Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
- Thread starter
- #101
Israel anaomba Mrusi amuokoe Hezbullah wanampiga kwa style kila siku zikienda ya jana bora kuliko ya leo.Israel imeshakili bila Russia kuingilia kati Mgogoro wa Mashariki ya Kati hauwezi kuisha!
Russia ina uhusiano mzuri na Iran hivyo Russia inaweza kutumia uhusiano kuishawishi Iran imalize vita hivyo!