Israel Ameamua Kukimbia Lebanon

Israel Ameamua Kukimbia Lebanon

Kama atatawala anga mpaka vita iishe atashinda ila akishuka tu chini ataswagwa
We jidanganye TU Israeli ingekuwa dhaifu jeshi la Iardhini basi Hezbola na hamasi wangekuwa Jerusalem saiv wanakunywa kahawa na vilemba vyao ila wenzako walioko uwanjwa wa mapambano wanaujua moto wa Israeli kwa jeshi la ardhi
 
Kama atatawala anga mpaka vita iishe atashinda ila akishuka tu chini ataswagwa
Hakuna vita utashinda bila ground force ndege toka lini ikashinda vita. We huoni Israel anatafuta ushindi wa kufanya genocide ili watu wawageukie Hamas na Hezbullah waseme wao ndio sababu. Uzuri wa Palestine imani yao iko very strong pia watu wa South Lebanon. Kule Lebanon Israel wanamtumia yule Sameer Jaajah na wenzao kuleta vurugu Lebanon lakini wameikuta Hezbullah iko very 💪
 
We jidanganye TU Israeli ingekuwa dhaifu jeshi la Iardhini basi Hezbola na hamasi wangekuwa Jerusalem saiv wanakunywa kahawa na vilemba vyao ila wenzako walioko uwanjwa wa mapambano wanaujua moto wa Israeli kwa jeshi la ardhi
Na ingekua moto kama unavyo jidanganya muda huu kule ingekua ipo Beirut na huku kwengine ingekua Ghaza yote ipo chini yao bila kusahau ingekua imekomboa magaidi wake wote wanaoshikiliwa na hamas
 
We jidanganye TU Israeli ingekuwa dhaifu jeshi la Iardhini basi Hezbola na hamasi wangekuwa Jerusalem saiv wanakunywa kahawa na vilemba vyao ila wenzako walioko uwanjwa wa mapambano wanaujua moto wa Israeli kwa jeshi la ardhi
Uliwahi kuona vita ya kushambulia wanapigana bila air cover, hivi we unajua hata mambo ya vita kweli 🤣 Wasio jua vita kama wewe ndio wanaweza kusema Hezbullah na Hamas washambulie bila air cover.
 
Mimi siyo mtu wa kutekwa na propaganda uchwara Mimi ni mtu wa uhalisia,kwa habari Yako hata hamasi na Irani bila Rasia so wanabaki na magubasi TU,Sasa kama Hamasi ,Irani wanawashirika wao ambao pia Wananguvu wanashindwaje kuawdhibiti Israeli na washirika wake au Allah ni dhaifu mbele ya USA
 
Na ingekua moto kama unavyo jidanganya muda huu kule ingekua ipo Beirut na huku kwengine ingekua Ghaza yote ipo chini yao bila kusahau ingekua imekomboa magaidi wake wote wanaoshikiliwa na hamas
Vita ni hatua wewe we tuwape muda utaona moto wa Israeli katika vita ya kisasa Jeshi la anga huanza Kisha la ardhini
 
Hakuna vita utashinda bila ground force ndege toka lini ikashinda vita. We huoni Israel anatafuta ushindi wa kufanya genocide ili watu wawageukie Hamas na Hezbullah waseme wao ndio sababu. Uzuri wa Palestine imani yao iko very strong pia watu wa South Lebanon. Kule Lebanon Israel wanamtumia kina Sameer Jaajah na wenzao kuleta vurugu Lebanon lakini wameikuta Hezbullah iko very 💪
Kabisa bila ground huwezi shinda vita ndio changamoto wanayo pitia wazayuni maana chini wanachinjwa sana hivyo wanaingia kiwoga woga sana kuogopa kufyekwa jambo ambalo hawezi akashinda vita na muda huu nadhani raia wa palestina hasa wa Ghaza wameungana kuliko wakati mwengine wowote juzi kwamasikitiko nasikia kwa wingi wanarejele kaskazini licha ya madhila yaliojaa huko hii vita mzayuni hatoboi
 
Mimi siyo mtu wa kutekwa na propaganda uchwara Mimi ni mtu wa uhalisia,kwa habari Yako hata hamasi na Irani bila Rasia so wanabaki na magubasi TU,Sasa kama Hamasi ,Irani wanawashirika wao ambao pia Wananguvu wanashindwaje kuawdhibiti Israeli na washirika wake au Allah ni dhaifu mbele ya USA
Naona umeishiwa hoja umeanza Kuja na vioja sasa
 
