Ismael Jussa amesema kuwa Nyerere ndiye aliyemuua Abeid Karume, yana ukweli haya? Na kama siyo mbona bado anazunguka mitaani, akamatwe

Ismael Jussa amesema kuwa Nyerere ndiye aliyemuua Abeid Karume, yana ukweli haya? Na kama siyo mbona bado anazunguka mitaani, akamatwe

Kama ni kweli nyie machogo msingetumia majeshi kuua, kunajisi, kulemaza Wazanzibari ili muweke kibaraka wenu atawale Zanzibar. Zanzibar haihitajii bara kupata maendeleo. Itajiunga OIC, itajiunga Arab League, itatumia diaspora kuleta maendeleo Zanzibar.
Upumbavu wenu wenyewe kuikumbatia CCM,msitupigie kelele. Adui wa Zanzibar ni CCM.
 
Waambieni huko Zanzibar kuwa Tanganyika ni sehemu yao.

Pengine tutapata unafuu maisha yamebana mno.
 
Haiwezekani kwa sababu anayetawala Zanzibar ni kibaraka wenu nyie machogo. Kila uchaguzi mnaua, mnanajisi, mnawapa watu vilema ile muendelee kutawala Zanzibar.
CCM NDIYO INAYO UA KWANI UONI WAMASAI WANAVYO CHINJWA NA CCM
 
Kama ni kweli nyie machogo msingetumia majeshi kuua, kunajisi, kulemaza Wazanzibari ili muweke kibaraka wenu atawale Zanzibar. Zanzibar haihitajii bara kupata maendeleo. Itajiunga OIC, itajiunga Arab League, itatumia diaspora kuleta maendeleo Zanzibar.
Walamba asali ya Tanganyika ndugu zako wazenji..ndio huomba msaada ili walindiwe ugali wao waendelee kulamba asali ya muungano..wewe endelea kulialia humu JF.

Nikuulize aliye futa na kusitisha uchaguzi 2015 ni nani kama sio Jecha mzenji mwenzenu.?au kuna mtanganyika alikuja huko kutangaza kusitisha uchaguzi.?

#MaendeleoHayanaChama
 
Mbona hujaweka ushahidi, weks voice note au video tuone akisema hivyo, ama wewe ni mzushi na ndie ambaye hutakiwi kuwa mtaani
Ninao ushahidi, mbona kila analosema kipo dhahiri, mnadhani anaogopa huyo. Angalia mahojiano yake akichambua kitabu cha Thabiti Kombo Jecha. Labda waifute leo, lakini ipo na amesema na hana wasiwasi ila ukimwangalia macho yake utaona ana kaibu fulani. Nenda youtube na uende kwenye uchambuzi wa vitabu wa Ismael Jussa. acheni uvivu...kila jambo limeanikwa wazi.
 
Nimewahi kusikiliza online TV inaitwa Zanzibar Kamili, kuna mahojiano ya huyo anayeitwa Ismael Jussa ( Nadhani nimetaja jina lake la pili vizuri), huyo Jussa wakati akifanya uchambuzi wa vitabu, kuna sehamu amesema kuwa Nyerere alikuwa anawakandamiza viongozi wa ZNZ kuanzia wakati wa vuguvugu la Jumbe, Salmin Amour, na wengine, halafu akarejea kuwa pia alihusika wakati wa mapinduzi na wakati wa mauaji ya Karume.

Ninavyoelewa Karume aliuawa na Kanali Humudi na sababu wanazijua fika, kusema Nyerere kahusika ili aendelee kuinyonya ZNZ inahitaji ushahidi ambao kimsingi huyo Jussa na hiyo TV Kamili ya ZNZ wanapaswa kuuleta.

Kuna mengi yanaongewa ambayo yametiwa chumvi na hilo kundi la Jussa na wenzake akiwemo yule anayeitwa OMO, badala ya kufanya kazi ya kuijenga nchi ya Zinjibari anazunguka huko na huko kuichafua Serikali na Rais wa ZNZ.

