa ukweli na uwazi,
 
Last edited by a moderator:

Teh teh teh teh!

Kijana usije kufa na pressure!
Matusi hayana maana wala nafasi ktk jukwaa hili!
Na kama unakosa adabu basi BAN ndio itakayo kufunza adabu!
Lkn hata mimi nakuombea usipigwe BAN!
manake utakosa kuelimishwa!!
 

Kijana hebu nianze kuuliza hapa!

We unamfuata yesu kama Mungu sio?

Andiko linasema;-

Mara tu Yesu alipobatizwa" (Mathayo 3: 16). Aliyembatiza ni Yohane kama ilivyo katika msitari wa 15 katika kitabu hicho cha Mathayo.

"Yohane mbatizaji alitokea jangwani…Siku hizo, Yesu alitoka kutoka Nazareti, mji wa Galilaya, akabatizwa na Yohane katika mto Yordani" (Marko 1: 4 – 9).

"Watu wote walipokuwa wamekwisha batizwa, Yesu naye alibatizwa" (Luka 3: 21).

Sasa hapa tunaona Mungu yesu anabatizwa.
Na wewe pia umebatizwa sio?
We unaenda choo na mungu yesu anaenda choo!

Nini tofauti yenu??
 



Udini ni kitu kibaya saaana..!!Hawa wazee woote waliotajwa kwenye hicho Kitabu hawakuwa watanganyika?walidai uhuru kwasabaubu ya uislam wao au utanganyika wao?Kama kwa ajili ya uislam wao basi walikipata walichokitafuta nacho si kitu kingine bali kusahauliwa na historia ,kwasababu Tanganyika ni ya Watanganyika na si ya waislam.Na kama walipigania uhuru kwasababu ya utanganyika wao ni sikitiko kubwa kwa wao kutotajwa kwenye historia na hata kama wamgetajwa hakuna mantkiki yoyote kwa wao kutajwa kama waislam,wamgetajwa kama Watanganyika wengine waliopigania uhuru.
 
penye blue;
i'm not own those words, yes i copied and paste.
reasons
1. to ensure conformity and avoid any ambiguity which may alter the intended meaning
2. i normally don't paraphrase words which are overtly seen. Matter fact i believe ya'll aware of it... right??
follow
link: Abuja Declaration - Wikipedia, the free encyclopedia

penye red:
go through bing bang theory, i hope you'll' learn something new.
 
Duh Maulana Dr. kahtaan! mara nyingi tatizo si dini, ni watu na Sheikh Mohamed Said ni mojawapo, nanukuu;
Jaribu kusoma tena uliyoyaandika...tatizo si Uislaam, tatizo ni wewe Maulana Dr. kahtaan! Tafakari...
 

Donxxx,
Ingekuwa ni hivyo mambo yangekuwa mepesi sana.
Lakini ukweli ni mkubwa kuliko unavyodhania.

Ndiyo maana tupo hapa miezi nenda miezi rudi...

Wako wanaofurahi na historia ya kweli ya uhuru wa
Tanganyika na wapo wanaokereka.

Sababu ya kufurahi ni kuwa historia yao imeenziwa na
wale wenye kukereka ni kwa kuwa historia ya uhuru
iliwapita pembeni.

Hawakushiriki kama walivyoshiriki Waislam.

Ala kumbe ile kuambiwa ati Nyerere ndiye aliyeasisi TANU
si kweli vile!

Haya ndiyo matatizo yaliyopo.

Si rahisi hivyo useme kuwa waliikomboa nchi kama wazalendo
ukategemea kuwa utaachiwa na fikra hiyo.

Ukweli lazima usemwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…