baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Tofauti ni kwamba waarabu hawajitangazi, Ka nchi kadogo tu kama kuwait ambako ni size ya Wilaya ya Tanzania ila kanasaidia Africa kwa Matrilioni, tunauana huku Ma alibino misaada inatoka Kuwait, wametujengenea barabara kibao, Hospitali etc.Waarabu Msaada Zero,, umemsahau Wakati wa Vita vya vyao Huko walikimbia wahanga wa Vita
Hii link Nchi nyingi za Kiarabu zimepeleka misaada
Gulf countries rush earthquake aid to Turkey, Syria
Countries in the Gulf have announced aid for Turkey and Syria after Monday's devastating earthquakes.
Wananchi tu Wa Saudia wamejichanga wenyewe zaidi ya Bilioni 10 wamepeleka hela zao mfukoni bado Serikali yao ambayo imepeleka kikosi cha Uokozi.