Israel Ameamua Kukimbia Lebanon

Israel Ameamua Kukimbia Lebanon

Watu wasiyopenda amani wanapenda sasa kuleta uchochezi...
IDF ikiendelea kuwepo Lebanon kunakuwa na nongwa " oooo IDF inaua watoto na wamama" wakitaka kuondoka " IDF kakimbia uwanja wa vita"
Upuuzi huu, upuuzi hu...
Wakiua raia lazima watu watalalamika ulimsikia nani wanalalamika baada ya Mazayuni kumuua Nasrallah Hassan
 
Huo ni mtazamo wako tu na katika hali ya kujipa moyo.
Hapo Middle East Muyahudi hamumuwezi anatembeza kichapo anavotaka na anavopenda. Hata UN mwenyewe hasikilizwi
Inaonesha uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana bwana mdogo....Sasa UN kutokusikilizwa ndo unaona ujanja mkuu....vita inapiganwa kwa namna nyingi sana....zile resolutions zinazopitishwa kule UN ni akiba itakayokuja kuwaumiza hao taifa la Mungu mbeleni.....ukiwa na vitaifa vichache vya Ulaya pamoja na mkubwa mmoja wanakukingia kifua tena ni serikali zao sio wananchi wao in a long run itakula kwako tu....uchumi wako vita ikishaisha utashirikiana na hzo nchi chache zinazokuunga mkono....ukienda kwingine duniani watu watakukataa.....halafu duniani huko maisha ya raia wako yatakuwa matatani maana watu washawaju nyny ni nuksi....interms of propaganda mmeshashindwa maana hata hzo main stream media watu washazishtukia zinawalisha uongo.....in short image ya Hilo taifa imeshachafuka sana.....na bdo kwny battle ground mtaendelea kugongwa na kurudishwa kwny masanduku mpk akili ziwakae sawa....
 
Hii ni Leo tu sasa sijui hiyo habari Yako umeitoa wap
Screenshot_20241111-000756_1.jpg
 
Wanaume wanachapana atutaki mtu kukimbilia UN waachwe tu!! hiii vita tutaona mengi huu mwaka kabla ya 2025 mwendo w kutoana rooo !! Esabu ya wafu itakuja baadae!!!
 
Zayuni muoga zaidi na ndio maana anaripua akiwa juu juu tena anaua watoto kina mama na wazee kama anaweza atie boot kwa ground
Hapo Gaza hawapo Kwa ground,nani kakwambia hawapo ground sema vita ngumu wanapigana na watu wanaotumia watu kama ngao (human shield)
 
Huna unalojua wewe.
Angekua hizbollah hana nguvu asingeua askari wengi wa Israel.
Punguza kuropoka.
Kufa vitani kawaida hata wasomali wali wahi ua askari wa marekani, naona udini umekulemaza ndugu
 
Hapo Gaza hawapo Kwa ground,nani kakwambia hawapo ground sema vita ngumu wanapigana na watu wanaotumia watu kama ngao (human shield)
Unaelewa maana kua kwa ground kijana wanatumia ndege za kazi gani hili la human shield mmelikazania kweli kweli ila halina ukweli wowote inamaana mabomu yakipigwa yanachugua kuua raia ila yanawaacha hamas wanaendelea kuwafyeka wazayuni kuna watu akili zenu zinatutia mashaka kwakweli
 
