Ismael Jussa amesema kuwa Nyerere ndiye aliyemuua Abeid Karume, yana ukweli haya? Na kama siyo mbona bado anazunguka mitaani, akamatwe

 
 
Wanasema Karume alitaka kuvunja Muungano-
1.Mchonga alimula kichwa Karume
2.Anco Ben akamula kichwa Mchonga
3.Dr.Omary Juma akaliwa kichwa na Boys II men
4.Jiwe akamula kichwa Anco Ben
5.Jiwe akaliwa kichwa na Msoga boy

Zote ni propaganda but inakupaswa uamini natural death kwa viongozi duniani kote 1%,percent zinazobaki huwa ni assassination.
 
Haya tuhusu sisi tunataka muungano fake huu uvunjwe haraka
Nani atauvunja? Hiyo ndiyo ile wishful thinking....haitakusaidia utapata presha bure kaka wewe katafute kazi siyo kushinda kwenye Jamii forum ukitegemea watakusaidia kuvunja muungano. Pia ukiendelea kuwasikiliza hao wanaokupa moyo hivyo utawehuka.
 
Hebu ipitiahwe kwanza ndio tujue itafikiwa ama la
 

Kama Marekani imeshindwa kuikalia Afghanistan ikafunga virago na kuondoka baada ya miaka 20, nyie machogo mtaweza kubaki Zanzibar?
 
Mjeruman uingereza walikubaliana mpaka uwe kwenye ukingo wa ziwa nyasa upande wa tanganyka ushaidi upo
 
Sultan alipewa km 10 kuja bara siku zanzibar tukiwa huru tutachukua kigambon yetu mkataba upo ndio maana mnatupiga mbinyoooo ili tusiwe huru mikataba ipo
 
Hata akileta ushahidi nyerere ameshakufa sasa atafanywa nini?
Karume pia kafa saa hizi wanadaiana huko kama ni kweli🤣
Nashauri tuendelee kutafuta hela mengine tuwaachie wenyewe
 
Kabla ya biashara ya Utumwa kulikuwa na biashara iliyoanzishwa huko China ya kuuza na kununua vitu
Ilikuwa inaitwa SILK ROAD ilianza 130 BC
(Mwaka 624) kama Niko sawa na baadae Wa Misri nao walikuja na kufanya biashara ya kununua vitu huku wengi wakinunua Meno ya Tembo mpaka wachina wamebeba sana miaka ileeee
Na watumwa ilikuwa biashara tu

Waarabu wamekuja baadae kidogo na kuendeleza biashara zote hizo
Miaka ya 1700 Mbona juzi tu ukilinganisha na Silk Road ?


 
Wachina wasembe sanaa mbona hawakuwapelekea moto bibi zetu watuachie mbegu zao
 

Mkuu Pascal kwanini unapenda kuzirusha akili muda mwengine? Mauji ya Karume yalitokana na jaribio la Revolution kutoka Umma Party, Na Nyerere alikua ana majasusi ndani ya hilo kundi wakiwemo akina Canal Ali Mahfoudh na Salim A. Salim, Kwahiyo alijua kila kilichokua kinaendelea from day One.

Jaribu kufatilia kwa ukaribu lile tukio utugundua Connection ya Mwalimu moja kwa moja ndani yake.
 
Mambo mengine ni watu wa intelligence ndio wanayajua sisi watu wa kawaida hayo tutayajuaje, tunachojua ni mauaji ya Karume ni visasi, mmatumbi alitaka kumtwaa dada wa Humudi awe mkewe, Baba wa binti akagoma, Mzee mzima akaingia front, ikapigwa action fulani huku Humudi akishuhudia, akajiapiza atalipiza kisasi, akajinga jeshi, muda muafaka akatimiza lengo.
Hayo mengine hatuyajui!.
P
 
Usipende kusikiliza vichaa, nawe utageuka kichaa. Ni hayo tuu
Nyinyi ni watoto katika kesi ya uhaini ya waliomuuwa Karume Nyerere akiitwa Mr X , alihusika katika mpango wa mauwaji sio Siri , jaribu kumuuliza Bibi yako atakuambia
 

Pascal umeandika wahadimu asili yao ni bara, unaweza kutuambia ni kabila lipi bara ni wahadimuu?
 
Mkuu pascal mayalla nlikuwa nakuheshimu sana na kukufuatilia contents zako ila kwa hili umeniacha hoi.umeshindwa nini kusema tu mwalimu alihusika kwa asilimia zote ???? Hadi unazunguka zunguka.???.......comment yako ina double standards mzeee.kama teacher alijua kinachoenda kwann alipiga kimya.??? Nyie watu wabara mbona sio wa kweli.....mwenzenu kamla kichwa karume .full stop. Acheni kuficha ficha mambo dunia nzima inajua labda nyie tu ndio mnaona kitu cha uongo..........

Na huyo teacher ni maagizo kutoka mbele.

Kuhusu suala la waarabu na biashara ya utumwa sio kweli.ni kichaka cha kujifichia na kuwalinda wazungu.waarabu walijiingiza pwani huku kufanya biashara ila lengo lao kubwa ni kusambaza elimu .ndio maana athari ya elimu ya dini ya kiislamu ni kubwa kwa miji ya pwani ni kubwa kuliko mbeya na iringa.





Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
 
Nyinyi ni watoto katika kesi ya uhaini ya waliomuuwa Karume Nyerere akiitwa Mr X , alihusika katika mpango wa mauwaji sio Siri , jaribu kumuuliza Bibi yako atakuambia

Kwenye Siasa shutuma za maauji hata wewe ukiingia utapewa.

Kuendekeza wapumbavu ni upumbavu, sasa Kama Nyerere ndio nafanya hayo Sisi tufanyaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…