Dah! Hiko kiapo akitakiwa kujichinja wala haoni shida! In short, akili zote zimekadhiwa to someone else; sio mali yake tena.
View: https://youtu.be/KmpnZ04oV70?si=YAWh0JRGnKoQSBqJ
Ujembe wa Hezbullah kwa kiongozi wao, wacheni tumtie adabu Israel
Kule Amsterdam walipigwa mitama baada ya kujitoa akili🤠🤠🤠....ile ni kuonesha kuwa man to man combat hawawezi Hawa wavaa nepi.....mkuu hata ww unaweza kuzipanga vzuri tu na yule Chief of staff wao wa jeshi na ukamtoa kamasi🤠🤠🤠....they are that weak....ukikorofishana na mtu akaja Nyumbani kwako haupo na akawaua familia yako yte yaani wife na watoto wako wte halafu ww usiende kwake kuua familia yake Bali ukaamua ku deal naye yy....kimtazamo ww ndo utaonekana mshindi si yy anayeua watu wasio na uwezo wa kujitetea....it's that simplemakobaz mkipigwa mna laumu, mkiachwa pia mnaleta kidomo domo.
Mfano sahv uko Gaza mnasema wanauliwa watoto kama na nyie mnanguvu si muue watoto wa Israel?
Sasa mtendweje mkipigwa kelele, mkiachwa kelele.Habari ndio hio Israel wanasingizia watasimamisha vita North kwa mda kutokana na UN itatoa Resolution kuhusu Gaza. Swali toka lini Israel ilifata sheria za UN. Hakuna zaidi ya moto wa Hezbullah unatisha wameona wakimbia kijanja huko Lebanon
Habari ndio hio Al Arab TV inasema hio ni Breaking news kutokana na Israel TV channel 12.
View: https://youtube.com/shorts/XhhX2vgRvaY?si=cCLRefvVPxmGWqTo
Wambie wanao fahamu kiarabu wakutafsirie, Israel anabembeleza US wasimamishe vita Lebanon. Afu wawazue Syria wasipeleke silaha Lebanon, pia wanaomba US awatie pressure Lebanon ili jeshi la Lebanon liende mpakani afu wakubali Israel awe ana control Air space ya Lebanon 😄Sasa mtendweje mkipigwa kelele, mkiachwa kelele.
Huo ni mtazamo wako tu na katika hali ya kujipa moyo.Kule Amsterdam walipigwa mitama baada ya kujitoa akili🤠🤠🤠....ile ni kuonesha kuwa man to man combat hawawezi Hawa wavaa nepi.....mkuu hata ww unaweza kuzipanga vzuri tu na yule Chief of staff wao wa jeshi na ukamtoa kamasi🤠🤠🤠....they are that weak....ukikorofishana na mtu akaja Nyumbani kwako haupo na akawaua familia yako yte yaani wife na watoto wako wte halafu ww usiende kwake kuua familia yake Bali ukaamua ku deal naye yy....kimtazamo ww ndo utaonekana mshindi si yy anayeua watu wasio na uwezo wa kujitetea....it's that simple
Huna unalojua wewe.Hezbollah hawana nguvu yeyote ya kupigana na Israel zaidi ya kupiga kwa kuvizia na kujificha kwenye mashimo kama panya huku wakijinyea kama wanaume wasimame peupe kama mwenzao Ukraine ndo tutajua wanaweza,vita vya msituni hata mkwawa aliweza mbele ya mjerumani Kwa miaka minne yeye ana mkuki mjerumani ana mizinga na bunduki achilia mbali mabomu
Askari wa IDF wakikusikia watakuchapa makofi.Huo ni mtazamo wako tu na katika hali ya kujipa moyo.
Hapo Middle East Muyahudi hamumuwezi anatembeza kichapo anavotaka na anavopenda. Hata UN mwenyewe hasikilizwi
Umsaidie nani wakati wewe mwenyewe unataka kusaidiwauislam ni ushetani , mnachokoza mkielemewa mnataka na sis tuwasaidie
Zayuni muoga zaidi na ndio maana anaripua akiwa juu juu tena anaua watoto kina mama na wazee kama anaweza atie boot kwa groundHezbollah hawana nguvu yeyote ya kupigana na Israel zaidi ya kupiga kwa kuvizia na kujificha kwenye mashimo kama panya huku wakijinyea kama wanaume wasimame peupe kama mwenzao Ukraine ndo tutajua wanaweza,vita vya msituni hata mkwawa aliweza mbele ya mjerumani Kwa miaka minne yeye ana mkuki mjerumani ana mizinga na bunduki achilia mbali mabomu
Hamas sio wajinga na wana akili hawana shida na watoto na wala watoto hawajawakosea kitu sasa wawapige wa kazi gani wao shida yao magaidi ya kizayunimakobaz mkipigwa mna laumu, mkiachwa pia mnaleta kidomo domo.
Mfano sahv uko Gaza mnasema wanauliwa watoto kama na nyie mnanguvu si muue watoto wa Israel?
Hongera sana mkuu, wewe unaishi dunia yakoTrump kwani kisha shika madaraka, afu mnamkuza huyo mbele ya Hezbullah na Al Houthi hana lolote. Hata Iran atamchapa Israel nyie tegeni masikioa True Promise 3 ipo njiani.
Asante sana huyo mpaa tarehe 20 mwezi wa kwanza labda akifika ndio anaweza kutoa amri, kwa sasa kile kiendawazimu ndio Rais wa America mtake msitake.Hongera sana mkuu, wewe unaishi dunia yako
hio ndio dawa ya makobazz....mwamba trump aongeze doziii
Umeropoka badala ya kuongea.Watu wasiyopenda amani wanapenda sasa kuleta uchochezi...
IDF ikiendelea kuwepo Lebanon kunakuwa na nongwa " oooo IDF inaua watoto na wamama" wakitaka kuondoka " IDF kakimbia uwanja wa vita"
Upuuzi huu, upuuzi hu...
Wakiua raia lazima watu watalalamika ulimsikia nani wanalalamika baada ya Mazayuni kumuua Nasrallah HassanWatu wasiyopenda amani wanapenda sasa kuleta uchochezi...
IDF ikiendelea kuwepo Lebanon kunakuwa na nongwa " oooo IDF inaua watoto na wamama" wakitaka kuondoka " IDF kakimbia uwanja wa vita"
Upuuzi huu, upuuzi hu...