Kuna kipindi kimoja Jussa alikaririwa akisema kuwa Waarabu hawakuhusika na biashara ya watumwa, akawatupia lawama wananchi Waafrika weusi, aka-justify kuwa Zanzibar ilikaliwa kwanza na Waarabu....yaani ndiyo first people. Wengine wote, yaani Waafrika weusi walikuja kutoka Bara na kuwa huwezi kutenganisha ZNZ na Uislaam, yaani Serikali na dini ni kitu kimoja....Ni ya kweli hayo?

Eti kuna mtu mweusi alikuwa akimiliki watumwa ndiyo moja ya justification kwamba kila mtu alihusika na biashara ya utumwa, lakini akikataa kuwa waarabu siyo wahusika...atuthibitishie hayo.

Lingine alisema kuwa Waingereza walishindwa kwenye vita vya SUEZ CANAL na misri ndiyo maana walikuwa na hasira na ZNZ, Wakati kila mtu anajua kuwa Egypt ilipigwa na mfereji ukafunguliwa kwa meli zote zipite hapo hadi leo hakuna anayethubutu kuufunga tena....Hata hajui hiyo ilikuwa ile vita iliyoitwa " Six day war" au Yom Kippur. Kwanini anatudanganya?

Kuna mengi ambayo anahitaji kuthibitisha....mpelekeni polisi akathibitishe, ila safari hii msimvunje miguu tena.
Kwanini mnaruhusu non-credible sources of information katika nchi hii iendelee kueneza uongo wa mtu mmoja au wawili wajinga
Useless thread
 
Mkuu field marshall1 , it's good ungeleta links, tukamsikia na sio hii hearsay uliyoleta. Hongera JF kwa Whistleblow, JF tubadilike, tusichafue majina ya Watu kwa tuhuma za Hearsay zisizo na Uthibitisho, Ukituhumu, Weka Uthibitisho

Kuna ukweli kwenye hili, biashara ya utumwa ilikuwa na stages 3.
1. Wakamata watumwa, hawa hawakuwa Waarabu, hawa walikuwa wenyeji na machifu wetu, waliwakamata watu, miongoni mwao wahalifu na mateka, na kuwauzia Waarabu akina Tippu Tip ambao hao waliwanunua watumwa toka kwa wenyeji na kuwasafirisha mpaka soko la Bagamoyo kisha kupelekwa soko Kuu la Zanzibar.
2. Wachuuzi wa watumwa, hawa ndio Waarabu, waliwanunua Watumwa kwa wenyeji na kuwasafirisha hadi soko la Bagamoyo kisha kupelekwa soko kuu la Zanzibar.
3. Wanunuzi wakubwa wa watumwa, hawa pia sio Waarabu, ni Wahindi, Waarabu na Wazungu, waliokuja soko la Zanzibar na meli kubwa, kuwanunua watumwa na kwenda kuwauza masoko ya Europe, India na Arabia.

Hii sii kweli, Wenyeji halisi wa asili wa Zanzibar ni Wahadimu ambao asili yao ni huku bara, kiongozi wao aliitwa Mwinyi Mkuu. Wareno walivamia Zanzibar, hivyo Mwinyimkuu akaomba usaidizi wa Waarabu kuwapiga Wareno, baada ya kuwashinda Wareno, ndipo mwaka 1732 Sultan Seyyid Said, akahamishia makao makuu ya Sultanate yake from Oman to Zanzibar na kuvitwaa visiwa hivyo as if wameviokota, sijui walimfanya nini Mwinyimkuu, ila mwaka 1964 wajukuu wa Mwinyimkuu walilipiza kisasi na kuvirejesha visiwa hivyo kwa wenyewe kupitia yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

It's true, huwezi kutenganisha Zanzibar na Uislamu kwasababu ya Waarabu, baada ya Sultanate ya Oman kuhamia Zanzibar, Zanzibar iliyokuwa ni Islamic nation. Ni muungano wetu ndio umeifanya Zanzibar kuwa a secular state.

