Israel huenda ikaifungia Al-jazeera kufanya kazi nchini humo

Israel huenda ikaifungia Al-jazeera kufanya kazi nchini humo

Mbona vyombo vyote vya habari hawajasema kuwa aljazeera ilihusika na uvamizi wa October 7 sio Israel penyewe sio Qatar wala aljazeera... huyo jamaa kwenye tweet ndio mtumwa wa allah mdanganyifu... aljazeera imefungiwa kwa news za uongo na waongo kama hao na wewe unayeeneza... kwani ukireport news bila uongo unakosa nini?
Kwani bbc na cnn ni wakweli?
 
Hahahah kachanganyikiwa huyo jamaa Hamas inamtoa kamasi
Leo, tunashuhudia uharibifu kamili wa ISraeli wa hospitali muhimu zaidi ya vitanda 700 huko Gaza, Al Shifa Medical Complex. Ilianzishwa miaka 78 iliyopita wakati wa Mamlaka ya Uingereza, jina Shifa likimaanisha 'Nyumba ya Uponyaji'; sasa imegeuzwa kuwa 'Nyumba ya Kifo' na Israel na Marekani, iliyochomwa, kuharibiwa kabisa na kuwa kifusi na kugeuzwa kuwa makaburi ya wagonjwa, wahudumu wa afya, jamaa na wakimbizi. Ishara kubwa ya siasa zisizo na moyo, za kihuni za Israel za kukaliwa kwa mabavu na wakoloni kwa lengo la kuwaangamiza watu wa Palestina, taasisi zao za kijamii na maisha yao. Serikali za Marekani, Umoja wa Ulaya na Uingereza zimeaibishwa, zikishiriki katika kuunga mkono uhalifu wa kivita wa Israel na ukatili dhidi ya binadamu wote. Tazama kwa makini maeneo ya mauaji ya Shifa, usisahau kamwe mauaji ya halaiki ya Gaza, wahalifu, na mamlaka yaliyohusika! Dk Mads

View: https://x.com/drmadsgilbert/status/1774704992445731264?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Mbona vyombo vyote vya habari hawajasema kuwa aljazeera ilihusika na uvamizi wa October 7 sio Israel penyewe sio Qatar wala aljazeera... huyo jamaa kwenye tweet ndio mtumwa wa allah mdanganyifu... aljazeera imefungiwa kwa news za uongo na waongo kama hao na wewe unayeeneza... kwani ukireport news bila uongo unakosa nini?
Angalia wanafiki wenu hawa bila Al Jazeera dunia isingejua yote haya Shifaa Hospital imebakia vifusi lakini Marekani wanakataa kuwa hamna mauwaji hapo watawasiliana na Israel kujua zaidi🤣.


View: https://x.com/qudsnen/status/1774868927950061759?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 

Israeli parliament passes law paving the way for Al Jazeera closure​


View attachment 2951090
Prime Minister Benjamin Netanyahu promises to use the law to shutter local operations of Al Jazeera.

Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu has promised to “act immediately to stop” Al Jazeera’s operations in the country after the Israeli parliament approved a law that grants senior ministers powers to shut down foreign news networks deemed a security risk.

“Al Jazeera will no longer be broadcast from Israel,” Netanyahu wrote in a post on X after the law was approved in its final readings on Monday. “I intend to act immediately in accordance with the new law to stop the channel’s activity.”

Netanyahu has long sought to shutter broadcasts from the Qatari-based media outlet, alleging anti-Israel bias.

The law, which passed in a 70-10 vote in the Knesset, gives the prime minister and the communications minister the authority to order the closure of foreign networks operating in Israel and confiscate their equipment if it is believed they pose “harm to the state’s security”.

he Knesset approved on Monday evening the so-called Al Jazeera law, giving the government temporary powers to prevent foreign news networks from operating in Israel if they are deemed by the security services to be harming national security.


Law allowing government to temporarily shut down Al Jazeera in Israel passed by Knesset​

Legislation passed 71 to 10 gives PM and communications minister temporary powers to shut down foreign news networks deemed threatening to national security for 45-day periods​

The law passed 71 to 10 in its second and third readings in the Knesset plenum.

Communications Minister Shlomo Karhi, who spearheaded the effort to pass the law, vowed immediately after the final vote that the Qatari-funded Al Jazeera news channel would be closed down “in the coming days,” saying “there won’t be freedom of expression for Hamas mouthpieces in Israel.”
Ngiri ashapasuliwa?
 
Kama ni hivyo tumechelewa sana,, bbc nacho kifungiwe vp cnn ifungwe iachwe?
 

Israeli parliament passes law paving the way for Al Jazeera closure​


View attachment 2951090
Prime Minister Benjamin Netanyahu promises to use the law to shutter local operations of Al Jazeera.

Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu has promised to “act immediately to stop” Al Jazeera’s operations in the country after the Israeli parliament approved a law that grants senior ministers powers to shut down foreign news networks deemed a security risk.

“Al Jazeera will no longer be broadcast from Israel,” Netanyahu wrote in a post on X after the law was approved in its final readings on Monday. “I intend to act immediately in accordance with the new law to stop the channel’s activity.”

Netanyahu has long sought to shutter broadcasts from the Qatari-based media outlet, alleging anti-Israel bias.

The law, which passed in a 70-10 vote in the Knesset, gives the prime minister and the communications minister the authority to order the closure of foreign networks operating in Israel and confiscate their equipment if it is believed they pose “harm to the state’s security”.

he Knesset approved on Monday evening the so-called Al Jazeera law, giving the government temporary powers to prevent foreign news networks from operating in Israel if they are deemed by the security services to be harming national security.


Law allowing government to temporarily shut down Al Jazeera in Israel passed by Knesset​

Legislation passed 71 to 10 gives PM and communications minister temporary powers to shut down foreign news networks deemed threatening to national security for 45-day periods​

The law passed 71 to 10 in its second and third readings in the Knesset plenum.

Communications Minister Shlomo Karhi, who spearheaded the effort to pass the law, vowed immediately after the final vote that the Qatari-funded Al Jazeera news channel would be closed down “in the coming days,” saying “there won’t be freedom of expression for Hamas mouthpieces in Israel.”
Hahahaha wewe punguani kweli wewe si ulikuwa unapinga kwenye uzi wangu baada kusoma nilichoandika umekuja kufungua uzi🤣🤣🤣
 
Chombo kinachoeneza propaganda za uongo dhidi ya Israeli lazima kipigwe ban..
u
 
Back
Top Bottom