baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Rabi mkuu wa Israel alisema Weusi ni manyani na wanapaswa Kuwa watumwa hii sio sababu ya kuwachukia? Aliwatuhumu watu weusi kusababisha majanga ya Vimbunga Usa hili nalo si sababu ya kuwachukia? Watu weusi wanateswa kila siku Israel si sababu ya kuwachukia? Watu weusi wanahasiwa ili wasizae na weupe huko israel si sababu ya kuchukia?Mwafrika ni mtu wa ajabu sana. Sasa hapo ukiulizwa sababu kuu ya kukufanya uwachukie Israelites ni nini, utakuta huna sababu za msingi zaidi ya mafundisho ya kijinga ya hizi dini zenu za kijinga kijinga za kukaririshwa na waarabu au wazungu.
Hopeless Africans.
Kifupi kwa Mtu wa Africa kuwapenda israel ni ajabu kuliko Mu Africa kumchukia.
Chief rabbi calls black people ‘monkeys’
Rabbi Yitzhak Yosef uses pejorative term 'kushi' for African Americans in weekly sermon