Israel Defence Forces wakiwa Uturuki kuwaokoa waathirika wa Tetemeko. Nchi zetu za Kiarabu zinasubiri nini? Iran

Israel Defence Forces wakiwa Uturuki kuwaokoa waathirika wa Tetemeko. Nchi zetu za Kiarabu zinasubiri nini? Iran

Nimeshangaa sana hawa Waisrael ambao hatuishi kuwasema kwa ubaya wamekuwa mstari wa mbele kwenda kuokoa Waarabu wa Uturuki. Pamoja na Ukafir wao.

But nashangaa Iran huyu ambaye nampenda sababu anajaribu sana kumsaidia Mrusi kwenye vita dhidi ya Ukraine. Amenyamaa tu. Saud Arabia, Iraq,Pakistan et al. Mnajisahau wapi ndugu zanguni?

Baniani mbaya kiatu chake dawa.

View attachment 2511836View attachment 2511837
Tuishie kusema hivi katika dunia hii ya utandawazi usijaribu kudanganya utaumbuka vibaya sana
Embu ona sasa thread yko inavokuaibisha kwa chuki zako za kijinga
 
Nimeshangaa sana hawa Waisrael ambao hatuishi kuwasema kwa ubaya wamekuwa mstari wa mbele kwenda kuokoa Waarabu wa Uturuki. Pamoja na Ukafir wao.

But nashangaa Iran huyu ambaye nampenda sababu anajaribu sana kumsaidia Mrusi kwenye vita dhidi ya Ukraine. Amenyamaa tu. Saud Arabia, Iraq,Pakistan et al. Mnajisahau wapi ndugu zanguni?

Baniani mbaya kiatu chake dawa.

View attachment 2511836View attachment 2511837
Kwani wewe hujui hawa Waisrael waliopandikizwa na Ulaya na Amerika katika mashariki ya kati asili yao ni Turkey? Wameenda kusaidia ndugu zao. Waturuki sio Waarabu kama watu wengi wafikiriavyo angalia hata muonekano wao 😂
 
View attachment 2511846
Mkuu una jambo lingine? Tena hili ni gazeti la Israel hiyo ni picha za ndege ya israel na Iran zikiwa zimetua sehemu moja zikileta misaada wakiwemo waokoaji. Nchi nyingi zimetuma misaada na waokoaji pia so ni kuamua wataka wewe kusoma na kusambaza taarifa gani
Umemuumbua kweli kweli, jana niliangalia taarifa kupitia Star TV na BBC dira ya dunia; walionyesha misaada ya Iraq na nchi fulani nimeisahau...

Ila hii mioyo hii na nafsi hizi..........ACHA TU!
 
Mbweha we! Unaandika andika bila ushahidi bwege we! Hawa ni nani? Bibi zako?
View attachment 2511849
Mbona majini yamekupanda unaandika umetokwa na mapovu? Usiwe unapaniki kwa vitu vidogo binadamu hatukuumbwa hivyo. Usiache mapepo yakupande uwe unatokwa tu povu kila wakati....😂😂🤣🤣🤣
 
Tofauti ni kwamba waarabu hawajitangazi, Ka nchi kadogo tu kama kuwait ambako ni size ya Wilaya ya Tanzania ila kanasaidia Africa kwa Matrilioni, tunauana huku Ma alibino misaada inatoka Kuwait, wametujengenea barabara kibao, Hospitali etc.

Hii link Nchi nyingi za Kiarabu zimepeleka misaada


Wananchi tu Wa Saudia wamejichanga wenyewe zaidi ya Bilioni 10 wamepeleka hela zao mfukoni bado Serikali yao ambayo imepeleka kikosi cha Uokozi.
Source? Kijiwe cha bao?
 
IRAN na TURKEY sio waarabu

Jengine taifa la ISRAEL linatakiwa lifutwe kabisa kwenye uso wa DUNIA kwamaendeleo na maslahi mapana ya DUNIA

Uwepo wa ISRAEL ni hatari kwa DUNIA kama KANSA kwenye mwili wa mwanaadamu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kuna parts za iran na turkey kuna waarabu wengi hasa turkey Syria na Iran Iraq pia Eastern Saudi Arabia na Iran pia Bahrain.
 
Kwa hiyo wakipeleka waje wakutangazie ?

Kwanza kabla ya kuhoji misaada ya Waarabu kwanini usihoji waafrika wenzako wamepeleka msaada gani mpaka sasa,au nyinyi waafrika ndo mna haki ya kusaidiwa ila nyinyi hamtakiwi kusaidia wengine?

Hata hivyo ukiangalia kwenye orodha ya nchi zilizo toa masaada Israel imetoa msaada mdogo sana ukilinganisha na wengine, nchi ambazo zimetoa misaada mkubwa mpaka sasa ni Urusi, Ujerumani, na Iran.

Iran unayo isema mpaka sasa imesha peleka kikosi cha uokozi cha wamajeshi miatano nchini Syria na Uturuki, imesha peleka shehena nne za madawa na buranket kwa ajili ya kujikinga na baridi.
Mwafrika ni mtu wa ajabu sana. Sasa hapo ukiulizwa sababu kuu ya kukufanya uwachukie Israelites ni nini, utakuta huna sababu za msingi zaidi ya mafundisho ya kijinga ya hizi dini zenu za kijinga kijinga za kukaririshwa na waarabu au wazungu.

Hopeless Africans.
 
Back
Top Bottom