Israel Defence Forces wakiwa Uturuki kuwaokoa waathirika wa Tetemeko. Nchi zetu za Kiarabu zinasubiri nini? Iran

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Nimeshangaa sana hawa Waisrael ambao hatuishi kuwasema kwa ubaya wamekuwa mstari wa mbele kwenda kuokoa Waarabu wa Uturuki. Pamoja na Ukafir wao.

But nashangaa Iran huyu ambaye nampenda sababu anajaribu sana kumsaidia Mrusi kwenye vita dhidi ya Ukraine. Amenyamaa tu. Saud Arabia, Iraq,Pakistan et al. Mnajisahau wapi ndugu zanguni?

Baniani mbaya kiatu chake dawa.

 
Israeli ni taifa teule la Mungu.
 

Mkuu una jambo lingine? Tena hili ni gazeti la Israel hiyo ni picha za ndege ya israel na Iran zikiwa zimetua sehemu moja zikileta misaada wakiwemo waokoaji. Nchi nyingi zimetuma misaada na waokoaji pia so ni kuamua wataka wewe kusoma na kusambaza taarifa gani
 
Wameamua kurudi nyumbani kusaidia ....Safi Sana.
#Ashkenazi
 
Waarabu Msaada Zero,, umemsahau Wakati wa Vita vya vyao Huko walikimbia wahanga wa Vita
 
 
Acha uongo au unataka hadi na wao wajipost mapicha kama bongo muvi
 
Jeshi lenye weledi wa hali ya juu zaidi duniani. Sijui hawa wenye vitambi wataaminiwa lini na wapi hapa duniani!!!?
 
Mbweha we! Unaandika andika bila ushahidi bwege we! Hawa ni nani? Bibi zako?
 
Punguza unafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…