Israel anapata wapi hiki kiburi? Ameweka rekodi ya kuuwa wafanyakazi wengi zaidi wa UN na waandishi

Israel anapata wapi hiki kiburi? Ameweka rekodi ya kuuwa wafanyakazi wengi zaidi wa UN na waandishi

Hao UN wamefata nini kwenye uwanja wa vita?
Lkn mbona mnavoripoti ni kama Israel anapokea kichapo kikali lkn mnaolalamika ni watoa kichapo?
 
Hebu naomba link ya chanzo cha habari cha kuaminika kinachosema kuwa
1. Wafanyakazi wa UN waliisadia Hamas katika mashambulizi ya October 7

2. Wafanyakazi wa UN wanawapa Hamas vifaa vya misaada kwenye kujiandaa ma vita
Ushahidi ni pale UN inapoilazimisha Israel isitishe mashambulizi kwa Hamas.
 
View attachment 2851446

Israel inaishambulia makazi ya watu, inaua watoto, wanawake, wagonjwa, waandishi wa habari, na hata wafanyakazi wa umoja wa mataifa
Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa anasema kwamba tangu kuanzishwa kwa UN haijawahi kutokea wafanyakazi wake wengi kuuawa kwenye vita kama walivyouawa na Israel

Matamko na maazimio kibao ya umoja wa Mataifa yameitaka Israel kusitisha vita lakini imejibu kwa kiburi kuwa itaendelea na mauaji hayo hata Umoja wa Mataifa usema nini
Magaidi yana mbinu sana
Screenshot_20231224-143457~2.jpg
 
Hayo majitu ni makatili sana. Huwa hayaoni kazi kuua familia/ukoo wote kwa kombora. Bila shaka Mmarekani Joe Biden ndiye anayewapa kiburi.

Tate Mkuu:

Mbona unaangalia upande mmoja Mkuu! Just balance your argument, Kwani Hamas sio katili? Walichofanya October 7 ilikuwa ni nini? na viongozi wanasema wazi wanasema watarudia October 7 wakipata nafasi tena tena.....

'We will repeat October 7 again and again' - Hamas official​


Hamas Official Ghazi Hamad: We Will Repeat the October 7 Attack Time and Again Until Israel Is Annihilated; We Are Victims - Everything We Do Is Justified #Hamas #Gaza #Palestinians pic.twitter.com/kXu3U0BtAP

— MEMRI (@MEMRIReports) November 1, 2023
 
Wakiristo kimya kwa sababu mwenzao. Wangalikua wanauliwa Wakiristo ungalisikia siju NATO. Tunaona Ukraine akiuliwa mbwa tu unaona. Lkn tunaosoma quran tunajua haya

Malaria 2.

Sipendi sana kuingiza aspect ya dini....Lakini kwa sababu umeileta, ni kuulize unajua Charter ya Hamas? Ukiisoma is purely fighting Israel for purely religious reasons? Iko wazi mno! Hebu Soma Charter yao......

Article 3:

The basic structure of the Islamic Resistance Movement consists of Muslims who have given their allegiance to Allah whom they truly worship

Article 4:

The Islamic Resistance Movement welcomes every Muslim who embraces its faith, ideology, follows its program, keeps its secrets, and wants to belong to its ranks and carry out the duty. Allah will certainly reward such one.

Article 5:

By adopting Islam as its way of life, the Movement goes back to the time of the birth of the Islamic message, of the righteous ancestor, for Allah is its target, the Prophet is its example and the Koran is its constitution.

Article 6:

It strives to raise the banner of Allah over every inch of Palestine, for under the wing of Islam followers of all religions can coexist in security and safety where their lives, possessions and rights are concerned. In the absence of Islam, strife will be rife, oppression spreads, evil prevails, and schisms and wars will break out.

Article 8:

Jihad is its path and death for the sake of Allah is the loftiest of its wishes.
 
Hebu naomba link ya chanzo cha habari cha kuaminika kinachosema kuwa
1. Wafanyakazi wa UN waliisadia Hamas katika mashambulizi ya October 7

2. Wafanyakazi wa UN wanawapa Hamas vifaa vya misaada kwenye kujiandaa ma vita

Mkuu hujanielewa....Na kwa nini nikupe link....It seems your Intellectually lazy.....Inawekekana hata hujui UNRWA nini......! Naona kuna kundi la Wavivu ambao hawapendi kufanya their only research.......Sina muda huo Mkuu....!
 
View attachment 2851446

Israel inaishambulia makazi ya watu, inaua watoto, wanawake, wagonjwa, waandishi wa habari, na hata wafanyakazi wa umoja wa mataifa
Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa anasema kwamba tangu kuanzishwa kwa UN haijawahi kutokea wafanyakazi wake wengi kuuawa kwenye vita kama walivyouawa na Israel

Matamko na maazimio kibao ya umoja wa Mataifa yameitaka Israel kusitisha vita lakini imejibu kwa kiburi kuwa itaendelea na mauaji hayo hata Umoja wa Mataifa usema nini

Nyuma yake ni Beberu ndiye aliye na lake jambo.
 