Vita ni hatua wewe we tuwape muda utaona moto wa Israeli katika vita ya kisasa Jeshi la anga huanza Kisha la ardhini
Muda gani tuwape mtakua mshahshinda ingawaje nakubaliana nawe vita ni muda tuwape muda na matokeo ya vita hua inaamuliwa mwisho kujua nani ni nani
 
Mimi siyo mtu wa kutekwa na propaganda uchwara Mimi ni mtu wa uhalisia,kwa habari Yako hata hamasi na Irani bila Rasia so wanabaki na magubasi TU,Sasa kama Hamasi ,Irani wanawashirika wao ambao pia Wananguvu wanashindwaje kuawdhibiti Israeli na washirika wake au Allah ni dhaifu mbele ya USA
We wachana na story za Allah dhaifu usidhani Allah kikitokea kitu pale pale anakuokoa. Sa zingine anapima imani za watu wake kwenye mitihani kama hio. Kumbuka hapa duniani hatukuja picnic tumeletwa kwa reason flani, ndio sababu Mitume wote walipitia mitihani na kuna wengine walikutana na watu mashetani wakawa nawambia Mitume kama vile wewe, huyo Mungu wako yupo wapi exactly kama unavyo hoji wewe.

Swali nyie mnaosema Mungu wetu dhaifu OK, fikirieni mnavyo taka. Mimi swali langu nyie mnasema Israel ni taifa la Mungu wa wakristo, vipi linavurugwa na Missiles kila kukicha, Mungu wenu yupo wapi? Mpaa nyau hataki waonyeshe madhara wanayo pata. Vipi taifa la Mungu wenu mpaa lisaidiwe na US na Europe. hapo mnaonyesha wazi vipi nyie wajinga, taifa la Muungu wenu lisaidiwe na mataifa yasio kuwa ya Mungu 😄
 
Mungu wetubhahusiki na vita na binadamu wote ni viumbe wake ila nahoji hivyo kwa sababu mungu wenu anawachukia wayahudi ila wanamshinda basi tu
 
Muda gani tuwape mtakua mshahshinda ingawaje nakubaliana nawe vita ni muda tuwape muda na matokeo ya vita hua inaamuliwa mwisho kujua nani ni nani
Ndiyo upande dhaifu utaomekana hv punde at Sadam Husein, Gadafi walisumbua sana lkn wapo wapi
 
Wazayuni wa jf akili kubwa kama hizi hawana wazayuni kwasasa kila mahala wanachukiwa na wanaishi kwamashaka sana walishauriwa wasiende ufaransa kwenye team yao ya taifa inacheza lini sijui huko Paris ila sirikali ya ufaransa imeamua kutumia pesa za walipa kodi kuwalinda hao wazayuni watadeploy polisi mpaka 40k kuwalinda wazayuni maisha gani haya ila wasichokijua ni kwamba wazayuni watagongwa tu spana hio day hata kama haitakua kama Ile ya Amsterdam ila lazima watagongwa tu dunia nzima inatakiwa iamke kuwagonga spana hawa wazayuni popote pale watakapo one kana wauaji wakubwa hawa
Kadri mnavowachukia ndivyo wanavopata nguvu zaidi ya kupambana na adui zake, na ataua wengi na Dunia itaishia kulalamika Cha kufanya hamna
 
Kadri mnavowachukia ndivyo wanavopata nguvu zaidi ya kupambana na adui zake, na ataua wengi na Dunia itaishia kulalamika Cha kufanya hamna
Atawamaliza nani kama kuua hajaanza leo na wala hataishia hapa wenzake pia waliua zaidi ya yeye wakaamini duniani hakuna wakuwafanya kitu ila matokeo yake sasa
 
Hezbola analengo alilotumwa la kuingamiza Israeli yaani kuifuta katika ramani ya Dunia na nafikiri kafanikiwa maana ana nguvu sana ana Sivyo?
Hata wajichanganye waarabu wote, wakafanya Dua mara miaka nenda Rudi, Israeli haitafutika, Kama huamini omba mungu akupe miaka elfu ujionee
 
Hata wajichanganye waarabu wote, wakafanya Dua mara miaka nenda Rudi, Israeli haitafutika, Kama huamini omba mungu akupe miaka elfu ujionee
Nikweli waarabu hawana lolote ni mafuta TU yanawapa kiburi siku ya kiisha wanakuwa kama ss tu
 
Hao hamas chokoraa TU kazi kujificha Kwa raia acha waeendelee kisababisha ndugu zao wauwawe mpaka waishe wawaachie Yahudi ardhi alikili hamna
 
Back
Top Bottom