It's very true kuna watu wetu wakaichangamkia biashara hii akiwemo Tippu Tip, Baba Mwarabu na mama Mnyamwezi.QAaa

Anza na kutuletea huo ushahidi humu, tuna wataalamu wa kutosha wa ku ascertain criminal liabilities, tutashauri, na tuliwahi kushauri humu, kama tuhuma zozote zenye criminal liabilities, ukileta tuhuma humu lazima ulete ushahidi, ukileta tuhuma humu bila ushahidi, usitaje majina na kuchafua watu bure bila ushahidi. Hongera JF kwa Whistleblow, JF tubadilike, tusichafue majina ya Watu kwa tuhuma za Hearsay zisizo na Uthibitisho, Ukituhumu, Weka Uthibitisho
P
Paskali, asante kwa andiko lako. Sina haja ya kumchafua mtu, nina uwezo mkubwa wa kumbukumbu na kufanya analysis, niliyoyasema ni ya kweli. Kwa vile mmeniomba nitaweka leo, ila kama wameondoa leo hii sitaipata huo uchambuzi. Hiyo haiwezi kuwa "hearsay" unajua maana ya "hearsay". Nitaweka hapo online ni uchambuzi mrefu wa kitabu cha Thabit Kombo Jecha, kwa hiyo inabidi usikilize wote ndiyo uweze kuipata hiyo sehemu aliyomtuhumu Nyerere.
 
Pale Karume aliposema kwamba koti likikubana unalivua na kisha akaanza kupinga muungano kwenye mwaka 1970 Nyerere na wapambe wake hawakufurahia hilo na ndio hayo yaliyotokea kweli yakatokea.

Ila hilo la utumwa asitufanye wajinga, waarabu walikuja pwani ya Afrika mashariki kutafuta watumwa na ndio walioanzisha biashara hiyo haramu katika eneo hili kabla ya kuja kupigwa marufuku na wajerumani.
Aliposema muungano nikama koti likikubana unalivua hiyo kauli ndio ilisababisha kifo chake huo ndio ukweli anaebisha aendelee kubisha!
 
Aliposema muungano nikama koti likikubana unalivua hiyo kauli ndio ilisababisha kifo chake huo ndio ukweli anaebisha aendelee kubisha!
Kumsingizia marehemu mambo mabaya, kunapelekea kupata karma mbaya. Karume aliuliwa na Humudi, kisa cha Humudi kufanya mauaji hayo kinafahamika, unless ni mseme by that time intels zote za Zanzibar zilikuwa zinasimamiwa na TISS ya Bara na TISS walijua kila kitu na Nyerere was informed kuhusu mipango hiyo but he did nothing kuzuia, hilo linafikirika!, ila kwenye usalama wa nchi, kiongozi mkubwa akitoa kauli hatarishi kwa muungano wetu adhimu, by then even to think tuu kuwa muungano wetu adhimu unaweza kuvunjika ni uhaini tosha!, hivyo ukisikia mipango ya kumu eliminate mtu mwenye fikra ya uhaini dhidi ya uwepo wa JMT, na hukuzuia such elimination, then huko kutahesabika ni part and parcel ya kuulinda muungano. Ukisikia kuwa "tutaulinda muungano kwa gharama yoyote", kiusalama gharama hizo zinaweza kuwa ni pamoja na machozi, jasho na damu.
Katika kuulinda muungano, wengi wamegharimika akiwemo Abdul Jumbe.
P
 
Mkuu field marshall1 , it's good ungeleta links, tukamsikia na sio hii hearsay uliyoleta. Hongera JF kwa Whistleblow, JF tubadilike, tusichafue majina ya Watu kwa tuhuma za Hearsay zisizo na Uthibitisho, Ukituhumu, Weka Uthibitisho