Magaidi watafutwe mpk wapatikane. Palestina inakubali magaidi wajifiche kweny makazi ya watu ili wazalishe uharamia wao. Acha wagigwe wakome. Kwanin waliwavizia waisrael na kuwaua. Uchokoze nyuki wakuume alaf ulalamikie mzinga eti funga wasije.

Nachukia magaidi HAMAS. Na ngwe hii wameteketezwa, hata kama watajiunda tena badae itawachukua miaka mingi na Dunia itapumua.

Mi HAMAS imetuulia vijana wetu wa Ki Tanzania bila hatia. Kwanin isingefanya sensa ya mateka wakawaondoa ambao sio wa israel. Kwao HAMAS yeyote aliyesimama kwenye ardhi ya Israel ni adui yao. Acha wapewe mkongoto next time watajua kuchokoza nyuki ukipange.
 
Tatizo kubwa ni baadhi ya taasisi zilizotakiwa kuwa neutral, zimegeuka kuwa sympathizers wa HAMAS.
Hapana si kweli. Israel , US, UK, Canda n.k. ni sehemu ya UN . Kusema taasisi hizo siyo neutral si kweli.

Hatujasikia malalamiko ya nchi yoyote ikiwemo Israel kwamba UN wanatumiwa na Hamas.

Israel ilipiga Hospitali ya Al-shifa kwa madai ya kutumika na HAMAS.
Wameingia ni wiki 3 sasa hawajaonyesha 'control center au kitu kinachoashiria' ni mali ya HAMAS. Walijaribu wameshindwa, hata vyombo vya Magharibi vimehoji ushahidi ! Hakuna
Ukiangalia orodha ya wafanyakazi wa UN waliouawa na taasisi nyingine kama Red Crescent, kuna uwezekano mkubwa wamekuwa wanatumika kwa maslahi ya HAMAS. Jiulize kama kuna siku moja mashirika kama Red Crescent wamewahi kufanya jitihada zozote kujua kama wale waliochukuliwa mateka na Hamas wapo salama na wanatendewa haki.
Labda niamini ''kuna uwezekano' uliosema lakini huna uhakika.
Labda nikuulize, ni taasisi gani ya UN imerusiwa na Israel kuingia katika magezeza yenye Wafungwa wa Palestina?
Wanahabari nao ni hivyo hivyo. Fikiria uovu wa kupindukia uliofanywa na HAMAS ile Oct 7.
Israel imeua wanahabari takribani 100. Wlaiouawa ni wa vyombo vya habari nje ya vile vya US.

Wameuawa Reuters tena kwa kuwa targeted, Al Jazeera na TV nyingine ambazo hazifuati ' matakwa ya Israel'

Kama unafuatilia habari, mwaka jana aliuawa mwandishi wa Aljazeera (Shireen Abu Akleh) makusudi.
Katika vita inayoendelea Waandishi wamepelekewa habari za kuuawa na IDF na wameuawa.

Kama unafuatilia habari , juzi aliuawa Mwandishi mmoja baada ya Familia yake kuuawa wiki iliyopita.
Israel inataka Waandishi kama wa CNN wanao ambatana na IDF ili kuficha wanayofanya

Mabinti wa Kiisrael walibakwa na baada ya kubakwa wakauawa kwa kukatwa shingo.
Stop this none sense. Una ushahidi gani kwamba Walibakwa?

Kama unafuatilia habari Israel wametoa taarifa hiyo wakisema waliobakizwa hawaachiwi kwasababu watasema wamebakwa. Ni trick ya kuweka shinikizo, lakini jumuiya ya Kimataifa imepuuza kwa kujua hizo ni propaganda.
Una ushahidi gani kama walibakwa! Mtu akisema amebakwa huo si ushahidi, hebu wewe mwenye ushahidi tueleze

Baadhi ya watoto chini ya miaka 10 waliuawa kwa kukatwa shingo. Ni taarifa zilizothibitishwa, lakini habari hizo ziliandikwa na vyombo vichache sana vya habari, tena vile ambavyo havina reporters wa moja kwa moja huko Gaza. Wanahabari wamekuwa wakifanya kazi kwa manufaa ya HAMAS.
Hao watoto ni wa Israel au Palestina?
Ni hivi hakuna kuua kuzuri iwe kukatwa shingo au mabomu. Kuua watoto na akina mama ni ushenzi na hakuna ushenzi mzuri. Ushenzi ni ushenzi tu bila kujali nani kafanya ni ushenzi tu.
Na hali ikishakuwa hivyo, usitarajie adui yako atawatenganisha. UN na nchi za kiarabu, kama kweli ina dhamira njema, ilistahili kuwatenganisha raia na hao magaidi wa HAMAS. Maadam magaidi ya HAMS yameamua kuwatumia raia kama kinga, na nchi za kiarabu na UN wameikubali hali hiyo, basi ina maana wamebariki vifo vya wale wasiohusika. Na hapo ndipo ulipo unafiki wa Waarabu na UN.
Tafadhali rudi maktaba ukasome kuna mambo mengi huyafahamu .

