Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Uko sahihi mkuuAcha wafungie tu, dunia yote inawajua "hawa watu sio watu hata wanyama wana afadhali"
🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸❤❤💪🏽
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi mkuuAcha wafungie tu, dunia yote inawajua "hawa watu sio watu hata wanyama wana afadhali"
🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸❤❤💪🏽
Ulishasikia Aljazeera wakitangaza Makamanda wa Hamas wameuliwa na IDF? Zaidi utasikia Israel kill many civilian including baby na woman... Hamas kuna wakati walisema Magaidi wao 6000 wamededishwa na IDF and aljazeera wanasema ni raia wameuliwa na IDFnews za uongo wakati AJ yupo kwenye uwanja wa vita? Au kwa vile vyombo vingine vinawapendelea au vinamilikiwa na wao kwa hivyo hawatoi taarifa kama ilivyo?
Ndiyo hivyo hivyo hata Marekani wanataka kuban tiktok wanaogopa watu huwa wanasema ukweli kule bila ya kificho.
Kwa lipi? Uzuri tulijua kuwa Aljazeera ni waongo kufungiwa kwao wakajirekebishe waache Taqiyya
Kuuawa kwa civilians ni uongo?Naomba news japo moja ya ukweli waliyotoa Aljazeera..