Kuna ukweli kwenye hili, biashara ya utumwa ilikuwa na stages 3.
1. Wakamata watumwa, hawa hawakuwa Waarabu, hawa walikuwa wenyeji na machifu wetu, waliwakamata watu, miongoni mwao wahalifu na mateka, na kuwauzia Waarabu akina Tippu Tip ambao hao waliwanunua watumwa toka kwa wenyeji na kuwasafirisha mpaka soko la Bagamoyo kisha kupelekwa soko Kuu la Zanzibar.
2. Wachuuzi wa watumwa, hawa ndio Waarabu, waliwanunua Watumwa kwa wenyeji na kuwasafirisha hadi soko la Bagamoyo kisha kupelekwa soko kuu la Zanzibar.
3. Wanunuzi wakubwa wa watumwa, hawa pia sio Waarabu, ni Wahindi, Waarabu na Wazungu, waliokuja soko la Zanzibar na meli kubwa, kuwanunua watumwa na kwenda kuwauza masoko ya Europe, India na Arabia.

Hii sii kweli, Wenyeji halisi wa asili wa Zanzibar ni Wahadimu ambao asili yao ni huku bara, kiongozi wao aliitwa Mwinyi Mkuu. Wareno walivamia Zanzibar, hivyo Mwinyimkuu akaomba usaidizi wa Waarabu kuwapiga Wareno, baada ya kuwashinda Wareno, ndipo mwaka 1732 Sultan Seyyid Said, akahamishia makao makuu ya Sultanate yake from Oman to Zanzibar na kuvitwaa visiwa hivyo as if wameviokota, sijui walimfanya nini Mwinyimkuu, ila mwaka 1964 wajukuu wa Mwinyimkuu walilipiza kisasi na kuvirejesha visiwa hivyo kwa wenyewe kupitia yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

It's true, huwezi kutenganisha Zanzibar na Uislamu kwasababu ya Waarabu, baada ya Sultanate ya Oman kuhamia Zanzibar, Zanzibar iliyokuwa ni Islamic nation. Ni muungano wetu ndio umeifanya Zanzibar kuwa a secular state.

It's very true kuna watu wetu wakaichangamkia biashara hii akiwemo Tippu Tip, Baba Mwarabu na mama Mnyamwezi.QAaa

Anza na kutuletea huo ushahidi humu, tuna wataalamu wa kutosha wa ku ascertain criminal liabilities, tutashauri, na tuliwahi kushauri humu, kama tuhuma zozote zenye criminal liabilities, ukileta tuhuma humu lazima ulete ushahidi, ukileta tuhuma humu bila ushahidi, usitaje majina na kuchafua watu bure bila ushahidi. Hongera JF kwa Whistleblow, JF tubadilike, tusichafue majina ya Watu kwa tuhuma za Hearsay zisizo na Uthibitisho, Ukituhumu, Weka Uthibitisho
P
Machifu walidanganywa watu wao wanaenda kufanya kazi na kuleta kipato nyumbani. Wakapewa zawadi na zawadi. Kila wakirudi wanaleta stor za kulubuniwa na kupewa viji zawadi tena na tena..

Machifu waliposhtuka na kujiuliza mbona nguvu kazi zetu zina zidi kuondoka tuu na hawaludi?

Baadhi waka jigawa na kuwaabarisha walanguzi wa utumwa na yakaanza mapigano..
Basi kila kabila likaja na style yake;Mf wamakonde wali chanja na kuweka ndonya..
Wazaramo wakaanza kukomboa mateka na kuwauza tena kwenye msafara mwengine. Kiufupi kuna mazito yalio tendeka tusio yajua....
Funika kombe mwanaharamu apite...
 
