We jidanganye TU Israeli ingekuwa dhaifu jeshi la Iardhini basi Hezbola na hamasi wangekuwa Jerusalem saiv wanakunywa kahawa na vilemba vyao ila wenzako walioko uwanjwa wa mapambano wanaujua moto wa Israeli kwa jeshi la ardhiKama atatawala anga mpaka vita iishe atashinda ila akishuka tu chini ataswagwa