Ismael Jussa amesema kuwa Nyerere ndiye aliyemuua Abeid Karume, yana ukweli haya? Na kama siyo mbona bado anazunguka mitaani, akamatwe

Mbona huku Zanzibar mumemuweka mtanganyika mwenzenu tena wa mkuranga
Huyo unaye dai ni mtanganyika ni kiongozi mzuri kuliko wote mliokuwa nao ...hata hivyo aliye mkubwa ni nani si mzanzibari kwanini msifanye kitu ili kuvunja muungano ? Sasa tumejua kuwa nyinyi ni wanafiki tu ...namimi nawaambia hii ndiyo fursa yenu ya mwisho msipo itumia vizuri mtalia na kusaga meno na mtaikumbuka sana hii fursa mliyokuwa nayo sasa kwa kutokuitendea akili bali mnafanya unafiki usio na tija kwa zenji
 
Zanzibar mmeweka kibaraka wenu Rais. Asingekuwepo ungevunjika. Ndiyo maana kila uchaguzi mko tayari kuua, kuwapa watu vilema, kunajisi watu ili mradi muendelee kuitawala Zanzibar.
 
Tip tippu alikua chotara la kiarabu acha kuwatenganisha Waarabu na wazungu kwenye biashara ya utumwa

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Zanzibar mmeweka kibaraka wenu Rais. Asingekuwepo ungevunjika. Ndiyo maana kila uchaguzi mko tayari kuua, kuwapa watu vilema, kunajisi watu ili mradi muendelee kuitawala Zanzibar.
Wewe Bepari acha fujo, hakuna wa kuvunja muungano. Ni sisi hadi tupende, tukitaka tutawaachia, lakini hakuna justification ya kuwaachia. Ni sawa na Texas itake kujitenga na Marekani au Hawaii waseme hawataki muungano, Ninyi hamna ubavu wa kuvunja muungano, hata hivyo mmetula sana na kutuibia sana pesa zetu. Tunawalisha kama watoto wadogo, hamlimi chochote na pesa hamna ninyi mafukara. Tutaendelea kuwabeba beba hivyo ila mkileta za kuleta tutawaomba Somalia wapokee angalau wakimbizi millioni moja.....kutabaki wazi hapo. Aagh, nilikuwa natania tu, tunawapenda sana ninyi wazanzibari, yaani sura zenu zilivyo ni burudani tu, yaani midomo imechongoka (kama ya OMO) kwa ajili ya kuongea sana kama samaki.
 
Historia ilikosea sana kukomesha utumwa kabla watu wa aina mleta mada hawajatiwa utumwani
 
Hapo kwenye midomo hahahhah
 
Hii fursa kuja kuipata tena myb miaka 100 ijayo..waitumie vzr sana kama kuwa na taifa kamili wafanye hivyo mapema..wasije anza chokochoko badae.

#MaendeleoHayanaChama
 
Zanzibar mmeweka kibaraka wenu Rais. Asingekuwepo ungevunjika. Ndiyo maana kila uchaguzi mko tayari kuua, kuwapa watu vilema, kunajisi watu ili mradi muendelee kuitawala Zanzibar.
Nikwambie tu watu wakwanza watakao kupinga ni hao wazenji wenzako wanao lamba asali huku Tanganyika kupitia bunge na vyeo mbalimbali vya serikali...nani ataishi zenji kwa mishahara wa bofulo wengi wenu mmekimbilia bara waliobaki huko zenji ni vikongwe na wahafidhina kama wewe.

#MaendeleoHayanaChama
 
Zanzibar mmeweka kibaraka wenu Rais. Asingekuwepo ungevunjika. Ndiyo maana kila uchaguzi mko tayari kuua, kuwapa watu vilema, kunajisi watu ili mradi muendelee kuitawala Zanzibar.
Rais mwenye nguvu tz ni raisi wa tz na ni mzanzibar ...sasa kwanini muungano usivunjwe
 
Hii fursa kuja kuipata tena myb miaka 100 ijayo..waitumie vzr sana kama kuwa na taifa kamili wafanye hivyo mapema..wasije anza chokochoko badae.

#MaendeleoHayanaChama
Wasije sema atukuwaambia
 
Wasije sema atukuwaambia
Wanalamba asali sasahivi wanakenua vijimeno tu..siku akikaa mtanganyika kwenye kiti cha enzi wakakosa kulamba asali ndio wataanza chokochoko zao za kero za muungano.

Hawa jamaa wako na mental retardation


#MaendeleoHayanaChama
 

Kama ni kweli nyie machogo msingetumia majeshi kuua, kunajisi, kulemaza Wazanzibari ili muweke kibaraka wenu atawale Zanzibar. Zanzibar haihitajii bara kupata maendeleo. Itajiunga OIC, itajiunga Arab League, itatumia diaspora kuleta maendeleo Zanzibar.
 
Rais mwenye nguvu tz ni raisi wa tz na ni mzanzibar ...sasa kwanini muungano usivunjwe

Haiwezekani kwa sababu anayetawala Zanzibar ni kibaraka wenu nyie machogo. Kila uchaguzi mnaua, mnanajisi, mnawapa watu vilema ile muendelee kutawala Zanzibar.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…