Paskali, asante kwa andiko lako. Sina haja ya kumchafua mtu, nina uwezo mkubwa wa kumbukumbu na kufanya analysis, niliyoyasema ni ya kweli.
Hakuna mashaka yoyote kuhusu uwezo wako mkubwa wa kumbukumbu na analysis na hakuna mashaka kuwa usemayo ni kweli, ila tuko kwenye digital world, seeing is believing, tukiona wenyewe kwa macho yetu, na kusikia wenyewe kwa masikio yetu, tutaamini zaidi kuliko kuhadithiwa pekee.
Kwa vile mmeniomba nitaweka leo, ila kama wameondoa leo hii sitaipata huo uchambuzi.
Nitakushukuru, na kama haipo pia nitakuelewa, kwasababu kuna baadhi ya watu huwa wanatamka vitu vya ajabu ajabu huko mitaani, vikipandishwa online, wakajisikia walisema nini, then hizo clips wanaziondoa fasta!. Mfano hata video za bandiko hili Kwa Simulizi za Mwana JF, Maalim Mohammed Said, Sio Mtu wa Kubezwa, Mengine ni Ukweli Mchungu!, Ila Pia Sio Mtu wa Kupuuzwa!. ziliondolewa baada ya bandiko hili

Hata hii video ya bandiko hili Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii ilifutwa kisha ikaeditiwa na kupandishwa tena.
Hata video ya Royal Tour kile kipande kuhusu Covid 19 ilivyokula kichwa fulani, kimeeditiwa!.
Hiyo haiwezi kuwa "hearsay" unajua maana ya "hearsay".
Nitakushukuru sana kama utanifundisha kuhusu hearsay.
Nitaweka hapo online ni uchambuzi mrefu wa kitabu cha Thabit Kombo Jecha, kwa hiyo inabidi usikilize wote ndiyo uweze kuipata hiyo sehemu aliyomtuhumu Nyerere.
Nitakushukuru na naahidi nitasikiliza yote.
P
 
Nimewahi kusikiliza online TV inaitwa Zanzibar Kamili, kuna mahojiano ya huyo anayeitwa Ismael Jussa ( Nadhani nimetaja jina lake la pili vizuri), huyo Jussa wakati akifanya uchambuzi wa vitabu, kuna sehamu amesema kuwa Nyerere alikuwa anawakandamiza viongozi wa ZNZ kuanzia wakati wa vuguvugu la Jumbe, Salmin Amour, na wengine, halafu akarejea kuwa pia alihusika wakati wa mapinduzi na wakati wa mauaji ya Karume.

Ninavyoelewa Karume aliuawa na Kanali Humudi na sababu wanazijua fika, kusema Nyerere kahusika ili aendelee kuinyonya ZNZ inahitaji ushahidi ambao kimsingi huyo Jussa na hiyo TV Kamili ya ZNZ wanapaswa kuuleta.

Kuna mengi yanaongewa ambayo yametiwa chumvi na hilo kundi la Jussa na wenzake akiwemo yule anayeitwa OMO, badala ya kufanya kazi ya kuijenga nchi ya Zinjibari anazunguka huko na huko kuichafua Serikali na Rais wa ZNZ.

Kuna kipindi kimoja Jussa alikaririwa akisema kuwa Waarabu hawakuhusika na biashara ya watumwa, akawatupia lawama wananchi Waafrika weusi, aka-justify kuwa Zanzibar ilikaliwa kwanza na Waarabu....yaani ndiyo first people. Wengine wote, yaani Waafrika weusi walikuja kutoka Bara na kuwa huwezi kutenganisha ZNZ na Uislaam, yaani Serikali na dini ni kitu kimoja....Ni ya kweli hayo?

Eti kuna mtu mweusi alikuwa akimiliki watumwa ndiyo moja ya justification kwamba kila mtu alihusika na biashara ya utumwa, lakini akikataa kuwa waarabu siyo wahusika...atuthibitishie hayo.

Lingine alisema kuwa Waingereza walishindwa kwenye vita vya SUEZ CANAL na misri ndiyo maana walikuwa na hasira na ZNZ, Wakati kila mtu anajua kuwa Egypt ilipigwa na mfereji ukafunguliwa kwa meli zote zipite hapo hadi leo hakuna anayethubutu kuufunga tena....Hata hajui hiyo ilikuwa ile vita iliyoitwa " Six day war" au Yom Kippur. Kwanini anatudanganya?