Inaonesha uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana bwana mdogo....Sasa UN kutokusikilizwa ndo unaona ujanja mkuu....vita inapiganwa kwa namna nyingi sana....zile resolutions zinazopitishwa kule UN ni akiba itakayokuja kuwaumiza hao taifa la Mungu mbeleni.....ukiwa na vitaifa vichache vya Ulaya pamoja na mkubwa mmoja wanakukingia kifua tena ni serikali zao sio wananchi wao in a long run itakula kwako tu....uchumi wako vita ikishaisha utashirikiana na hzo nchi chache zinazokuunga mkono....ukienda kwingine duniani watu watakukataa.....halafu duniani huko maisha ya raia wako yatakuwa matatani maana watu washawaju nyny ni nuksi....interms of propaganda mmeshashindwa maana hata hzo main stream media watu washazishtukia zinawalisha uongo.....in short image ya Hilo taifa imeshachafuka sana.....na bdo kwny battle ground mtaendelea kugongwa na kurudishwa kwny masanduku mpk akili ziwakae sawa....
Wazayuni wa jf akili kubwa kama hizi hawana wazayuni kwasasa kila mahala wanachukiwa na wanaishi kwamashaka sana walishauriwa wasiende ufaransa kwenye team yao ya taifa inacheza lini sijui huko Paris ila sirikali ya ufaransa imeamua kutumia pesa za walipa kodi kuwalinda hao wazayuni watadeploy polisi mpaka 40k kuwalinda wazayuni maisha gani haya ila wasichokijua ni kwamba wazayuni watagongwa tu spana hio day hata kama haitakua kama Ile ya Amsterdam ila lazima watagongwa tu dunia nzima inatakiwa iamke kuwagonga spana hawa wazayuni popote pale watakapo one kana wauaji wakubwa hawa
 
Unaelewa maana kua kwa ground kijana wanatumia ndege za kazi gani hili la human shield mmelikazania kweli kweli ila halina ukweli wowote inamaana mabomu yakipigwa yanachugua kuua raia ila yanawaacha hamas wanaendelea kuwafyeka wazayuni kuna watu akili zenu zinatutia mashaka kwakweli
Naelewa na Israeli na vifaru vyao wapo nyumba kwa nyumba hapo Gaza labda kama umeamua kufumba macho usione, na wanatumia ngao ya watu ndo maana hata kiongozi wa hamasi aliuwawa akiwa ameketi kwenye nyumba ya watu
 
Kufa vitani kawaida hata wasomali wali wahi ua askari wa marekani, naona udini umekulemaza ndugu
Sasa kama kufa vitani kawaida kwanini unamuua adui alokuulia mwenzako hakuna ukawaida wa kufia vitani ila kufa vitani ni matokeo ya vita
 
Askari shujaa haogopi kifo sema nyie Imani yenu ya uongo maana mnaogopa kwenda kuchukuwa bikira zenu
 
Naelewa na Israeli na vifaru vyao wapo nyumba kwa nyumba hapo Gaza labda kama umeamua kufumba macho usione, na wanatumia ngao ya watu ndo maana hata kiongozi wa hamasi aliuwawa akiwa ameketi kwenye nyumba ya watu
Sasa mbona hao watu wengine hawakufa nae kafa mwenyewe nimekuuliza swali umeshindwa kujibu mabomu hua yanachugua kuua raia na kuacha hamas hivyo vifaru na boldozer kila leo yanaripuliwa huko Ghaza tunayaona na ndio matokeo ya vita ila hamas kujificha kwa raia danganyaneni wenyewe
 
Askari shujaa haogopi kifo sema nyie Imani yenu ya uongo maana mnaogopa kwenda kuchukuwa bikira zenu
Angalia ulivyo kilaza muislam akifa anapambania haki yake ana malipo makubwa unaona choyo tukipata mabikra
 
Sasa mbona hao watu wengine hawakufa nae kafa mwenyewe nimekuuliza swali umeshindwa kujibu mabomu hua yanachugua kuua raia na kuacha hamas hivyo vifaru na boldozer kila leo yanaripuliwa huko Ghaza tunayaona na ndio matokeo ya vita ila hamas kujificha kwa raia danganyaneni wenyewe
Hamasi wanamiliki eneo Gani pale Gaza hebu taja
 
N
Angalia ulivyo kilaza muislam akifa anapambania haki yake ana malipo makubwa unaona choyo tukipata mabikra
Ngono ndo agenda kuu mlionayo mnajilipua na mabomu Kila siku na kutuua binadamu wenzenu tunaacha familia zetu kisa uroho wenu kupenda k*ma za pepo yenu ya ngono
 
Israhell wanamiliki eneo gani pale Ghaza ungeanza kutaja wewe kwanza
Kuna Kijiji chochote hakitawaliwi na Israeli pale Gaza? Israeli ndo wanaamua nani wakuishi Gaza na nani hapaswi kuishi na hata misaada wanaruhusu wao hata Amerika wanaomba ruhusa ya Yahudi ndo wawape mikate wapalestina
 
Back
Top Bottom