JokaKuu
 
Siyo kwa kiburi Umoja wa Mataifa uwasaidie Israel kutafuta magaidi ya Gaza na yakamatwe ili sheria ifuate mkondo wake.Bila hivyo mimi nawaunga mkono Israel asilimia 100%
Jamani kuna maswali nauliza hapa jamvini kila mara, hakuna anayejibu lakini watu wanarudia maneno yale yale

1. Ugaidi ni kitu gani?
2. Nani anatoa hadhi ya Ugaidi na nani anaondoa hadhi hiyo.

Hebu tuanzie hapo
 
Siyo kwa kiburi Umoja wa Mataifa uwasaidie Israel kutafuta magaidi ya Gaza na yakamatwe ili sheria ifuate mkondo wake.Bila hivyo mimi nawaunga mkono Israel asilimia 100%
Jumamosi juzi wanajeshi 10 wa Israel wameuawa kwa mpigo kwa mujibu wa CNN na Netanyau ametuma salalmu za pole kwa familia za wanajeshi.

Sasa kama wanamgambo tu wanawapukutisha wanajeshi wenye mafunzo ya juu kabisa vipi huyu Israel aingie vitani na Taifa kubwa kama Iran lenye teknolojia ya hali ya juu kabisa?

Hamas wanatumia silaha za jadi wanazotengeneza wenyewe lakini bado Israel anapigika na kupoteza wanajeshi dhidi ya wanamgambo tu. Israel bila shoga yake Marekani ni mwepesi kama karatasi.
 
Magaidi watafutwe mpk wapatikane.
Ugaidi ni kitu gani? Nani ametoa hadhi ya Ugaidi kwa Hamas? Nani anaondoa hadhi hiyo?
Kumbuka ANC waliitwa Magaidi na nchi za Magharibi.
Palestina inakubali magaidi wajifiche kweny makazi ya watu ili wazalishe uharamia wao.
Nionyeshe nikienda Israel wapi nitaona askari? Pili, hivi unajua ukubwa wa gaza na ulitegemea Kambi za Hamas ziwe wapi? Tatu, kwani kambi za JWTZ zipo porini? Nani anajua askari wapo wapi wa nchi ipi?

Hizi habari mnafundishwa bila kufanya utafiti. Mnalishwa na vyombo vya habari.
Ni kweli Hamas wapo katika makazi lakini pia utambue ukubwa wa eneo lao.
Hivi ulitaka wajikusanye mahali kama ng'ombe ili wauawe. Niambie Talibani walikusanyika wapi
Acha wagigwe wakome. Kwanin waliwavizia waisrael na kuwaua. Uchokoze nyuki wakuume alaf ulalamikie mzinga eti funga wasije.
Mwaka huu Israel imeshambulia Gaza mara ngapi? Mwaka jana Wapalestina 255 wamuawa , je kulikuwa na shambulio gani la Hamas? Mwaka 1948 kulikuwa na Naqba, je unajua Naqba ni kitu gani?

Kuna Masetla wamahamisha Wapalestina kutoka makazi yao, je, hilo ni jambo jema?
Je huo si ugaidi? Kama siyo tafsiri ya Ugaidi ni ipi, nani anatoa hadhi na nani anaondoa hadhi hiyo!
Nachukia magaidi HAMAS. Na ngwe hii wameteketezwa, hata kama watajiunda tena badae itawachukua miaka mingi na Dunia itapumua.
Kwani ni mara ya kwanza haya kutokea? Mwaka 1956 kuna kijana aliitwa Rantis, yeye alishuhdia kuuawa kwa ndugu zake na Israel. Mwaka 2006 kijana huyo akawa kiongozi wa Hamas, akauawa na Israel.
Hivi unadhani unaweza kuua ''ideoology' au Uzalendo wa mtu?

Ukiacha Israel, ni wapi ambapo HAMAS wameleta madhara Duniani kama unavyosema?

Taliban waliangamizwa na Marekani kwa miaka 20, leo wanakaa meza moja na Marekani UN. Uanjau hilo?
Mi HAMAS imetuulia vijana wetu wa Ki Tanzania bila hatia. Kwanin isingefanya sensa ya mateka wakawaondoa ambao sio wa israel. Kwao HAMAS yeyote aliyesimama kwenye ardhi ya Israel ni adui yao. Acha wapewe mkongoto next time watajua kuchokoza nyuki ukipange.
OK, kuna kijana wetu aliuawa Ukraine. Kwanini Russia walimpeleka? Kwanini Ukraine wasifanye unavyoshauri.