Kuna mengi ambayo anahitaji kuthibitisha....mpelekeni polisi akathibitishe, ila safari hii msimvunje miguu tena.
Kwanini mnaruhusu non-credible sources of information katika nchi hii iendelee kueneza uongo wa mtu mmoja au wawili wajinga
Hawa jamaa ni wabagiz Sana na Sasa hivi ndo nmejua kwa nini Huwa hawapewi kuongoza dola .
 
Hakuna mashaka yoyote kuhusu uwezo wako mkubwa wa kumbukumbu na analysis na hakuna mashaka kuwa usemayo ni kweli, ila tuko kwenye digital world, seeing is believing, tukiona wenyewe kwa macho yetu, na kusikia wenyewe kwa masikio yetu, tutaamini zaidi kuliko kuhadithiwa pekee.

Nitakushukuru, na kama haipo pia nitakuelewa, kwasababu kuna baadhi ya watu huwa wanatamka vitu vya ajabu ajabu huko mitaani, vikipandishwa online, wakajisikia walisema nini, then hizo clips wanaziondoa fasta!. Mfano hata video za bandiko hili Kwa Simulizi za Mwana JF, Maalim Mohammed Said, Sio Mtu wa Kubezwa, Mengine ni Ukweli Mchungu!, Ila Pia Sio Mtu wa Kupuuzwa!. ziliondolewa baada ya bandiko hili

Hata hii video ya bandiko hili Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii ilifutwa kisha ikaeditiwa na kupandishwa tena.
Hata video ya Royal Tour kile kipande kuhusu Covid 19 ilivyokula kichwa fulani, kimeeditiwa!.

Nitakushukuru sana kama utanifundisha kuhusu hearsay.

Nitakushukuru na naahidi nitasikiliza yote.
P
Hearsay, bwana Paskali ni habari uliyoisikia mitaani. Hii habari sikupata mitaani (au rumours), hiyo siyo rumours (Nimesikia simulizi yake hiyo, itakuwaje Rumours?) hiyo ni definition ya "Hearsay" is information received from other people which cannot be substantiated; rumour. Kwa hiyo sikuleta rumours bali nimeandika kama nilivyosikia.
 
Kumsingizia marehemu mambo mabaya, kunapelekea kupata karma mbaya. Karume aliuliwa na Humudi, kisa cha Humudi kufanya mauaji hayo kinafahamika, unless ni mseme by that time intels zote za Zanzibar zilikuwa zinasimamiwa na TISS ya Bara na TISS walijua kila kitu na Nyerere was informed kuhusu mipango hiyo but he did nothing kuzuia, hilo linafikirika!, ila kwenye usalama wa nchi, kiongozi mkubwa akitoa kauli hatarishi kwa muungano wetu adhimu, by then even to think tuu kuwa muungano wetu adhimu unaweza kuvunjika ni uhaini tosha!, hivyo ukisikia mipango ya kumu eliminate mtu mwenye fikra ya uhaini dhidi ya uwepo wa JMT, na hukuzuia such elimination, then huko kutahesabika ni part and parcel ya kuulinda muungano. Ukisikia kuwa "tutaulinda muungano kwa gharama yoyote", kiusalama gharama hizo zinaweza kuwa ni pamoja na machozi, jasho na damu.
Katika kuulinda muungano, wengi wamegharimika akiwemo Abdul Jumbe.
P

Mtauwa Wazanzibari wangapi kuulinda huo muungano? Kwa nini hamtaki kuungana na ndugu zenu wa Burundi au Wamakonde wenzenu wa Msumbiji mnang'ang'ania Zanzibar tuu? Zanzibar imewashinda, umaskini umeongezeka tangu mfanye uvamizi. Sasa faida ya huo muungano ni nini?
 
Back
Top Bottom