Kuna kijana aliuawa India bila Vita, mbona hatukuwasikia mkionyesha machungu kama leo?

Kuna Vijana waliuawa kwa Xenophobia South Africa mbona hatukuwasikia na uchungu kama ilivyo sasa?

Sijui ninyi, lakini mimi naamini mauaji ni kitendo kibaya bila kujali kafanya nani! ninakosea wapi?


JokaKuu Pascal Mayalla
 
Jumamosi juzi wanajeshi 10 wa Israel wameuawa kwa mpigo kwa mujibu wa CNN na Netanyau ametuma salalmu za pole kwa familia za wanajeshi.

Sasa kama wanamgambo tu wanawapukutisha wanajeshi wenye mafunzo ya juu kabisa vipi huyu Israel aingie vitani na Taifa kubwa kama Iran lenye teknolojia ya hali ya juu kabisa?

Hamas wanatumia silaha za jadi wanazotengeneza wenyewe lakini bado Israel anapigika na kupoteza wanajeshi dhidi ya wanamgambo tu. Israel bila shoga yake Marekani ni mwepesi kama karatasi.

Watu wengi hawana habari za kutosha
Mwaka 2006 Israel na Hezbollah. Israel imeunda kamati ya kuchunguza na kukiri ili''shindwa Vita.
Kilichoangaliwa ni uwezo wao wa kijeshi na zana ukilinganisha na Wapinzania wao. Israel ikakiri ilishindwa

Vita inayoendelea, katika '' War room' yaani mipango inapopangwa Wamarekani wanaongoza.
Waziri wa Ulinzi alikiri nwapo lakini Israel ndiyo inatekeleza, akasema kuanzia Oct 7 baada ya tangazo la vita drone zipo Gaza.

Israel inapata silaha kutoka Marekani ambazo hazijauzwa mahali pengine na toleo la mwisho na la kisasa.
Ushauri wote wa Vita unatolewa na Marekani. Nchi za Magharibi kama UK na France nao ni Washirika.

Kitendo cha Israel kupiga majengo kililenga kutengeneza mazingira ya wao kuingia Gaza na kupunguza majeruhi.
Marekani iliwaeleza Israel kwamba katika vita zote za Iraq na Afganistan, Taifa hilo lilipoteza askari wengine kwa kinachoitwa ''urabn warfare''

Israel inafahamu kona zote za Gaza, ina silaha za kisasa iwe maderaya, ndege za kivita, meli na mizinga ya masafa.
Hamas wana makombora na paraglider ya kutengeneza wenyewe , hawana maderaya wal meli

Kuna majeruhi wengi na vifo vingi vya askar wa IDF lakini wanasitiri aibu.
Hili limemonyesha wazi kile kinachoitwa tishio la IDF na MOSAD si kweli. Hivi MOSAD Walishindwaje kugundua siri ya watu zaidi ya 1000.

Tena limeonyesha udhaifu wa IDF bila Marekani na hilo limewapa jeuri Iran ndio maana wanatumia Houth na Hezbolla. Israel hawezi kusimama kidete na Iran ! Bila msaada wa Marekani Israel wanapigika vizuri sana


JokaKuu Pascal Mayalla
 
Malaria 2.

Sipendi sana kuingiza aspect ya dini....Lakini kwa sababu umeileta, ni kuulize unajua Charter ya Hamas? Ukiisoma is purely fighting Israel for purely religious reasons? Iko wazi mno! Hebu Soma Charter yao......

Article 3:

The basic structure of the Islamic Resistance Movement consists of Muslims who have given their allegiance to Allah whom they truly worship

Article 4:

The Islamic Resistance Movement welcomes every Muslim who embraces its faith, ideology, follows its program, keeps its secrets, and wants to belong to its ranks and carry out the duty. Allah will certainly reward such one.

Article 5:

By adopting Islam as its way of life, the Movement goes back to the time of the birth of the Islamic message, of the righteous ancestor, for Allah is its target, the Prophet is its example and the Koran is its constitution.

Article 6:

It strives to raise the banner of Allah over every inch of Palestine, for under the wing of Islam followers of all religions can coexist in security and safety where their lives, possessions and rights are concerned. In the absence of Islam, strife will be rife, oppression spreads, evil prevails, and schisms and wars will break out.

Article 8:

Jihad is its path and death for the sake of Allah is the loftiest of its wishes.
Andika utavyoandika lkn ukweli utabaki ukweli kwa sababu ni vita vya kuangamiza watoto wa waislamu. Ingalikua nchi yenye wakiristo wengi ukrain ungalisikia
 
Back
Top Bottom